Ni kweli upinzani wa nchi hii ni dhaifu maana wanaingia kwenye chaguzi na sera, wakati ccm wanaingia kwenye chaguzi na bunduki.Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Sio hivyo viongozi wao wengi ni dhaifu wana maovu mengi tu mitaani na wala si kweli wapo kwa ajili ya sera mbadala bali wapo kwa ajili ya kushibisha matumbontao na kwakuwa wana njaa kali wivu wao nutakuwavwa hatari watakapoingia madarakaniNi kweli upinzani wa nchi hii ni dhaifu maana wanaingia kwenye chaguzi na sera, wakati ccm wanaingia kwenye chaguzi na bunduki.
Hebu wataje hao viongozi na maovu yao.Sio hivyo viongozi wao wengi ni dhaifu wana maovu mengi tu mitaani na wala si kweli wapo kwa ajili ya sera mbadala bali wapo kwa ajili ya kushibisha matumbontao na kwakuwa wana njaa kali wivu wao nutakuwavwa hatari watakapoingia madarakani
Hapana,sio madhumuni ya uzi huu kutaja watu,lakini fahamu hawa viongozi wa hivi vyama tunaishi nao mitaani,tumeoa pamoja,tunafanya biashara nao na tunashirikiana kwa mengi tunawajua uzuri na ubaya waoHebu wataje hao viongozi na maovu yao.
CCM bado tupo sana comrade. Kwa huu upinzani wa ACT na CHAUMA ambao bado hata kukomaa, itachukua muda mrefu sana kuwa tishio kwa CCM.
Lowassa ccm walivyomdhalilisha vile acha weweLowassa ilikuwa ni mpango wao wa kuvuruga upinzani,ila huu ugomvi wa sasa ni wa dhahir
kwani mwishowe ilikuaje? si alirufi ccmLowassa ccm walivyomdhalilisha vile acha wewe
Bwahabwahabwahabwahaaaa! Akili za nyumbu bwana, kutwa ni ku-air out ndoto zao za kishetani tu. Pumzikeni ndg, zangu; aliyepewa na Mungu ndo kapewa.Kwakweli hali ni mbaya kwenye hiki chama. Ngoja arudi toka huko ulaya mashariki, atayakuta tu ambayo hakuyategemea.
Upinzani no dhaifu, je CCM inewahije kuwa imara kutawala na nchi ikawa haina matatizo? Utawala wote tangu vyama vingi umekuwa wa kulazimisha. Ukiona Upinzani dhaifu ujue basi Chama kinachotawala ndiyo dhaifu kabisa.Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Kwenye siasa za sasa hakuna jambo wanalofanya la ajabu.nyakati zimebadilika na mazingira pia. Mbunge kufumba kuna yuda iskariote unadhani hii ni hali ya kawaida?
Hakurudi kwa kupenda.kwani mwishowe ilikuaje? si alirufi ccm
Kwa akil zako nyingi watu wote wanaokwenda kwenye mikutano ya hadhara ya Chadema au chama kingine chochote basi lazima wawe na imani na hicho chama.Wewe siyo mfuasi wa chama chochote, lakini unaamini kuwa ni CCM pekee ndio wanaoweza kusimamia maslahi ya nchi hii?
Nikiendelea kueleza zaidi ya hapa utaona kuwa ninakutukana; jambo ambalo nashawishika sana kulifanya nisipojizuia.
CCM waliyo iacha Nyerere, Mwinyi, Mkapa itakufa.Jeshi la polisi usalama na tume ya uchaguzi na mahakama zote zetu harafu sisiemu ife we unaota
Tuna manabii kama lema, watatusaidia kufanya utabiri.Bila ushabiki wowote,
naomba kuuliza, hivi kwa upande wa upinzani, kuna wanasayansi na wahandisi watakaokuwa mawaziri wa viwanda, afya, ujenzi, sayansi na teknolojia, na kada zote zinazohusiana na haya ?