Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 7,848
- 12,231
Mambo yamebadilika, dunia imebadilika karne hii tuliyopo ni karne ya teknolojia na mabadiliko, watu wengi hivi sasa ni waelewa, teknolojia imerahisisha upatikanaji wa habari hasa zile habari ngumu, kuishi katika zama za uchawa na upotoshaji hakutaisaidia CCM sanasana itaipeleka shimoni.
Ni wazi chama hiki kimechokwa na umma wa watanzania, mbinu zake ovu za utekaji na uuaji zimeshafahamika na wengi na zimejenga chuki na uhasama baina ya wananchi na serikali yake, ni wazi chama hiki na serikali yake inabidi vibadilike kuanzia mtazamo, na miongozo yake.
Mimi si mtabiri lakini kama chama hiki kitaendelea na mbinu zake hizi haramu basi anguko lake haliko mbali ni suala la muda tu, tukio la tamasha la wasanii limedhihirisha wazi chama hiki kimechokwa na kinaitaji kubadilika ni hayo tu.
Ni wazi chama hiki kimechokwa na umma wa watanzania, mbinu zake ovu za utekaji na uuaji zimeshafahamika na wengi na zimejenga chuki na uhasama baina ya wananchi na serikali yake, ni wazi chama hiki na serikali yake inabidi vibadilike kuanzia mtazamo, na miongozo yake.
Mimi si mtabiri lakini kama chama hiki kitaendelea na mbinu zake hizi haramu basi anguko lake haliko mbali ni suala la muda tu, tukio la tamasha la wasanii limedhihirisha wazi chama hiki kimechokwa na kinaitaji kubadilika ni hayo tu.