Angalia umasikini unavyotengenezwa kupitia muda

Mkuu hili suala la kutojari muda kama ni rasilimali huku kwetu system yetu ya maisha ndio imetulemaza, angalia tu kwanza ofisi nyingi za sekta zote zinafunguliwa saa 2:30 hasubui halafu zinafungwa saa 9:00 alasiri. Halafu tunafanya kazi siku tano tu za wiki.

Kwa hiyo katika masaa 24 tunafanya kazi maa 6:30 na nusu. Katika wiki nzima kuna masaa 168,

Hivyo basi kati ya hayo masaa 168 masaa tunayotumia kwenye uzalishaji ni 32:30 tu halafu haya mengine 135:30 tunayatumia kwenye mambo mengine binafsi nje ya uzalishaji kama vile kunywa bia,kulala,kutongozana,kula,nk.

Hapo nimeongelea kwa waajiriwa ambao ndio sehemu kubwa ya working force.

Tatizo ni mfumo na nchi nyingi zilizoendelea zililiona mapema hili la kutenga muda wa masaa ya kulala na kufanya kazi ni kikwazo kwenye kasi ya maendeleo.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Sasa unatafuta vita wewe sisi huwa hatutaki kusikia vitu hivi,

Sisi tuletee story za ngono na udaku,

Sisi tuletee discussion za sizonje na lissu,


Sisi tuletee story za wema kaachwa na diamond anamchukua,

Mkuu tafadhali sana tena jiheshimu sisi tunataka kujua kiba na mondi nan mkal

Mkuu hivi una akili kweli kutuambia hayo mambo yako kwani umeshindwa hata kutuma picha za vigodoro kina dada wanamwaga radhi,

Sijui umetuonaje mkuu mpaka unaleta story zako hizo sisi tunataka kusikia kama ommy dimpoz ni shoga au vip,

Hivi kwanini hukuleta hata story ya mimba ya wema kutoka tena si walikuwa mapacha eee hiyo hujaona au dharau,

Bas acha yote huwezi kuongelea hata ivan don na kuzikwa na pesa,


Anyway hayo yote juu umeshindwa lalamikia basi hata mitandao ya simu kwamba bando hazitoshi hatuwezi tena kustream online video za ngono

Mkuu bhana unaboa sana kutuletea vitu tusivyotaka kusikia
Jf imeshindikana

spend less, save more
 
Sasa unatafuta vita wewe sisi huwa hatutaki kusikia vitu hivi,

Sisi tuletee story za ngono na udaku,

Sisi tuletee discussion za sizonje na lissu,


Sisi tuletee story za wema kaachwa na diamond anamchukua,

Mkuu tafadhali sana tena jiheshimu sisi tunataka kujua kiba na mondi nan mkal

Mkuu hivi una akili kweli kutuambia hayo mambo yako kwani umeshindwa hata kutuma picha za vigodoro kina dada wanamwaga radhi,

Sijui umetuonaje mkuu mpaka unaleta story zako hizo sisi tunataka kusikia kama ommy dimpoz ni shoga au vip,

Hivi kwanini hukuleta hata story ya mimba ya wema kutoka tena si walikuwa mapacha eee hiyo hujaona au dharau,

Bas acha yote huwezi kuongelea hata ivan don na kuzikwa na pesa,


Anyway hayo yote juu umeshindwa lalamikia basi hata mitandao ya simu kwamba bando hazitoshi hatuwezi tena kustream online video za ngono

Mkuu bhana unaboa sana kutuletea vitu tusivyotaka kusikia
Duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh we jamaa, akili hiyo nani kakupa? Njoo unigaie na mimi,,, Uliwaza wapi au umemwibia mtu hayo mawazo??
 
Basi fresh haina noma

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Hapo cha muhimu ni kulala masaa 8 na yaliyobaki ni kwa ajili ya kazi na kupumzika kwa sababu huwezi Fanya kazi masaa 16 bila kupumzika kwa kula, kuoga, kucheza, kusali, kufanya usafi wa Nyumba, kwenda meetings za kijamii.

Ukicomplicate utakuwa unataka kubadili maana halisi ya maisha.

Kwani hiyo miaka 17 ya kusoma ulikuwa hulali? Na mbona hujajumlisha miaka 6/7 ya awali toka umezaliwa mpaka kuanza kusoma? Kama umechukua umri wa miaka 75, ratio ya 25 kila sehemu ya kulala, kupumzika na kufanya kazi haiko sawa.

Note: kulala ni moja ya kupumzika.
 
Hivi dunia ya leo kuna watu wanaolala masaa 8 kweli?

Mbona wengine hata masaa manne hatuyapati?

Hahahahaa., pole mkuu, ila let's be honesty katika hayo manne unayolala najua JF ina mkono wake hapo hadi ukabakiwa na hayo manne.
 
Hiyohiyo unayoita miaka 8 kuna mwenzio kaajiriwa private nzuri, anazikamua kwa dolari mwisho wa mwezi na anamake life ya kutosha duniani,
Tatizo sio muda, KAULIZE TU KAMA MSHAHARA WAMEONGEZA JULAI HII AMA VIPI?
dolla kitu gani? hapa tunazungumzia jinsi unavyoweza kutengeneza chain ya hela hata kama upo kitandani unaumwa?? jinsi unavyoweza kuamua utakavyo kwenye maisha yako na hakuna wa kukupangia!! UN wanakuajiri ili kutumia muda wako ambao ww umeshindwa kuutumia
 
Hiyohiyo unayoita miaka 8 kuna mwenzio kaajiriwa private nzuri, anazikamua kwa dolari mwisho wa mwezi na anamake life ya kutosha duniani,
Tatizo sio muda, KAULIZE TU KAMA MSHAHARA WAMEONGEZA JULAI HII AMA VIPI?
dolla kitu gani? hapa tunazungumzia jinsi unavyoweza kutengeneza chain ya hela hata kama upo kitandani unaumwa?? jinsi unavyoweza kuamua utakavyo kwenye maisha yako na hakuna wa kukupangia!! UN wanakuajiri ili kutumia muda wako ambao ww umeshindwa kuutumia
 
Hata ukijiajiri lazima utapangiwa.Mwajiri wako ni mteja, sharti akupangie limited unaamka na lini unanalala.Hizi hadithi za Uhuru wa kufanya utakavyo Kwa Kuwa umejiajiria ni Uongo.Siku hizi dunia ikebadilika,waliohudhuria kwenye ajira pia wameajiri watu,wamewekeza maeneo tofauti,mbali na ajira!!Anahamisha pesa kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine.
Yule Mjapani,Kwa jina Robert Kiyosaki alifungua macho ya wanatamani kitambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ukijiajiri lazima utapangiwa.Mwajiri wako ni mteja, sharti akupangie limited unaamka na lini unanalala.Hizi hadithi za Uhuru wa kufanya utakavyo Kwa Kuwa umejiajiria ni Uongo.Siku hizi dunia ikebadilika,waliohudhuria kwenye ajira pia wameajiri watu,wamewekeza maeneo tofauti,mbali na ajira!!Anahamisha pesa kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine.
Yule Mjapani,Kwa jina Robert Kiyosaki alifungua macho ya wanatamani kitambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri rudi chuo ulicho soma au shule waambie wakurudishie ada yako mkuu fanya hima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazungu kwanza tukubali ni watu wajanja sana na IQ zao sio za kawaida yaani kwanza tu kutitawala hiyo ni kigezo tosha. Wazungu walikaa chini wakaona moja ya njia za kufanya watu hasa Waafrica wawe masikini zaidi ni kugawanya muda.

Waligawa vipi?
Masaa 24 wakagawa kwa 3
24/3=8
wakapata masaa 8.

Wakasema hivi.
Lala angalau masaa 8 kwa siku
Pumzika angalau masaa 8 kwa siku
Fanya kazi angalau masaa 8 kwa siku.


Sasa kama Una miaka 75 au ukafika miaka 75 maana yake ni kwamba.
UMELALA MIAKA 25
UMEPUNZIKA MIAKA 25
UMEFANYA KAZI MIAKA 25

Sasa chukulia kwamba
Shule ya msingi umesoma miaka 7
Secondary kidato cha 4 miaka 3
Kidato cha 6 miaka 2
Chuo kikuu miaka 3
Masters kama utaenda miaka 2
Jumla miaka 17 chukua 25 ya kazi toa 17 utapata miaka 8.

Hii ndo sababu ya wasomi kufa masikini ndo sababu ya Maprofesa pamoja na kustafu wanafanya kazi kwa mkataba. Haya masaa walitengenezewa watu wavivu hasa Africa. Wao hawayatumii kamwe nenda Japana nenda China.
Sasa kwa staili hii kuna tulio kuja Dunuani kulalal na kupumzika na kusoma then end of story

By Chasha Farming

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tuu mkuu, hapo bado hujatoa zile week end na zile siku za mapumziko ya sherehe za serekali na za dini aisee , yaani ni unaweza ukawa umefanya kazi effectivelly miaka mitano tu aisee, sijuii kwa utaratibu huu kama maendeleo yapo aisee
 
  • Thanks
Reactions: _ID

Similar Discussions

Back
Top Bottom