Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,540
- 7,371
Leo nilivyoamka tu nikawasha simu yangu, na mara moja nikapokea message 2 kama ifuatavyo:
''Slaa ni mropokaji na mgomvi anayelumbana na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi.Anataka damu imwagike ili mradi ashinde. Tusikubali nchi yetu iwe kama.....
....2. Burundi au Congo au Somalia. Hana uwezo wala sifa ya kuwa Rais. Tumuepuke Slaa kama ukoma. Tusidanganyike''.
Hii msg imeingia kupitia namba hii: +3588976578.
Nadhani hii msg ni ya uchokozi, unafiki na uchochezi wa hali ya juu. Sina shaka ni vibaraka na makada ya CCM yanatumia vocha za EPA kuandiika na kuzituma hizi message. Mzee wangu nae kapokea same msg with same namba.....So chukua tahadhari ukikutana na msg kama hizi,ni uwongo usiopingika. Nawakilisha.
''Slaa ni mropokaji na mgomvi anayelumbana na vyombo vya ulinzi na usalama vya nchi.Anataka damu imwagike ili mradi ashinde. Tusikubali nchi yetu iwe kama.....
....2. Burundi au Congo au Somalia. Hana uwezo wala sifa ya kuwa Rais. Tumuepuke Slaa kama ukoma. Tusidanganyike''.
Hii msg imeingia kupitia namba hii: +3588976578.
Nadhani hii msg ni ya uchokozi, unafiki na uchochezi wa hali ya juu. Sina shaka ni vibaraka na makada ya CCM yanatumia vocha za EPA kuandiika na kuzituma hizi message. Mzee wangu nae kapokea same msg with same namba.....So chukua tahadhari ukikutana na msg kama hizi,ni uwongo usiopingika. Nawakilisha.