Angalizo la Polepole la Wahuni kuwa kila mahali linaonekana kutoeleweka bado. Hata upinzani, Sauti ya Tanzania, TLS, nk, ni dhahiri kuwa nako wapo!

Angalizo la Polepole la Wahuni kuwa kila mahali linaonekana kutoeleweka bado. Hata upinzani, Sauti ya Tanzania, TLS, nk, ni dhahiri kuwa nako wapo!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,050
Ama kwa hakika hakuna kulipo salama!

Kasikika Mwabukusi:
1. Kudogosha taarifa ya Polepole kuwa mifumo INEC na NIDA kusomana ni jambo la kawaida. Sina hakika alisahau kuwa kwa mujibu wa Polepole kulikuwa na mfumo wa tatu uliotajwa pale. Haikuwa siri, kulikuwa na mfumo wa CCM uliotajwa pamoja na miwili ile. Pia kuwa hoja haikuwa mifumo hiyo kuunganishwa tu, bali ilikuwa ni suala la kujirisha na ambacho kimekuwa kikiendelea kwenye utatu wa muunganiko huo usiokuwa na afya kuhusiana na chaguzi zote kuanzia 2014/15!

Je Mwabukusi alikuwa kaghafilika tu au kuwa alitokea kwa waandishi wa habari kwa bahati mbaya na labda bila tahadhari au hata maandalizi ya kutosha?

2. Katokea tena jana akisifia ziara na mapokezi mazuri waliyopata chamwino, na kuwa amekubaliana na anamwunga mkono mheshimiwa bila kuwa wazi vilivyo ni kwenye nini hasa.

Huu uungwaji mkono kwa mfano, je:
a) Ni kwenye Lissu kuendelea kuwa gerezani hadi baada ya uchaguzi?
b) Ni kwenye mitano mingine?
c) Ni kwenye waliopotea wakiwamo kina Mdude kwamba status quo kuendelea?
d) Ni kwenye uchaguzi kuendelea bila reforms?
e) Ni kwenye kusikilizwa tu bila tafsiri ya lolote litatokea lini? Yaani kwenye mali kauli tu?
nk.

Siyo siri impendeze Mwabukusi kutoa ufafanuzi kwa maana wengine tulishaumwa sana na nyoka. Hapa ikizingatiwa hata mwamba kabla ya kwenda kunywa chai ikulu alionekana kuwa mwanetu!

Walisikika pia baadhi ya wanaharakati ya Sauti ya watanzaniakumbagaza mno Polepole kuliko hata ma CCM. Kuwa eti hajasema lolote la maana. Kwamba yote aliyosema hadi sasa si mali kitu na kuwa yalijulikana na lawama nyingi lawama dhidi yake kuhusiana na awamu ya tano utadhani Polepole alikuwa rais, makamu, au hata waziri kwenye awamu hiyo!

Kwamba kwa hao ndugu Polepole hafai kabisa kuliko hata waandamizi waliokuwa vinara zaidi yake kwenye serikali hiyo. Looh! Kwamba yao hayo si machozi ya mamba kweli?

Mtu unajiuliza "Polepole si kaomba msamaha? Zaidi sana, kwani vita si tunapigana na agenda za leo? Au wao wamefanya lipi wapi lenye impact?" Ama kwa hakika haieleweki wanaharakati hao wanataka, au hawataki nini.

Kwa angalizo la Polepole kuhusiana na wahuni, tunayo haja ya kuangaliana vyema usoni, mdomoni, matendo na hata madhila tunayopata na hasa kutoka kwa yule kiherehere kwenye mapambano. Bila kusahau pana wenzetu wa kufanana na wale nguli wa pale ACT Wazawa ambao panga pangua, wao huwa hawakamatwi kabisa! Kwamba ni design ile ile ya mwamba na kina Mdude. Kuwa kwenye hoja moja au msala mmoja, kipondo cha mbwa Koko na kukamatwa ni kwa akina Mdude, ila mwamba yeye, aah aah!

Ama kweli wahuni si watu wazuri na hasa walioko kwetu, hao ni wabaya zaidi kuliko wale wa wazi wazi upande ule mwingine.

Ikumbukwe imeandikwa: "umdhaniaye siye, ndiye." Muhimu kuona haikuandikwa umdhaniaye ndiye siye!

Ninawasilisha!
 
Muda utayajibu hayo yoooteer

Kusubiria muda ndiyo hasa wanachotutaka kufanya.

Alisikika pia Mwabukusi kuhimiza waandishi kuandika ya wale tu ya wanaoitwa kuliunganisha taifa. Lugha zile zile za CCM na serikali.

Kwani anayelifarakanisha taifa ni yupi? Huyu anayetaka NRNE au anayetaka kumfungia Lissu asiwepo kwenye sanduku la kura?
 
Ama kwa hakika hakuna kulipo salama!

Kasikika Mwabukusi:
1. Kudogosha taarifa ya Polepole kuwa mifumo INEC na NIDA kusomana ni jambo la kawaida. Sina hakika alisahau kuwa kwa mujibu wa Polepole kulikuwa na mfumo wa tatu uliotajwa pale. Haikuwa siri, kulikuwa na mfumo wa CCM uliotajwa pamoja na miwili ile. Pia kuwa hoja haikuwa mifumo hiyo kuunganishwa tu, bali ilikuwa ni suala la kujirisha na ambacho kimekuwa kikiendelea kwenye utatu wa muunganiko huo usiokuwa na afya kuhusiana na chaguzi zote kuanzia 2014/15!

Je Mwabukusi alikuwa kaghafilika tu au kuwa alitokea kwa waandishi wa habari kwa bahati mbaya na labda bila tahadhari au hata maandalizi ya kutosha?

2. Katokea tena jana akisifia ziara na mapokezi mazuri waliyopata chamwino, na kuwa amekubaliana na anamwunga mkono mheshimiwa bila kuwa wazi vilivyo ni kwenye nini hasa.

Huu uungwaji mkono kwa mfano, je:
a) Ni kwenye Lissu kuendelea kuwa gerezani hadi baada ya uchaguzi?
b) Ni kwenye mitano mingine?
c) Ni kwenye waliopotea wakiwamo kina Mdude kwamba status quo kuendelea?
d) Ni kwenye uchaguzi kuendelea bila reforms?
e) Ni kwenye kusikilizwa tu bila tafsiri ya lolote litatokea lini? Yaani kwenye mali kauli tu?
nk.

Siyo siri impendeze Mwabukusi kutoa ufafanuzi kwa maana wengine tulishaumwa sana na nyoka. Hapa ikizingatiwa hata mwamba kabla ya kwenda kunywa chai ikulu alionekana kuwa mwenzetu!

Walisikika pia baadhi ya wanaharakati ya Sauti ya watanzania kumbagaza Polepole kuwa hajasema lolote la maana. Kuwa yote aliyosema hadi sasa si mali kitu na kuwa yalijulikana na lawama nyingi lawama dhidi yake kuhusiana na awamu ya tano utadhani Polepole alikuwa rais, makamu, au hata waziri kwenye awamu hiyo!

Kwamba kwa hao ndugu Polepole hafai kabisa kuliko hata waandamizi waliokuwa vinara zaidi yake kwenye serikali hiyo. Looh!

Mtu unajuuliza "Polepole si kaomba msamaha? Zaidi sana, kwani vita si tunapigana na agenda za leo? Au?" Ama kwa hakika haieleweki wanaharakati hao wanataka, au hawataki Nini.

Kwa angalizo la Polepole kuhusiana na wahuni, tunayo haja ya kuangaliana vyema usoni, mdomoni, matendo na hata madhila tunayopata na hasa kutoka kwa yule kiherehere kwenye mapambano. Bila kusahau pana wenzetu wa kufanana na wale nguli wa pale Act ambao panga pangua, wao huwa hawakamatwi kabisa! Kwamba ni design ile ile ya mwamba na kina Mdude. Kuwa kwenye hoja moja au msala mmoja, kipondo cha mbwa Koko na kukamatwa ni kwa akina Mdude, ila mwamba yeye, aah aah!

Ama kweli wahuni si watu wazuri na hasa walioko kwetu, hao ni wabaya zaidi kuliko wale wa wazi wazi upande ule mwingine.

Ikumbukwe imeandikwa: "umdhaniaye siye, ndiye." Muhimu kuona haikuandikwa umdhaniaye ndiye siye!

Ninawasilisha!

Kumbuka unapopata nafasi ya kukutana na mfalme/malkia unaanza kuongea yasiyomkwaza ili akualike tena karamuni kijana, ni busara tu za kibinadamu

Mwabukusi angeongea na malkia kama anavyoongea youtube sidhani kama asingefukuzwa mjengoni, so wabongo tujifunze kuapppreciate wenzetu wanapofanya kitu hata kama ni kidogo sana tujue kimeleta attention kiasi chake wakati mtoa mada anachapisha hapa anonymously akiwa kasikilia kiono cha hawara yake ajue Mwabukusi alikuwa chamwino (wabongo tumelogewa hili eneo la pembetatu tukumbuke yani) kabla hatujaja kushika keyboard za gates

Povu ruksa though...
 
Kwamba huyu ndugu ghafla anahamasisha tukashiriki uchaguzi kwa wingi bila kuongelea hatma ya NRNE wala Lissu?

Ama kweli kama ni kwenda Ikulu kutuongelea, labda anaaminika Lissu tu!
Lissu hana cha kupoteza mkuu Hawa wengine wakibanwa makende au mali zao zikiwa seized tu wanaimba mapambio ya kusifu. Mwambieni Politics is a Dirty Game Awe Makini Muda Ni Jibu Tosha
 
Lissu hana cha kupoteza mkuu Hawa wengine wakibanwa makende au mali zao zikiwa seized tu wanaimba mapambio ya kusifu. Mwambieni Politics is a Dirty Game Awe Makini Muda Ni Jibu Tosha

Basi kama alikwenda huko akijua anavyo vya kupoteza asitake kututoa wengine kwenye reli. Hawa ndiyo wawauzao wenzao.

Kwamba hata kesi ya anayemwita rafiki yake Mdude haiku feature? Looh, wapumzike kwa amani kina Kibao.

Inakombolewa vipi nchi na wanaonunulika?
 
Kumbuka unapopata nafasi ya kukutana na mfalme/malkia unaanza kuongea yasiyomkwaza ili akualike tena karamuni kijana, ni busara tu za kibinadamu

Mwabukusi angeongea na malkia kama anavyoongea youtube sidhani kama asingefukuzwa mjengoni, so wabongo tujifunze kuapppreciate wenzetu wanapofanya kitu hata kama ni kidogo sana tujue kimeleta attention kiasi chake wakati mtoa mada anachapisha hapa anonymously akiwa kasikilia kiuono cha hawara yake ajue Mwabukusi alikuwa chamwino (wabongo tumelogewa hili eneo la pembetatu tukumbuke yani) kabla hatujaja kushika keyboard za gates

Povu ruksa though...
Unaweza kuongea bila kusifia kichawa-chawa. Mimi Mwabukusi ni mmoja ya viongozi wachache ambao nawakubali kweli kweli kweli. Nilisikia alivyokuwa anazungumzia jinsi alivyopokewa Ikulu, kusema kweli hakuwa professional hata kidogo. Angeweza kabisa kuelezea bila kutoa sifa za kupitiliza. Anyways, mimi huwa simhukumu mtu kwa haraka hivyo bado nafuatilia...
 
Ama kwa hakika hakuna kulipo salama!

Kasikika Mwabukusi:
1. Kudogosha taarifa ya Polepole kuwa mifumo INEC na NIDA kusomana ni jambo la kawaida. Sina hakika alisahau kuwa kwa mujibu wa Polepole kulikuwa na mfumo wa tatu uliotajwa pale. Haikuwa siri, kulikuwa na mfumo wa CCM uliotajwa pamoja na miwili ile. Pia kuwa hoja haikuwa mifumo hiyo kuunganishwa tu, bali ilikuwa ni suala la kujirisha na ambacho kimekuwa kikiendelea kwenye utatu wa muunganiko huo usiokuwa na afya kuhusiana na chaguzi zote kuanzia 2014/15!

Je Mwabukusi alikuwa kaghafilika tu au kuwa alitokea kwa waandishi wa habari kwa bahati mbaya na labda bila tahadhari au hata maandalizi ya kutosha?

2. Katokea tena jana akisifia ziara na mapokezi mazuri waliyopata chamwino, na kuwa amekubaliana na anamwunga mkono mheshimiwa bila kuwa wazi vilivyo ni kwenye nini hasa.

Huu uungwaji mkono kwa mfano, je:
a) Ni kwenye Lissu kuendelea kuwa gerezani hadi baada ya uchaguzi?
b) Ni kwenye mitano mingine?
c) Ni kwenye waliopotea wakiwamo kina Mdude kwamba status quo kuendelea?
d) Ni kwenye uchaguzi kuendelea bila reforms?
e) Ni kwenye kusikilizwa tu bila tafsiri ya lolote litatokea lini? Yaani kwenye mali kauli tu?
nk.

Siyo siri impendeze Mwabukusi kutoa ufafanuzi kwa maana wengine tulishaumwa sana na nyoka. Hapa ikizingatiwa hata mwamba kabla ya kwenda kunywa chai ikulu alionekana kuwa mwanetu!

Walisikika pia baadhi ya wanaharakati ya Sauti ya watanzaniakumbagaza mno Polepole kuliko hata ma CCM. Kuwa eti hajasema lolote la maana. Kwamba yote aliyosema hadi sasa si mali kitu na kuwa yalijulikana na lawama nyingi lawama dhidi yake kuhusiana na awamu ya tano utadhani Polepole alikuwa rais, makamu, au hata waziri kwenye awamu hiyo!

Kwamba kwa hao ndugu Polepole hafai kabisa kuliko hata waandamizi waliokuwa vinara zaidi yake kwenye serikali hiyo. Looh! Kwamba yao hayo si machozi ya mamba kweli?

Mtu unajiuliza "Polepole si kaomba msamaha? Zaidi sana, kwani vita si tunapigana na agenda za leo? Au wao wamefanya lipi wapi lenye impact?" Ama kwa hakika haieleweki wanaharakati hao wanataka, au hawataki nini.

Kwa angalizo la Polepole kuhusiana na wahuni, tunayo haja ya kuangaliana vyema usoni, mdomoni, matendo na hata madhila tunayopata na hasa kutoka kwa yule kiherehere kwenye mapambano. Bila kusahau pana wenzetu wa kufanana na wale nguli wa pale Act ambao panga pangua, wao huwa hawakamatwi kabisa! Kwamba ni design ile ile ya mwamba na kina Mdude. Kuwa kwenye hoja moja au msala mmoja, kipondo cha mbwa Koko na kukamatwa ni kwa akina Mdude, ila mwamba yeye, aah aah!

Ama kweli wahuni si watu wazuri na hasa walioko kwetu, hao ni wabaya zaidi kuliko wale wa wazi wazi upande ule mwingine.

Ikumbukwe imeandikwa: "umdhaniaye siye, ndiye." Muhimu kuona haikuandikwa umdhaniaye ndiye siye!

Ninawasilisha!
HIVI UNAWEZA KULINGANISHA MDUDE ALIVYOHUWA ANATUKANA NA MWAMBA ALIVYOKUWA NA BUSARA ZAKE? UMESHINDWA KUWASILISHA VEMA BANDIKO LAKO
 
Walisikika pia baadhi ya wanaharakati ya Sauti ya watanzaniakumbagaza mno Polepole kuliko hata ma CCM.
Watu wanaojifanya viziwi kusikiliza hoja zake na mabubu kuzijadili ila kutwa wako kuponda personality yake ni wajinga sana.
 
Basi kama alikwenda huko akijua anavyo vya kupoteza asitake kututoa wengine kwenye reli. Hawa ndiyo wawauzao wenzao.

Kwamba hata kesi ya anayemwita tafiki yake Mdude haiku feature? Looh, wapumzike kwa amani kina Kibao.

Inakombolewa vipi nchi na wanaonunulika?
Usiyastaabu haya yanayotokea mkuu Maana Mungu Aliye Juu Yeye Ndiye Atoaye Hukumu Zinazodumu Milele.
 
Kumbuka unapopata nafasi ya kukutana na mfalme/malkia unaanza kuongea yasiyomkwaza ili akualike tena karamuni kijana, ni busara tu za kibinadamu

Mwabukusi angeongea na malkia kama anavyoongea youtube sidhani kama asingefukuzwa mjengoni, so wabongo tujifunze kuapppreciate wenzetu wanapofanya kitu hata kama ni kidogo sana tujue kimeleta attention kiasi chake wakati mtoa mada anachapisha hapa anonymously akiwa kasikilia kiuono cha hawara yake ajue Mwabukusi alikuwa chamwino (wabongo tumelogewa hili eneo la pembetatu tukumbuke yani) kabla hatujaja kushika keyboard za gates

Povu ruksa though...

Wengine viuno vya hawara tutavishikilia sana baada ya ukombozi kamili si kabla ya hapo.

Kama sisi tuko wengi ndiyo maana hawapo nasi leo kina Soka, Ben, Azory, Mdude na namna hiyo.

No wonder ma sellout ni nyie na ndiyo maana kina Kibao na wote hao ikawa vile.

GyobEXhXIAAlsnA.jpeg


Si ajabu kuwa kina nyie mtakuwapo mahakama kuu, kwenye shuka mashahidi wa kificho upande wa Katuga.

Aibu yenu!

Povu tayari.
 
Unaweza kuongea bila kusifia kichawa-chawa. Mimi Mwabukusi ni mmoja ya viongozi wachache ambao nawakubali kweli kweli kweli. Nilisikia alivyokuwa anazungumzia jinsi alivyopokewa Ikulu, kusema kweli hakuwa professional hata kidogo. Angeweza kabisa kuelezea bila kutoa sifa za kupitiliza. Anyways, mimi huwa simhukumu mtu kwa haraka hivyo bado nafuatilia...

Kweli mkuu tulifundishwa kuheshimu mtu anapochukua hatua hata ya sentimita moja tu, bila kwenda yeye maana yake tungekua jana, kikubwa ni kwamba kama haturidhiki kuna mwingine kafunguliwa njia ataenda kuongeza millege tunayotaka coz hamna binadamu ataridhisha kila binadamu, na pia imetuonyesha kwamba malkia mama kumbe anaweza kukaa na kusikiliza tuliodhani hana hata time ya kuwakaribisha meza moja. Kwangu mie ni positive gesture so far! Simkubali sana mama though...
 
Wengine viuno vya hawara tutavishikilia sana baada ya ukombozi kamili si kabla ya hapo.

Kama sisi tuko wengi ndiyo maana hawapo nasi leo kina Soka, Ben, Azory, Mdude na namna hiyo.

No wonder ma sellout ni nyie na ndiyo maana kina Kibao na wote hao ikawa vile.

View attachment 3456258

Si ajabu kuwa kina nyie mtakuwapo mahakama kuu, kwenye shuka mashahidi wa kificho upande wa Katuga.

Aibu yenu!

Povu tayari.

Nakubali wabongo kujudge maisha ya watu kwa sentensi moja tu aliyoongea nawakubali sana so tupo sawa tu mkuu, hamna kitu serious...
 
Unaweza kuongea bila kusifia kichawa-chawa. Mimi Mwabukusi ni mmoja ya viongozi wachache ambao nawakubali kweli kweli kweli. Nilisikia alivyokuwa anazungumzia jinsi alivyopokewa Ikulu, kusema kweli hakuwa professional hata kidogo. Angeweza kabisa kuelezea bila kutoa sifa za kupitiliza. Anyways, mimi huwa simhukumu mtu kwa haraka hivyo bado nafuatilia...

Hakuna anaye mhukumu ndiyo maana ufafanuzi kwenye hoja hizi za wazi yalikuwa muhimu na mapema sana. Kwa mwendo huu kwenye mapambano tunayoaswa kuwa waangalifu hadi na doria mitandaoni, mwendo hauwezi kuwa huu.
 
Back
Top Bottom