barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Wanatumia mitandao ya kijamii kama jf kudhani ndio Tz nzima!Tukubaliane tu, Magufuli anapendwa sana huko anakopita ni balaa. Propaganda hazina maana katika hilo
Wanatumia mitandao ya kijamii kama jf kudhani ndio Tz nzima!Tukubaliane tu, Magufuli anapendwa sana huko anakopita ni balaa. Propaganda hazina maana katika hilo
Wananchi wameweza, endapo watajua kuwa anapita mahali na wakaamua hawazuiliki.Hakuna mtu mwenye uwezo wa kusimamisha msafara wa Rais,acheni uzwazwa.
Wananchi wameweza, endapo watajua kuwa anapita mahali na wakaamua hawazuiliki.
Hii sio kama kupiga deki lami, hii ni neksti levo!
Hahahaaa, akina Malisa, Shao, Nkya et all.Msigwa na bavicha kwa ujumla macho KODOO!!
Unabishana na video? Hata Tomaso hakuwa hivyoHakuna anaeweza kumsimamisha Rais.
Unabishana na video? Hata Tomaso hakuwa hivyo
Povu povu povu la kiwango cha lami! Sasa kama walisimamishwa kulikuwa na haja ya wao kuvamia barabara, chuki na wivu mpaka akili ya kawaida haifanyi kazi!Anachosema Msigwa ni kweli.Mnasimamishwa na traffic kwa zaidi ya Massa mawili akipota ati Rais alilakiwa na watu waliojipanga barabarani wakati watu wamesimamishwa muda mrefu tena kwa lazima.
Acheni mambo ya ujima,yalikuwepo enzi za JKN na yeye akayaona hawana.maana akayaacha.Duh umasikini wa akili ni hatari sana
Kwa staili hii ya kuvamia barabarani?? Ebu tutumiage akili hata kama haumkubali jpm!Kila kituo Rais anaposimama pameandaliwa na anajua.
Sawa bosi!!Hakuna anaeweza kumsimamisha Rais.
Hivi video inathibitisha nini? Maana wote tunajua what will happen kwa mwanadamu ukiingilia msafara wa Top Dog, sasa mimi sioni unachobwabwaja hapo. Hata mchukua video ni sehemu ya mpango wenyewe.Unabishana na video? Hata Tomaso hakuwa hivyo
Sawa ila hata yule RAIS wa TLS HAWAMUWEZI wakubali yaishe piaMagufuli hawamuwezi, wakubali tu yaishe
Sawa bosi!!
Ni clip ipi umeona hayo magari ya polisi mbele yakisimama? Clip hii ya hapo juu sijaona yakisimama mbele, hivyo nashindwa kukujibu swali lako!Unaweza kunijibu kwanini hayo magari ya polisi yalisimama mbele kabla hari la Rais alijafika?
Ni clip ipi umeona hayo magari yakisimama? Clip hii ya hapo juu sijaona yakisimama mbele, hivyo nashindwa kukujibu swali lako!
Na mwendo wote ule..?NYUMBU WANABISHIA MPAKA VIDEO, SISI MBONA TULMSISMAMISHA PALE TEGETA
Yawezekana screen ya simu yangu haionyeshi vizuri, ila kama kweli yalisimama, kwanza sitegemei magari ya usalama wa rais ktk umati huo mkubwa yangepita na speed 120, pili kama wana usalama lazima utegemee vitu kutokana na mazingira, kama walisimama mbele basi walisoma alama za nyakati na kutegemea kuwa kunaweza kukawa na simamisho la msafara wa rais, hii sio mara ya kwanza wanasafiri na rais, hivyo kama sehemu ya timu ya ulinzi na usalama kuna vitu unavitabiri na kuchukua tahadhari, kama walisimama, basi ni tahadhari, maana wamlindae yuko nyuma, haimake sense wao waendelee kusonga mbele wakati gut feelings zinasema hapa kutakuwa na simamisho la msafara!Angalia hayo magari yakipita yanasimama mbele
Yawezekana screen ya simu yangu haionyeshi vizuri, ila kama kweli yalisimama, kwanza sitegemei magari ya usalama wa rais ktk umati huo mkubwa yangepita na speed 120, pili kama wana usalama lazima utegemee vitu kutokana na mazingira, kama walisimama mbele basi walisoma alama za nyakati na kutegemea kuwa kunaweza kukawa na simamisho la msafara wa rais, hii sio mara ya kwanza wanasafiri na rais, hivyo kama sehemu ya timu ya ulinzi na usalama kuna vitu unavitabiri na kuchukua tahadhari, kama walisimama, basi ni tahadhari, maana wamlindae yuko nyuma, haimake sense wao waendelee kusonga mbele wakati gut feelings zinasema hapa kutakuwa na simamisho la msafara!