Angalizo kwenu . . .

The Boss,nimejichanganya wapi?Umesema sina "haki" ya kusema niliyosema.Nani anatoa hiyo "haki"?Nani mwenye "haki"?Wewe "haki" ya kunikosoa umeitoa wapi?
 
Last edited by a moderator:
this is very well said,ingawa hii sababu ya kutokokuwa muaminifu sababu ya Hofu ya Mungu ni genuine reason though wengi hatukawii kumsahau Mwenyez Mungu,Mwenyez Mungu atusaidie tukawe waaumw/wake waaminifu kwa wenzi wetu
 
Nilimpiga chini ila sasa hivi ni rafiki na am sori am sori nyiingi.......Ila mitego yako wamestukia sema Kaunga kama kipofu ila iko siku ataona........... The Boss mnoko!!!! eeh

Nasikitika kama nimeeleweka hivyo,lakini sio lengo langu!
 
Last edited by a moderator:
Kuwa mwaminifu sio kwa sababu Mungu amekataa uzinzi. HOFU YA MUNGU NI MUHIMU SANA KATIKA SWALA ZIMA LA UAMINIFU NDUGU NA WALA SI SABABU NYEPESI KAMA UNAVYODHANI! HII NIKWASABABU MUNGU YUPO MILELE NA MILELE NA WALA HAKUNA UBINADAMU KAMWE BILA HOFU YA MUNGU MAISHANI MWAKO.
 
Gilo24 ni kwanini unadhani Mungu anatakiwa aogopwe?
 
Last edited by a moderator:
Kuwa mwaminifu sio kwa sababu Mungu amekataa uzinzi. HOFU YA MUNGU NI MUHIMU SANA KATIKA SWALA ZIMA LA UAMINIFU NDUGU NA WALA SI SABABU NYEPESI KAMA UNAVYODHANI! HII NIKWASABABU MUNGU YUPO MILELE NA MILELE NA WALA HAKUNA UBINADAMU KAMWE BILA HOFU YA MUNGU MAISHANI MWAKO.

Hii dhana ya hofu kwa Mungu mmeitoa wapi?
 
Najua hili jambo limeshajadiliwa sana,sina maana nalileta tena ila natoa angalizo kwa wale wanaoliishi. . . . . . . . . . . . . , . . .Kuwa mwaminifu sio kwa sababu Mungu amekataa uzinzi,au unaogopa maradhi,au una mke/mume au unaogopa macho ya watu,hizi ni sababu nyepesi sana zina muda. . . . . . . . . . . . . . . . ,. . . Siku matarajio au sababu yako ikikosa mashiko unaweza kujiona mjinga na huna maana.Mfano;unapofanya uaminifu kwa sababu ya maradhi,je ikipatikana dawa ya maradhi hayo?Uaminifu wako si utafikia kikomo? . . . . . . . . . . . . . . . . . . .Fanya au kuwa mwaminifu kwa sababu ni ubinadamu,uzinzi au kuwa na wanawake/wanaume wengi ni kinyume na ubinadamu,yaani ni tabia ya wanyama wasiofikiri!

Ukiwa na maana kuwa hakuna uzinzi kwa aliye na mmoja?
 
Eiyer nimeona unapojaribu kwenda, hapa unazungumzia utashi wa mtu bila kusukumwa na chochote, kitu hicho akiwezekani unless tu warobot. Nadhani utakubaliana nami kuwa maisha ya binadamu yako influenced na vitu mbalimbali, kuna wengine Mungu ana nafasi kubwa kwenye maisha yao, sasa tuone mchamungu ataishi na kuchukua maamuzi yake kutokana na nini obviously atafuata amri za Mungu. Kwa ufupi ni kuwa kila jambo tunalolifanya lina sababu zake so huwezi kuzikimbia hizo sababu kama ni HIV au fear of God hizo zote ni valid reasons zinazosukuma utashi wetu....and by the way we are animals who need to be tamed so ondoa dhana ya ubinadamu kabisa kama umeamua kumtoa Mungu
 
Last edited by a moderator:
Halafu la kuongeza yule anayefanya uzinzi na kuacha sababu ya maradhi siku dawa ikipatikana atafanya party ya ngono aisee. Nachoshauri ni kutompimia mtu kwa kipimo chako, kama unataka kuongea haya kwa kigezo cha ubinadamu bila kumshirikisha Mungu...unapotea aisee, nitakuuliza huo ubinadamu sheria zake zimeandikwa wapi?
 
hata Kaunga kashashtuka...he is too good to be true,too rightful...too saint....lol

Are u my msemaji mkuu? Eiyer is real, a real man in a real world, with his principles ambazo most of them nazikubali.

Keep it up mdogo wake King'asti au Queen'asti!
 
Last edited by a moderator:
Elizabeth Dominic ubinadamu unapimwa na ubinadamu,ninaposema wanyama nina maana ya wanyama,sidhani kama unaweza kumuita mbuzi binadamu. . . . . . . . . . , . . . . . . . . . Unaposema kila kitu mwanadamu ni lazima kiwe na sababu,ni kweli lakini je ni sababu ipi?Na ina nguvu gani na nguvu hiyo itakuwa na uzito gani? . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . , Mtu anapoacha kuzini kwa sababu ana mume/mke,mtu huyu anatarajia pia mwenzi wake nae awe mwaminifu pia kwa sababu kilichomfanya awe mwaminifu ni ndoa.Mtu huyu siku akija kujua kuwa mwenzake siyo mwaminifu anakua disapointed,uaminifu unakosa maana anaona bora na yeye awe kicheche tu. . . . . . . . . , . . . . . . . . . . . . Sababu ya kuwa Mungu anakataza uzinzi nadhani utakubaliana nami kuwa haina mashiko kwa sababu watu wanamuogopa zaidi Mungu badala ya kumjua.Ndo maana ukimuuliza mtu Mungu ni nani huwezi kupewa jibu la maana na la kueleweka.Watu wanaiogopa dhana ya Mungu zaidi kuliko Mungu mwenyewe,kwani hata Mungu mwenyewe hajasema aopopwe na pia hawapendi waoga,ametamka wazi waoga hawata urithi uzima wa milele.Unadhani ni kwanini hapendi woga?Ni kwa sababu uoga una maisha mafupi sana.Hofu ina kawaida ya kuisha,na ikiisha utakua huna sababu ya kuendelea kufanya ulichokua unafanya kwa sababu ya woga. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Mungu ni dhana ambayo wengi hatuijui ila tunaiogopa,siku ukakutana na mpagani akakuuliza kuhusu Mungu na ukakosa majibu,ukaenda kuwauliza viongozi wako wa dini,wakakosa majibu hayo na wakakuamkuambia unakufuru kumchimba Mungu unachanganyikiwa mwishowe unaamua kuachana na mambo ya Mungu,unayaona magumu. . . . . . . . . . . . . . . . . . Wangapi leo wanayafanya yale Mungu anayoyakataza?Ukiwauliza watakujibu "aah mambo ya dini magumu".Au hujajiuliza kwanini mtu anaiba?Hamuogopi Mungu?Uoga na dhana ya Mungu haviendi pamoja,pia dhana yenyewe ya Mungu ni ngumu na haieleweki kwa wengi! . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Nina mengi ya kusema hapa ila fahamu ukiacha kufanya mambo kama wanyama,ukayafanya kama binadamu utadumu kwenye kuyafanya unayofanya!
 
Last edited by a moderator:
Mimi ninakuwa mwaminifu kwa sababu kuu 2 au 3.

Moja, ni kwa ajili ya pendo langu kwa mpenzi. Meaning penzi likiisha au sibanwi na uaminifu au nitabanwa kwa sababu zingine hapo chini.

Mbili, sipendi, sitaki kujidanganya.

Na Mwisho ni kwa ajili ya hofu ya Mungu. (Hii huweza nifanya nisichopoke pale sababu ya pale juu ikitoweka)

Nakubaliana na Elizabeth Dominic kwa kiwango fulani kuwa we are animals but wenye kitu kikubwa 'Utashi'. Kuna mtu juu amesema siku huo utashi ambao mara nyingi unakuwa back uped na reasons behind ukitoweka, then tunakuwa hatuna tofauti na wanyama ambao huendeshwa na needs tu.

Na shetani ni mzuri sana wa au kutupa 'negative' sababu ambazo huathiri 'negatively' utashi wetu au kuundoa kabisa utashi na kutuacha ka wanyama ambao ktk extreme cases hubaka kila kipitacho.

Eiyer, nakukubali kuwa you r great thinker; lately nyuzi zako zimetupa changamoto; mimi nilikuwa sitaki kuzifikiria sana coz zi pasua kickwa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom