Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko ni kufa na kusahaulika;
......... hayo mengine uliyoandika yanaonyesha chuki tu huna jipya.

 

Unaposema Anguko limetimia umetumia kigezo kipi? Ungekuja na data zinazobeba hii hoja yako labda ungeeleweka kwani kiuhalisia hakuna sehemu hapa nchini ambako CDM katika hizi chaguzi ndogo zilizofanyika wamepata kura pungufu ya zile za 2010 kilichotokea kura zimeongezeka.
Kama CDM ingekuwa imekufa watu wasingehudhuria kwa wingi katika mikutano yake huwezi ukasema chama kimekufa huku kikiwa na wapenzi na washabiki wengi kiasi hiki.
 
"Nabashiri Chadema kuanguka na kusambaratika kabisa, sababu ni ubaguzi,ubinafsi na ulaghai" Stephen Wassira.

Mtasubiri sana na msipoangalia mtasambaratika nyie na chama chenu CDM itaendelea kudumu daima.
 
Ben Saanane tena wewe ndo usiseme kabisa;
hivi unaonaje ulivyotelekezwa na hicho chama chako?
Kijana msomi umebaki tu huku wakati wenzio wanakula wakiwa wamelala.
Shauri zako lakini.

baada ya kushindwa kazi ya kumlisha sumu zito dr slaa hataki hata kumuona ben saanane
 
Last edited by a moderator:
mwalimu JK Nyerere alisema''''' BILA CCM MADHUBUTI, NCHI ITAYUMBA"' Nami nasema"" BILA UPINZANI MAKINI, CCM ITABWETEKA NA HATIMAYE ITAKOSA UMADHUBUTI NA KUSABABISHA NCHI KUYUMBA""" Ukiwa mzalendo wa kweli huwezi kufurahia anguko na sambaratiko la vyama vya upinzani. ila kwa mtindo wa siasa za chadema!! kila mwenye mapenzi mema kwa taifa letu basi atakuwa anafurahia hili anguko tunalolishuhudia la chadema.
nami naiombea chadema isanguke tuu bali ife kabisa
 
Walau Zogwale una akili;
...... andika CCM

Haya mkuu furahia moyoni mwaka CCM= Chama cha Mapinduzi ila sasa mahasimu utasikia cha Majambazi, Majangili, Mafisadi, Mauaji and the like!!!! Je hii tasiri nying hivi ya CCM ina ukwel ndani yake!!!! Maana kwa hali ilivyo kwa sasa hasa baada ya kifo cha muasisi wa taifa hili tunaona kama kuna kaukweli Mamndenyi.
 
Ben Saanane tena wewe ndo usiseme kabisa;
hivi unaonaje ulivyotelekezwa na hicho chama chako?
Kijana msomi umebaki tu huku wakati wenzio wanakula wakiwa wamelala.
Shauri zako lakini.
wanaokula wakiwa wamelala ni mafisadi, sasa na wewe unataka awe fisadi au mantaka kumnunua?
 
Unaanza tena akili ya kitoto;
 

mm naona opic yako imekaa kishabiki. ulipaswa uchambue kwanza chaguzi zimefanyikaje na mazingira yake kisha ndipo ulete maoni yako. hapo tungeweza kuchangia ila naona umekurupuka bila utafiti. no research no right to speak
 

Kama mnawaita watanzania wajinga kwa kuwa walipandikizwa ujinga na maccm unategemea watakupeni kura!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…