Nchi kubwa kama marekani waliruhusu vip Biden awe rais?Sijui huwa mnatumia vigezo gani kusema upinzani ni dhaifu, nyie mlio imara mnaruhusu vipi mtu mwenye akili ndogo kama samuya awe rais?
Nchi kubwa kama marekani waliruhusu vip Biden awe rais?Sijui huwa mnatumia vigezo gani kusema upinzani ni dhaifu, nyie mlio imara mnaruhusu vipi mtu mwenye akili ndogo kama samuya awe rais?
Hao viongozi wote wa upinzani wanakaa mtaa mmoja na ww na wameoa ulipooa ww, acha utoto dogo?Hapana,sio madhumuni ya uzi huu kutaja watu,lakini fahamu hawa viongozi wa hivi vyama tunaishi nao mitaani,tumeoa pamoja,tunafanya biashara nao na tunashirikiana kwa mengi tunawajua uzuri na ubaya wao
CCM bado tupo sana comrade. Huu upinzani wetu wa ACT na CHAUMA bado sana kukomaa kiasi chakua tishio kwa CCM.
Soma kitu na uelewe mantiki,usiwe unakurupuka kama umebanwa maviHao viongozi wote wa upinzani wanakaa mtaa mmoja na ww na wameoa ulipooa ww, acha utoto dogo?
ok kwakuwa alishatangulia mbele ya haki tumwache apumzuke kwa amaniHakurudi kwa kupenda.
AMENok kwakuwa alushatangulia mbele ya haki tumwache apumzuke kwa amani
Sasa itakuwaje!!, mbona sioni mbadala wa CCM!!?,Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Ni kweli mbadala hakuna nahisi vyama vitaunganaSasa itakuwaje!!, mbona sioni mbadala wa CCM!!?,
Tena?Ni kweli mbadala hakuna nahisi vyama vitaungana
BWANA FISI (HYENA) MARA ZOTE KWA JINSI MIKONO YA MWANADAMU INAVYOFANYA KAZI WAKATI AKITEMBEA,HUFIKIRI ITAANGUKA ILI AILE ASHIBE 😃Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
JidanganyeJapo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
sawaJidanganye
Usimpe ushindi wa mezani sisi tunaomba leo kesho huo mnara wa baberi uangukeeeeeesawa
Kizazi cha Maombi..Usimpe ushindi wa mezani sisi tunaomba leo kesho huo mnara wa baberi uangukeeeeee
Bora maombi kuliko miujizaKizazi cha Maombi..
Miujiza ya Maombi..Bora maombi kuliko miujiza
Nasema hivi, punguza utoto dogo.Soma kitu na uelewe mantiki,usiwe unakurupuka kama umebanwa mavi