Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

duh!! ningekua mimi ni Jpm ningeomba chama kitafute mtu mwengne wa kupambana na lowassa
 
Mbona watu ni wengi,unajua mtwara sio sawa na dar au mwanza au arusha so nyomi imetulia wakuu,ni mapema sana kujudge,tuwe wavumilivu campaign zikianza ndo tutajua mbivu na mbichi

Unaijua Mtwara vizuri?. Hao watu ni wachache sana, labda kama kilikuwa kikao cha ndani
 
mfano huo uliouotoa mkuu uko biased anyway kwanini asingepiga picha zaid ya moja ili tuone idadi ya watu katika view/angle zote?

Kama hapo mahali upajui ni bora ukae kimya.. Huko Makufuri anakoangalia ni barabarani, na kushota kwa Makufuri ni ofisi za watu. Huo usawa uliopigwa picha ndio kwenye nafasi ya watu wengi kukaa..
 
Good morning!!! Watu wana maneno
. "KIKWETE KILA ANAPOKWENDA ANATEMBEA NA MAGUFULI KWASABABU. ANAHOFIA AKIMUACHA PEKE YAKE ATAHAMIA UKAWA"... 😄😄😄😄😄

Duuuh we mkali
 
mfano huo uliouotoa mkuu uko biased anyway kwanini asingepiga picha zaid ya moja ili tuone idadi ya watu katika view/angle zote?

Mkuu jiongeze kidoogo... Hata kama kuna mushkeli wa position ya mpiga picha, angalia huo upande wa kushoto unaosema utagundua hakuna muendelezo mkubwa wa watu.. Hata hivyo kwenye TV walionesha pia, watu ni wachache..
 
Nasikia Mtwara wa!!lijitokeza watu 257 tu..aibu kubwa hii...

Tena nasikia hao walienda kuokotwa Mtwara vijijini na wilaya za jirani.. Mabasi ya Mbunge wa Mtwara ndio yalifanya hiyo kazi..

Nasikia Mtwara Mjini wakikujua wewe ni CCM wanaweza kukuchomea makazi yako moto au kama huna kukudhuru hata wewe mwenyewe..
 
hivi wananchi wooooote wanaoenda kweny mikutano ya ccm huwa wanauniform kbs, maan kila ninamuona mombea wa ccm, 99% ya hadhira ni wenye t-shirt za chama.hiyo ni imani yangu kuwa watu hao huwa wamebebwa kwa mabasi na kununuliwa.
 
Umati cyo sababu ya kutoa jibu kuwa ni ushindi amuulize lyatonga mlema aljaza watu but alipata kura ngap kwahyo Kuwa na watu wengi hakumaanish ushindi alikuwa na mbwembwe hivyohivyo kipindi anatia nia ccm yako wap na hata sasa amalize hela zake asitegemee kuapishwa octoba kama wanavompamba viongoz wake bali atarajie kujinyonga octoba cc watanzania tunamtaka rais aliyechaguliwa na mungu na cyo pesa

Binti..kipindi lyatonga anagombea urais
1.mfumo wa vyama vingi ulikuwa na miaka 3
2.mimi na wenzangu wapenda mabaliko wa kizazi hiki hatukuwa na sifa za kupiga kura
3.kulikuwa hakuna UKAWA
4. Hakukuwa na RICHMOND,MEREMETA,DOWANS,ESCROW,MABEHEWA FEKI,BUZWAGI,RADAR FEKI,BUNGE LA KATIBA
5.kulikuwa na njia chache za kupata habari
6.Vyombo vya habari havikuwa huru.

km una kichwa cha Binadamu nadhani utakuwa umenielewa vizuri
 
CCM wenzangu kazi tunayo sana mwka huu, na ukijumlisha na TANESCO wanavyo kata umeme ni shida sana

Tena sio kidogo, hata kuchangia huu uzi wenyewe nimejitahidi kuongea lolote ila nitakuja kuiondoa comment yangu baada ya wewe kuisoma.
 
Yan walikua wamechooka woote! Hata Mwigulu hadi ndevu alishindwa kunyoa. Amevurugwa hadi anasema eti wanaotaka urais kwa kutumia nguvu ili warudishe pesa walizohonga kwenye kura za maoni! Hivi urais wa ccm nao wanapigiwa kura za maoni? Kweli Lowasa amewavuruga ccm

Huyo mwigulu anatuonesha kuwa CCM nao huwa wanalipa madeni.
 
Hata leo gazeti la mwananchi tar 12/8 wametumia picha za kampeni za JK.
kwanini wasitumie za hk MTWARA tuone tsunami
 
Wakianza kampeni ccm hawana budi kumficha Kikwete asiongozane na Magufuli kwani atampunguzia kura; huyu jamaa hana mvuto tena anakuwa kama ana nuksi vile!!! Magufuli awe anajiuza mwenyewe kwa utendaji kazi wake ; wananchi wameichoka ccm hawaitaki tena wala wasijidanganye!!
 
Kama hapo mahali upajui ni bora ukae kimya.. Huko Makufuri anakoangalia ni barabarani, na kushota kwa Makufuri ni ofisi za watu. Huo usawa uliopigwa picha ndio kwenye nafasi ya watu wengi kukaa..

wala mi sijakataa ndugu yangu ila kuliko kutegemea maneno yako tu wewe "unaepafaham" mpiga piga angetuwekea picha katika mionekano mbalimbali ili akufanyie wepesi wewe kunielewesha,,, by the way uchache ama wingi wa watu hapo unataka u prove nini in the first place???
 
Back
Top Bottom