Angola: Waliothubutu Wakaweza na Wanasonga

Angola: Waliothubutu Wakaweza na Wanasonga

Asante mdau. Luanda ni mojawapo ya miji inayokuwa zaidi duniani. Vilevile ni mji wa ghali sana kuishi. Kwa kiasi kikubwa Luanda inajengwa na Wachina na ni kutokana na mapato ya mafuta yaliyopo Angola. Wengi wamekuwa wakilalamika juu ya rushwa na unyonywaji unaofanywa katika Angola. Hata hiyo tuna swali moja la msingi la kujiuliza:

Pamoja na hizo rushwa na unfair trade huko, Je, is it as worse as madini yetu na mrahaba wa asilimia tatu?
 
Asante mdau. Luanda ni mojawapo ya miji inayokuwa zaidi duniani. Vilevile ni mji wa ghali sana kuishi. Kwa kiasi kikubwa Luanda inajengwa na Wachina na ni kutokana na mapato ya mafuta yaliyopo Angola. Wengi wamekuwa wakilalamika juu ya rushwa na unyonywaji unaofanywa katika Angola. Hata hiyo tuna swali moja la msingi la kujiuliza:

Pamoja na hizo rushwa na unfair trade huko, Je, is it as worse as madini yetu na mrahaba wa asilimia tatu?

Yaani unajua mkuu cha kujiuliza ni kwamba hawa jamaa wamekuwapo vitani miaka zaidi ya 20. Baada ya kutoka vitani wakaanza kwanza kuondoa mabomu ya kutega ardhini tena kwa msaada wa UN. Mpaka mwanzo wa 2000 walikuwa bdo ni very limited to infrastucture but see where they are heading for as of now.

Nadhani walio wengi wanaamini hata Tanzania inaweza kwenda that fast kama inaa hela, hela inaonekana ndiyo msingi lakini ukiangalia vizuri it is probably not. Vision, Commitment na Utayari ndiyo hasa vinaccount. Monies should be coming on top of that. Nigeria ina mahela kibao but see nini kinaendelea kule.
 
Kama tunataka kubadili mambo kwa mji kama Dar, either tubuni mji mwingine nje kabisa ya Dar au tubomoe zaidi ya asilimia 60 ya ujenzi wetu holela tulioufanya. Kitu kibaya kabisa hata wataalamu na bodi zao, wamekaa kimya bila kushauri mambo yakizidi kuharibika.
 
Kama tunataka kubadili mambo kwa mji kama Dar, either tubuni mji mwingine nje kabisa ya Dar au tubomoe zaidi ya asilimia 60 ya ujenzi wetu holela tulioufanya. Kitu kibaya kabisa hata wataalamu na bodi zao, wamekaa kimya bila kushauri mambo yakizidi kuharibika.

Exactly mkuu kinachosikitisha ni kuona kwamba wa tu na serikali wanazidi kuinvest mabilioni hapo Dar wakati mji hata haueweki utakuwaje say in 20 years to come. Mipango miji ni tatizo ambalo halijawahi kupata a necessary attention kwa sababu siyo a plus thing to do politically:

1. Serikali itaonekana inapendelea wakazi wa mijini as such CCM watachukiwa vijijini kuliko na mtaji wao wa kisiasa

2. CCM they don't care kwani mijini hata wasipoichagua, vijijini (inakosadikika wamezoea shida) they will.
 
Nafikiri professional bodies zina mchango mkubwa sana wa kurekebisha mambo. Ila mambo yanavyoenda ni kama hawapo. Dar ya leo kupunguza foleni ni ndoto kama mambo muhimu ya mipango miji hayataangaliwa
 
Nafikiri professional bodies zina mchango mkubwa sana wa kurekebisha mambo. Ila mambo yanavyoenda ni kama hawapo. Dar ya leo kupunguza foleni ni ndoto kama mambo muhimu ya mipango miji hayataangaliwa

Tatizo tulilonalo sisi ni kutowekeza kwenye mipango ya muda mrefu. Pia populist political positions nazo zimeikost sana nchi hiyo. Hebu angalia Bagamoyo rd. inpanuliwa kuwa 4 lanes wakati kale kakipande ka Morocco - Mwenge kako vilevile. Lakini je kwa nini wasiandae barabara hiyo kuwa six lanes au hata 8 lanes for future? Haijalishi hata kama uwezo wetu kwa sasa ni hizo 4 lanes, lakini tuuache uwazi for future.

Ukiangalia hapo Dar, hakuina hata maeneo ya kucheza, kupumzika and yet ukitoka 30km out of town ni vijiji!!!!!!! Ukiangalia hiyo Morogoro rd. ndiyo usiseme kuanzia ubungo ni mabanda ya mkaa kila upande, vijiduka, baa, biashara za matofali and no one cares!
 
... wese nalo linawapiga tafu sana
nasi tukithubutu madini yanaweza kutupiga tafu badala ya kuwafaidisha wengine,hata huko Angola mafuta yanachimbwa na makampuni ya nje na sidhani wanapata mrahaba 4 %, TAFAKARI!
 
nasi tukithubutu madini yanaweza kutupiga tafu badala ya kuwafaidisha wengine,hata huko Angola mafuta yanachimbwa na makampuni ya nje na sidhani wanapata mrahaba 4 %, TAFAKARI!

Huo ndiyo ukweli wenyewe mkuu!
 
Nyambala,
Where do we start now? We have to have a starting point
 
Tatizo tulilonalo sisi ni kutowekeza kwenye mipango ya muda mrefu. Pia populist political positions nazo zimeikost sana nchi hiyo. Hebu angalia Bagamoyo rd. inpanuliwa kuwa 4 lanes wakati kale kakipande ka Morocco - Mwenge kako vilevile. Lakini je kwa nini wasiandae barabara hiyo kuwa six lanes au hata 8 lanes for future? Haijalishi hata kama uwezo wetu kwa sasa ni hizo 4 lanes, lakini tuuache uwazi for future.
Ukiangalia hapo Dar, hakuina hata maeneo ya kucheza, kupumzika and yet ukitoka 30km out of town ni vijiji!!!!!!! Ukiangalia hiyo Morogoro rd. ndiyo usiseme kuanzia ubungo ni mabanda ya mkaa kila upande, vijiduka, baa, biashara za matofali and no one cares!

Umenena kweli ndugu yangu, mimi niko kwenye nchi ambayo miezi 6 ni barafu na miezi 6 ni majira ya joto na mvua hawana wanachozalisha zaidi ya viwanda kodi zilizo kubwa. hii nchi imeendelea kupita kiasi na wanamachimbo yao huko nyumbani TZ, swali ninalojiuliza hawa jamaa wamewezaje wakati hali ya hewa ni ovyo kabisa ambayo huwezi hata kujipanga vizuri lkn wao kwakuwa wanania njema na nchi yao wanatumia vyema hicho wanachokipata... sisi tunaweza kuwa mbele zaidi ya nchi yoyote Afrika lakni UBINAFSI na KUTOKUWA WAWAJIBIKAJI. period!
 
baHATI MBAYA HILI LINALOFANYIKA ZNGOLA LINAHUDUMIA DARAJA LA WATU WASIZIDI ASILIMIA 5 YA WANANCHI WOTE. WENGI NI WAZAWA WACHACHE WAFANYAKAZI WA MAKAMPUNI MAKUBWA YA MAGHARIBI YA MAFUTA NA NGOs......
HAINA TOFAUTI NA REAL ESTATE (APARTMENTS KAMA ZIITWAVYO DAR ES SALAAM) ZINAZOCHIPUKA KILA SIKU DAR......INAPENDEZA INGEKUWA INAFIKA HADI KWENYE MAKAZI YA WANANCHI WALIO WENGI (WALALA HOI) ....Tafakari
siwezi kushangaa kuwa wewe nimmoja wa viongozi au mtu mkubwa nchini...mnaouza madini yetu na kusamehe kodi.
 
africa bila vita haiendelei? rwanda............angola..........tz vipi?? mnataka vita kwanza?
 
africa bila vita haiendelei? rwanda............angola..........tz vipi?? mnataka vita kwanza?

Ofcourse Tanzania inashangaza sana na nnadhani wageni ndiyo huwa wanatushangaa vibaya mno!
 
Wenzetu hawachagui chama wanamchagua mtu wanaemwona ana uwezo wakumwongoza na ndio tatizo letu waTZ
 
Infranstructure ( barabara, magorofa, reli, communication lines) ni moja ya factor ya development..so acha kuyatoa katika mojawapo ya kukuwa kwa maendeleo na uchumi kwa ujumla.
 
Nchi haiwezi ikawa imejaa nyumba za mabati, udongo ukaniambia inamaendeleo, so kuwa na majengo na nyumba nzuri ni alama kubwa ya maendeleo.
 
Infranstructure ( barabara, magorofa, reli, communication lines) ni moja ya factor ya development..so acha kuyatoa katika mojawapo ya kukuwa kwa maendeleo na uchumi kwa ujumla.

Mkuu nadhani nilikuwa more specifi kuweka "maghorofa" ili ku-pre empty wapindisha hoja lakini on top of that ntakupa mfano Brazil inaweza kuwa ndani ya hata kumi bora duniani kwa maghorofa lakini inapitwa na Australia almost katika kila index ya kimaendeleo. Australia si nchi ya maghorofa.
 
Nchi haiwezi ikawa imejaa nyumba za mabati, udongo ukaniambia inamaendeleo, so kuwa na majengo na nyumba nzuri ni alama kubwa ya maendeleo.

Just do a bit of research, compare Cuba and Brazil in that matter.
 
Back
Top Bottom