Sasa hapo hakikisha na wewe unakuwa sehemu ya watakaopata nyama, hata kidogo tu.Sio kama congo lakini watagombania nyam
Sasa hapo hakikisha na wewe unakuwa sehemu ya watakaopata nyama, hata kidogo tu.Sio kama congo lakini watagombania nyam
Lowassa ilikuwa ni mpango wao wa kuvuruga upinzani,ila huu ugomvi wa sasa ni wa dhahirHaikuanguka wakati wa Lowasa ndio ije ianguke leo ?
Tatizo mie sipo popote na hivi sasa najiandaa kuhama nchi,mke wangu mmoja nilishamtanguliza na watoto wote washaondoka kabaki mmoja tuSasa hapo hakikisha na wewe unakuwa sehemu ya watakaopata nyama, hata kidogo tu.
Si kweli kwamba ulikuwa mpango. Lowasa aliwekeza nguvu na fedha zake nyingi akiamini atachukua kombe ila Tibaijuka ametusanua kwamba huwezi kupewa kombe ukiwa nje ya mfumo hata kama haki ni yako.Lowassa ilikuwa ni mpango wao wa kuvuruga upinzani,ila huu ugomvi wa sasa ni wa dhahir
Ni wazo zuri pia.Tatizo mie sipo popote na hivi sasa najiandaa kuhama nchi,mke wangu mmoja nilishamtanguliza na watoto wote washaondika kabaki mmoja tu
Wewe siyo mfuasi wa chama chochote, lakini unaamini kuwa ni CCM pekee ndio wanaoweza kusimamia maslahi ya nchi hii?Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Duh!Si kweli kwamba ulikuwa mpango. Lowasa aliwekeza nguvu na fedha zake nyingi akiamini atachukua kombe ila Tibaijuka ametusanua kwamba huwezi kupewa kombe ukiwa nje ya mfumo hata kama haki ni yako.
Safari hii litalala; hakuna namna nyingine tenaHili dudu lina roho 12 kuliangamiza kabisa ni shughuli pevu
KP tuletee lile kaburi la maziko ya hawa viumbe waovu.
Nani aliyekudanganya kwamba upinzani wa nchi hii ni dhaifu?Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Umpinzani ni wenye nguvu ila ccmna vyombo vya taifa hili vinadogosha uhalisia wakiamini muda upo upande wao na kwa ujinga huo wakatuzamiza kwenye oct 29 na baada na bado wanajitihada ya kuzamisha kabisa taifa hili.Japo mie sio mfuasi wa chama chochote cha siasa,lakini kwa hizi dalili nazoziona,hiki chama kitaanguka muda wowote kutokea sasa na kuacha ombwe kubwa la uongozi.
Na kwa kuwa upinzani wa nchi hii ni dhaifu sana basi nchi hii itakuwa ni sandakarawe amina,basi yangu macho
Halafu unasema huna upande!Na iwe hivyo
Ndio zile siasa za mshike mshike alizosema Lissu kwa Mbowe,na kwamba Mbowe amuachie yeye Lissu uenyekiti maana Mbowe hataziwezaLowassa ilikuwa ni mpango wao wa kuvuruga upinzani,ila huu ugomvi wa sasa ni wa dhahir
Mie masaula ya dola na vyombo vyake sijui sana,lakini udhaifu wa upinzani naujua kwani si watu ni hawa hawa ambao wengine wapo ccm? Au upinzani una toleo jipya la binadamu?Umpinzani ni wenye nguvu ila ccmna vyombo vya taifa hili vinadogosha uhalisia wakiamini muda upo upande wao na kwa ujinga huo wakatuzamiza kwenye oct 29 na baada na bado wanajitihada ya kuzamisha kabisa taifa hili.
Na iwe hivyo haimaanishi nina upande,jitahidibkuwa na ubongo unaochambua mambo kwa ufasaha,acha pupa,papara na upofuHalafu unasema huna upande!
Hivi nyinyi watu akili zenu zimekaa vipi huko vichwani mwenu?
Hizi tabia za ulaghai laghai zinatoka wapi hasa?
Mimi niwe na papara; halafu wewe itakuwaje?Na iwe hivyo haimaanishi nina upande,jitahidibkuwa na ubongo unaochambua mambo kwa ufasaha,acha pupa,papara na upofu
Unachangia fikra za namna hii, halafu unajiona mwenyewe kwamba unaelewa unachochangia?Mie masaula ya dola na vyombo vyake sijui sana,lakini udhaifu wa upinzani naujua kwani si watu ni hawa hawa ambao wengine wapo ccm? Au upinzani una toleo jipya la binadamu?
nyakati zimebadilika na mazingira pia. Mbunge kufumba kuna yuda iskariote unadhani hii ni hali ya kawaida?Haikuanguka wakati wa Lowasa ndio ije ianguke leo ?