makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 886
Ni vema sehemu zote akikopita magufuri ndiko mzee wa kazi LOWASA aende kutafuta wadhamini huko ili afute nyao zao kabla ya kampein rasmi. Uongo ukiuacha mda mrefu mwishowe utaaminika.Huyu jamaa amekata tamaa sana..Sijui alidhani U Rais ni kitu chepesi ? sasa huyu ni mgombea u Rais au anagombea Udiwani ?