Angola: Waliothubutu Wakaweza na Wanasonga

Angola: Waliothubutu Wakaweza na Wanasonga

ila kweli..hapa tz kuna project kubwa kuliko...tena ya ukweli, nilichek video yake ya huo mpango ni noumer

Humo kwenye video walisema hiyo project itaanza na kwisha lini? Nani ni financier? Na kama ni serikali je bunge litapitisha lini hayo matumizi?
 
Mkuu nadhani nilikuwa more specifi kuweka "maghorofa" ili ku-pre empty wapindisha hoja lakini on top of that ntakupa mfano Brazil inaweza kuwa ndani ya hata kumi bora duniani kwa maghorofa lakini inapitwa na Australia almost katika kila index ya kimaendeleo. Australia si nchi ya maghorofa.
<br />
<br />
Unachosema ni kweli lkn kufuata track ya maendeleo ya Australia ni gharama mno kuliko ile ya kujenga maghorofa. Kwa sie ambao tuko poor ktk kujenga mifumo ya usafiri ni bora tuopt hayo maghorofa ya Brazil na china.
 
Wenzetu hawachagui chama wanamchagua mtu wanaemwona ana uwezo wakumwongoza na ndio tatizo letu waTZ
<br />
<br />
Ktk chaguzi za 1995,2000 na 2005 nilikuwa nakubaliana na usemi huu lkn kwa 2010 tatizo sio wapiga kura tatizo ni uchakachuaji wa matokeo. Watu sasa wako aware isipokuwa kuna wanaojifanya kuwa ndo wenye nchi. Dawa ni kudai haki kwa nguvu ya umma kama arabuni.
 
<br />
<br />
Ktk chaguzi za 1995,2000 na 2005 nilikuwa nakubaliana na usemi huu lkn kwa 2010 tatizo sio wapiga kura tatizo ni uchakachuaji wa matokeo. Watu sasa wako aware isipokuwa kuna wanaojifanya kuwa ndo wenye nchi. Dawa ni kudai haki kwa nguvu ya umma kama arabuni.

Kwa upuuzi wa CCM msitegemee Kigamboni city kujengwa hata siku moja, maana ilitarajiwa kuanza 2011 na sasa ni 2014 ipo 3 years behind schedule.
 
I was there, very beautifully.
Hii kama unakwenda mji mmoja unaitwa Calulo, unaiona taswira ya majengo hayo kwa uzuri sana, kushoto kwako unauona uwanja uliotumika kwa fainali za CAN 2010. Kifupi taswira inavutia mno.
 
Mkuu hiii ni mojawapo ya suburbs iliyokuwa ya watu masikini na this is a way to the upgrade! at least kuna njia inaonekana! Halafu huu ni mradi wa serikali, wewe unayoizungumzia ni development iliyofanywa na watu binafsi huko ndiko kuna 2 bed rooms apt za $10,000 a month.

Remarks by US Ambassador to Angola, Cynthia Efird, at the launch of the Electricity Assistance Program co-funded by Banco de Fomento Angola and USAID

Friends, Colleagues, Ladies and Gentleman,
I am very pleased to be here today to help celebrate the partnership between Banco de Fomento Angola, the Municipalities of Kilamba Kiaxi and Viana, EDEL, and the United States Agency for International Development to expand access to electricity in Kilamba Kiaxi and Viana Municipalities.

Electricity powers development in all sectors. It helps micro, small and medium businesses expand. It brings light and modern technology to schools. It runs life-saving medical equipment at hospitals and clinics. It enhances our security by energizing street lights. And, through allowing televisions and computers into our homes, it brings us the news and other information that promotes an engaged citizenry.

Access to affordable and reliable electricity is, in fact, essential to economic growth and improving the standard of living in Angola. It's clear that the Government of the Republic of Angola recognizes this. I commend the actions the Government is taking to update its strategies to improve the operation of its networks. And I applaud the massive work the Government is undertaking in collaboration with the Chinese Government to upgrade the country's energy infrastructure. I would also like to praise the approach EDEL is taking as an energy distribution company. EDEL is a distributor that is actively reaching out to its clientele; EDEL is an energy distributor that has the vision to recognize it can only be as successful as those it is serving.

The program we are announcing today seeks to ensure that the Government of Angola's efforts to improve energy infrastructure and EDEL's effort to reach out to its clientele have the maximum positive effect possible on lives of the people. It will focus on: helping people afford hook-ups, helping businesses take advantage of the new energy resource to expand and to employ more people, and helping communities use electricity to better serve social needs.

Originally, we had planned to implement the program only as a pilot in Kilamba Kiaxi. Kilamba Kiaxi is a municipality in which only one percent of the population has formal access to the city grid. A recent study by CARE found that 100 percent of the municipality's small businesses invest in alternative sources of energy in order to ensure a reliable source of power. The lack of reliable and affordable electricity is clearly a constraint to the municipality's development.

But we decided to invest in Kilamba Kiaxi not only because of the need. We also chose to invest there because of the potential. Investing in Kilamba Kiaxi allows us to build on the outstanding collaboration between DFID and Kilamba Kiaxi to improve other services in the Municipality. It also allows us to both strengthen and be strengthened by the effectiveness, and the cooperative spirit, of the widely respected and highly experienced Kilamba Kiaxi Forum.

I am happy to report that, in addition to Kilamba Kiaxi, we are now able to include Viana Municipality in the program. The expansion of the program is possible because of a generous financial contribution from Banco de Fomento Angola. As many of you know, BFA is Angola's largest private sector bank. But, just as noteworthy as its size, is its exceptionally strong commitment to the welfare of Angola's people. In 2004, Banco de Fomento Angola announced that it would dedicate five percent of its profits to social programs, every year for the following five years.

This is a huge sum for any company to commit to social programs, well above the average amount that most companies are willing to divert from other corporate responsibilities. And BFA has lived up to its promise to the Angolan people. Already it is engaged with EPAL to expand the availability of potable water. It has also made post graduate study possible for a number of students at Agostinho Neto University. The U.S. Government is pleased to be able to partner with this extremely impressive bank on the electricity access activity we are announcing today.

In closing, I'd like to address the people of Kilamba Kiaxi and Viana, many of whom are here today. You are the most important factor in the entire program. It is your input that will guide us in determining our priorities; your participation that will drive the pace at which we can move forward; and your commitment to building better lives for yourselves, your children and your community that will determine the advances and ultimate success of the program. Together, I hope that we all --BFA, EDEL, the municipal government of Kilamba Kiaxi, the municipal government of Viana, and the strong people of these two Luanda municipalities-- can build a model for a more prosperous Angola
Wote tumeona umuhimu wa sera nzuri za uwekezaji za Angola,tumeona jinsi bank binafsi ya BFA Ilivyowekeza kwenye mradi huu,Tanzania bank binafsi mko wapi?
 
.....................0,28e0e85e-6f28-4f52-8ef2-805bb8e3cc72+%5BResolu%C3%A7%C3%A3o+do+Desktop%5D.jpg


Planned - Nyumba za watu wa kipato cha chini!

nyumba ya kipato cha chini inageti? mbona ni nzuri kuliko nyumba nyingi tu za sinza!!!
 
Nchi haiwezi ikawa imejaa nyumba za mabati, udongo ukaniambia inamaendeleo, so kuwa na majengo na nyumba nzuri ni alama kubwa ya maendeleo.

Sijayatoa ila ukweli ni kuwa maghorofa siamini kama ni kiashiria cha maendeleo, ukienda nchi za ulaya mashariki mfano kuna maeneo masikini kuliko hata bongo lakini ni maghorofa kila mahali.
 
Angola ni petro economy...nchi ina ela sana...ila pia nasikia inaongoza kwa corruption...ambacho sijuhi ni kwa nini hiyo corruption wao haija wa affect au kama ina wa affect ni kivipi??? je mgawanyo wa uchumi ukoje? gap ya matajiri na masikini....

Siwajuhi vizuri zaidi ya kujua uchumi wao ni mkubwa lakini ni among the most corrupt countries katika dunia hii...

Kwa hiyo kitabia wako sawa na CCM...


Mradi wa $ 3155 Milion Kwa serikali ya CCM ni ndoto mkuu.
 
Hivi mradi wetu wa Kigamboni ndiyo umeondoka na mama Tiba?????
 
Kigamboni vp? Au ndo mambo ya kwenye makabrasha?

Kigamboni? Inakuhusu vipi?
Kama ni kwa ajili ya kupiga picha sawa? Lakini ku reside pale sahau. Kuna tangazo lipo kwenye hizo adverts hapa JF, we ingia ujaze form, igiza kama unataka kununu vile. Bei utakayokutana nayo tusirushiane ngumi.
 
Mkulu Kibona hayo maneno yako ni ya kweli kabisa..... Rejea matokeo ya uchaguzi wa marudio ya Katavi. Watanzania wana uelewa wa hali ya juu.
 
Kigamboni? Inakuhusu vipi?
Kama ni kwa ajili ya kupiga picha sawa? Lakini ku reside pale sahau. Kuna tangazo lipo kwenye hizo adverts hapa JF, we ingia ujaze form, igiza kama unataka kununu vile. Bei utakayokutana nayo tusirushiane ngumi.

Usimkatishe tamaa ndugu yako hahahaha!!!!!!
 
Hlafu watanzania inabidi tujifunze, ujenzi wa nyumba, gharama ni including barabara iliyo mbele ya nyumba, mifereji, umeme, maji safi na maji taka, namna ya ku-manage taka etc. hi biashara ya matairi ya magari kutengeneza barabara ni dhana ya ajabu kabisa. Hivyo basi kama bei ya kiwanja ni milioni 10 inabidi iwe ishirini ni ukweli mchungu lakini ndiyo reality!!!!! kama kweli tunataka tuone mipango miji tunayodhani tunastahili.
 
hayo majengo yamekuwa ghost town haryana wakazi
 
Back
Top Bottom