Angalizo.....!!!Chukua tahadhari sana.

Angalizo.....!!!Chukua tahadhari sana.

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,540
Reaction score
7,371
Leo nilivyoamka tu nikawasha simu yangu, na mara moja nikapokea message 2 kama ifuatavyo:

''Slaa ni mropokaji na mgomvi anayelumbana na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi.Anataka damu imwagike ili mradi ashinde. Tusikubali nchi yetu iwe kama.....
....2. Burundi au Congo au Somalia. Hana uwezo wala sifa ya kuwa Rais. Tumuepuke Slaa kama ukoma. Tusidanganyike
''.

Hii msg imeingia kupitia namba hii: +3588976578.

Nadhani hii msg ni ya uchokozi, unafiki na uchochezi wa hali ya juu. Sina shaka ni vibaraka na makada ya CCM yanatumia vocha za EPA kuandiika na kuzituma hizi message. Mzee wangu nae kapokea same msg with same namba.....So chukua tahadhari ukikutana na msg kama hizi,ni uwongo usiopingika. Nawakilisha.
 
Nimepokea na mimi sms ya aina hii leo asdubuhi, nikajiuliza hivi hata kama ni ushabiki wa siasa watanzania tumefikia hatua hii. Ninaomba number za TCRA ili niweze kui-report hiyo number huko ili waweze kufuatilia mmiliki wake na ikiwezekana wachukue hatua za kisheria.

Siji kama Gen Shimbo ameiona nafikiri watu wa aina hii ndiyo wanaotaka kumwaga damu. Pia kama kuna mtu ana number ya IG P Mwema au Gen Shimbo ninaomba ili niwaforwadi waweze kuchukua hatua mapema
 
Leo nilivyoamka tu nikawasha simu yangu, na mara moja nikapokea message 2 kama ifuatavyo:

''Slaa ni mropokaji na mgomvi anayelumbana na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi.Anataka damu imwagike ili mradi ashinde. Tusikubali nchi yetu iwe kama.....
....2. Burundi au Congo au Somalia. Hana uwezo wala sifa ya kuwa Rais. Tumuepuke Slaa kama ukoma. Tusidanganyike
''.

Hii msg imeingia kupitia namba hii: +3588976578.

Nadhani hii msg ni ya uchokozi, unafiki na uchochezi wa hali ya juu. Sina shaka ni vibaraka na makada ya CCM yanatumia vocha za EPA kuandiika na kuzituma hizi message. Mzee wangu nae kapokea same msg with same namba.....So chukua tahadhari ukikutana na msg kama hizi,ni uwongo usiopingika. Nawakilisha.

CCM ndo itakuwa chanzo cha machafuko nchi hii kuliko watu wengi wanavodhania!
 
Leo nilivyoamka tu nikawasha simu yangu, na mara moja nikapokea message 2 kama ifuatavyo:

''Slaa ni mropokaji na mgomvi anayelumbana na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi.Anataka damu imwagike ili mradi ashinde. Tusikubali nchi yetu iwe kama.....
....2. Burundi au Congo au Somalia. Hana uwezo wala sifa ya kuwa Rais. Tumuepuke Slaa kama ukoma. Tusidanganyike
''.

Hii msg imeingia kupitia namba hii: +3588976578.

Nadhani hii msg ni ya uchokozi, unafiki na uchochezi wa hali ya juu. Sina shaka ni vibaraka na makada ya CCM yanatumia vocha za EPA kuandiika na kuzituma hizi message. Mzee wangu nae kapokea same msg with same namba.....So chukua tahadhari ukikutana na msg kama hizi,ni uwongo usiopingika. Nawakilisha.

Wameona sms za changis CCM hazitoshi sasa wameanza kutuma ujinga mwingine! Hiyo namba yenyewe imekaa kiajabu ajabu!
 
sms hizo zimeandaliwa na ccm ambapo wanawashawishi wananchi ili wajiingize katika michezo (bahati nasibu ) baada hapo wanawatumia sms ili kuwadanganya na kuleta maneno ya kuhatarisha usalama wa watanzania. watanzania wenzangu tupo katika kipindi kigumu sana yatasemwa mengi kuwachafua wagombea wenye uelekeo wa kushinda nafasi mbalimbali eg; Urais , Ubungena Madiwani.

TUMEWAGUNDUA HATUDANGANYIKI VIVA DR, SLAA FOR THE PRESIDENT 2010-2015
 
Nimepokea na mimi sms ya aina hii leo asdubuhi, nikajiuliza hivi hata kama ni ushabiki wa siasa watanzania tumefikia hatua hii. Ninaomba number za TCRA ili niweze kui-report hiyo number huko ili waweze kufuatilia mmiliki wake na ikiwezekana wachukue hatua za kisheria.

Bobuk unaweza kujua Message center number ya hiyo SMS??
Hiyo itatusaidia kujua kama zinakuwa originated hapa nchini au la. Hata kama zinatumwa kwa njia ya mtandao Center number itatuwezesha kujua wanatumia server za nchi gani. Kuna wataalamu wa haya mambo humu, tutawaambia CHADEMA namna ya ku-counter hii kitu ikibidi kuwasiliana na hao jamaa ambao server zao zinatumika kuhatarisha amani ya nchi nyingine.
 
Ilishaletwa tena ya hivi leo asubuhi hapa jamvini, achana nao wazidi kupigia kampeni rais wetu wa awamu ya tano!
 
Bobuk unaweza kujua Message center number ya hiyo SMS??
Hiyo itatusaidia kujua kama zinakuwa originated hapa nchini au la. Hata kama zinatumwa kwa njia ya mtandao Center number itatuwezesha kujua wanatumia server za nchi gani. Kuna wataalamu wa haya mambo humu, tutawaambia CHADEMA namna ya ku-counter hii kitu ikibidi kuwasiliana na hao jamaa ambao server zao zinatumika kuhatarisha amani ya nchi nyingine.

Message center ni +255780000030
 
Naombeni kuuliza, wote mliopata sms hii mmepata kupitia mtandao gani?
 
Naombeni kuuliza, wote mliopata sms hii mmepata kupitia mtandao gani?

Ni random, hawajachagua, walichokifanya nadhani wameenda kuziomba aiza, voda, tigo, zantel, na zain, na zingine kwa wale waliojiunga na ccm katika promosheni zao.
 
Hiyo message inatumia dialling code ya Finland, bila shaka wameweka pandikizi mojawapo huko Ufinland kufanya kazi hiyo. THe next step ni kuitia kashikashi serikali ya Finland kwa kuchochea ghasia nchini. Ngoja niangalie ni nini naweza kufanya againts this and I will be back soon.
 
kuna watu wanataka kuandamana kulalamikia zain inatuma meseji za kichochezi, maeneo ya kinondoni akina maama kama wawili wametumiwa na ,paka hapa kuna kundi kubwa lina jadili; nahisi nchi yetu imefika pabaya, JK akikaa Dar kuna jambo lazima afanye, alikaa ikaibuliwa swala la dr slaa kuoa, amekaa tena anaanza kutuma meseji, sidhani kama zaini hawana akili namna hii ila tutaona mwisho wake
 
Hiyo namba imetengenezwa kuonekana kwamba message zinatumwa kutoka Ufinland, lakini kiuhalisia hiyo message inatumwa kutoka hapo hapo Tanzania. Moja ya makapuni ya simu limejiingiza katika biashara hiyo ya kihuni kwa kutengeneza namba yenye area code inayoonyesha kwamba ni ye nje ya nchi wakati kiuhalisia ni ya humohumo ndani ya nchi. Namba ambazo zimefanya kazi siku ya leo kwa nchi ya Ufinland hadi hivi sasa zimeorodheshwa hapa: 358-897-XXXX Exchange - Reverse Phone Lookup!. Lakini namba hiyo haimo kati ya hizi. Kwa mtizamo huo ni dhahiri kwamba hii ni kazi ya kikundi fulani na kampuni moja wapo ya simu hapo Tanzania ndiyo inayofanya uhuni huu. Kuna haja ya kuzigomea simu zake zote hiyo kampuni mara itakapofahamika.
 
halafu ndo wanajifanya kuwatumia JWTZ kuonyesha kwamba kuna watu wanataka kuvuruga amani wakati wao ndo waanzilishi!!😡
 
Hata hivyo wajue kuwa watu wameshawastukia. Mimi nawashauri waweke mpita kwapani mechi iishe tusonge mbele. Wanataka kutuletea balaa hawa watu.
 
Mwaka huu yatafanywa mengi sana ila TUMEFUNGUKA MACHO!!! Pumbafu, nitumieni hiyo message niwalipue..!
 
jamani kwani hamjasikia kile kikundi cha wale wataalamu wa IT toka India chini ya Milaji na Kinana ambao wako nyumba moja hapo Upanga,ndiyo wanaofanya mambo yote hayo..so simple so clear.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom