Acha kupotosha jamii. mimi ni mlokole.
Acha kupotosha jamii. mimi ni mlokole.
Acha kupotosha jamii. mimi ni mlokole.
umeokoka baada ya haya masahibu?
Mbavu Zangu Mie Tehehehehehehehehehehe,nimecheka Sana,atakuwa Ni Huyu Huyu Shyland,kitendo Cha Kujihami Ulokole Wakati Si Mlokole Kinadhihirisha Kuwa Anakwiba Wake Za Watu,ulokole Kautoa Wapi Huyu?
unamaanisha nini
Mbavu Zangu Mie Tehehehehehehehehehehe,nimecheka Sana,atakuwa Ni Huyu Huyu Shyland,kitendo Cha Kujihami Ulokole Wakati Si Mlokole Kinadhihirisha Kuwa Anakwiba Wake Za Watu,ulokole Kautoa Wapi Huyu?
walio okoka huwa hawajitangazi....matendo yao tu yanajieleza
The wages of sin is death.
Mr. Eric, hilo ni tendo la heshma usiliite uchafu!, huwezi jua kama huyo mke kwenye ndoa yake anatoshelezwa au la, ikitokea mke hatoshelezwi ipasavyo ndani ya ndoa yake, ni rukhsa kupata raha kwingine popote!. Kufanya mapenzi nje ya ndoa sio kosa la jinai!. Mungu alituumba kila mtu apate raha, hivyo msiwasakama watu kwenye raha zao!, usikuta huyo kijana ndie mkombozi wa huyo mwanamke!.Kijana mmoja ameng'atwa na nyoka mwenye sumu kali akiwa msituni akivunja amri ya sita na mke wa mtu.
Inasemekana ndio ilikuwa tabia yake kufanya uchafu huo na mwanamke huyo asiye mwaminifu ktk ndoa yake.
Sasa leo kama kawaida wakaamua kufanya uchafu wao eneo hilo ndipo wakiwa bado wanaendelea na starehe