Angalizo: Usitafute mchumba kanisani

Angalizo: Usitafute mchumba kanisani

Kwa maana hyo tuende MSIKITINI? Hata kama ni wakristo mkuu.
 
Makanisani ndio sehemu kwenye mafisi wengi wenye ngozi za kondoo.

Watu wengi waliokosa wachumba hukimbilia kanisani kudhani kuwa mke bora au mke mwema hupatikana kanisani, lakini mke mwema hutoka kwa Mungu. Penye watu wawili au watatu Mungu yupo katikati yao.

Makanisani watu ndio sehemu yao ya kutembeza ngoma, huko watu wanapigana mijeledi kinoma.
Waimba kwaya ni wazinzi kinoma.

Vijana ni wazinzi, wapigaji mizinga na matapeli kupindukia. Ukitaka mwenzi mwema, usiende kumtafuta kanisani, muombe Mungu akupe, naye atakupa kutoka kwenye hazina yake.

Huenda mkakutana kwenye daladala, au sehemu yoyote ile, usikate tamaa, Mungu ana jibu kwa wakati wake.

Ombeni bila kukoma.
ukweli usio na shaka
 
Naunga mkono hoja ila sio wote kuna baadhi wapo hivyo. Kanisa unaweza kuokota embe dodo au yai viza
 
Ila wanaopatikana misikitini wote ni wema..
 
Makanisa ya kilokolee ndo usime, one day nimeenda kwenye moja wapo ya hilo kanisa.
Aiseee acha kabisa kumbe wanawake na waume wanaosali pale 70% wana matatizo makubwa mengine ayafai kusimulia.
Nini maana ya kanisa? Labda unifafanulie kulingana na hayo Maelezo yako
 
KAMA MIMI YALIYONIPATASINA HAMU NA HAWA VIUMBE WA KANISANI CHA AJABU BADO YUKO BIZE KANISANI LAKINI TABIA MBAAAAAAAAAAAAAYAAAAAAA......SIJUI HAJIJUI?
 
Back
Top Bottom