Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

Huyu jamaa anagombea ubunge au udiwani
Magufuli anadharirika si mchezo
 
Tuache upotoshaji, Magufurı hakuwa na mkutano wa hadhara Mtwara jana.Alienda ofsi za Chama mkoa kusalimia wanachama.

Acha upotoshaji, hao wanachama wanaishi ofisini? hapo walipo ni ofisini?
 
Mbona watu ni wengi,unajua mtwara sio sawa na dar au mwanza au arusha so nyomi imetulia wakuu,ni mapema sana kujudge,tuwe wavumilivu campaign zikianza ndo tutajua mbivu na mbichi

Utaona nyomi siku UKAWa wakiwa pande ya huko na hutaamini macho yako.
Watu wamewachoka -Wapigwe tu unafikiri wamesahau madhila waliyofanyiwa.


 
Jamaa ali bip kama wengine walivyofanya. Sasa simu ikapokelewa hajui cha kuongea. Kugombea urais sio mchezo.
 
CCM wenzangu kazi tunayo sana mwka huu, na ukijumlisha na TANESCO wanavyo kata umeme ni shida sana

TANESCO wanatusaidia sana wana UKAWA kupiga campaign...October 25 ni kuidelete CCM tu, baaasi!
 
Mleta mada na mpiga picha wote wagonjwa unapiga picha kupalaza juu ili iweje.
 
Tuache upotoshaji, Magufurı hakuwa na mkutano wa hadhara Mtwara jana.Alienda ofsi za Chama mkoa kusalimia wanachama.

Hata Lowassa hakuwa na mkutano wa hadhara jana, alienda ofisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua form za Uraisi!
 
Mbona watu ni wengi,unajua mtwara sio sawa na dar au mwanza au arusha so nyomi imetulia wakuu,ni mapema sana kujudge,tuwe wavumilivu campaign zikianza ndo tutajua mbivu na mbichi
kwani hujui kwamba wana ccm tumechoka kukopwa halafu hatulipwi baada ya kutumika kwenye jua kali?
 
Huyu jamaa anagombea ubunge au udiwani
Magufuli anadharirika si mchezo
We jamaa mburula kweli hapo ni kwenye ofisi za ccm tena za wilaya magufuli anatafuta wadhamini acha kupotosha watu.
 
magufuli.jpg


HAPO ALIKUWEPO RAIS, MGOMBEA CCM,MWIGULU NA MAWAZIRI WENGINE

JE KAMA JK ASINGEKUWEPO?

ni cheki upande wa kulia mstari wa pili tuko makada toka wilaya mbalimbali.wanachi hawataki kujaaa
 
We jamaa mburula kweli hapo ni kwenye ofisi za ccm tena za wilaya magufuli anatafuta wadhamini acha kupotosha watu.

Kwahiyo huo ndo umati wa watu waliokuja kumdhamini mbunge au diwani
Mmeshikwa pabaya safari hii hamchomoki
 
Aisee! Hilo "nyomi" la hatari, huyo jamaa lazima atakuwa "RAHISI" sana baada ya uchaguzi mkuu!
 
Back
Top Bottom