mpiga picha alipiga picha kuelekea kulia kwa ma.gufuli huku ma.gufuli mwenyewe anapunga mkono kuwaelekea wananchi walio kushoto kwake ambao inawezekana ni wengi kuliko mpigaji wa picha anavotaka kutuaminisha,,, wataalam wa kutoa tafsiri nzuri za picha watusaidie
Hapana hiyo picha iko sahihi kabisa wataalamu wa kupiga picha wanaita usawa anaotazama magufuri eye room au nose room yan anatazama wapi hivyo lazima useme nafasi kubwa anapotazama subject wako kuip huai picha yako. Na kama angeipa right side ya magufuri nafasi kubwa ungeeona watu wachache zaidi au angepiga picha akiwa nyuma ya magufuri ili upate picha ya magufuri na umati ungekua amekiuka taratibu za picha maana usingetambua kusudio lake kama mpiga picha ni kuonesha nini??. Labda kwa kusaidia maranyingi picha zinazotumika kuonesha umati wa watu wengi zinapigwa kutoka juu mfano nilizokua nikiangalia Katika msafara wa lowasa kuelekea NEC hivyo mpiga picha alikuja sahihi kwani nampongeza maana licha ya kupiga picha vizur lakini alificha ukweli kua wale watu ni wachache zaidi ya hapo wanavyo onekana kwa kutopiga picha za kutoka juu yani 90° angle.
![]()
HAPO ALIKUWEPO RAIS, MGOMBEA CCM,MWIGULU NA MAWAZIRI WENGINE
JE KAMA JK ASINGEKUWEPO?
![]()
HAPO ALIKUWEPO RAIS, MGOMBEA CCM,MWIGULU NA MAWAZIRI WENGINE
JE KAMA JK ASINGEKUWEPO?
Mbona Lowasa alienda ofisi za CUF ghafla juzi jumapili, pakafurika umati wa watu km mkutano wa hadhara? Kweli ulipo tupo! Yaani rais wa nchi, mgombea urais wawepo mahali wananchi wasifurike? how come!
mfano huo uliouotoa mkuu uko biased anyway kwanini asingepiga picha zaid ya moja ili tuone idadi ya watu katika view/angle zote?
Ccm inashinda hao wanywa viroba wa UKAWA mpaka Oct watakuwa wamepoteza kadi
View attachment 275433
CCM tulibugi kumuacha Jembe!!