Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
Huyu jamaa amekata tamaa sana..Sijui alidhani U Rais ni kitu chepesi ? sasa huyu ni mgombea u Rais au anagombea Udiwani ?
Katibu tarafa maana kama wanachama wa mtwara ndio hawa kazi ipo~
Huyu jamaa amekata tamaa sana..Sijui alidhani U Rais ni kitu chepesi ? sasa huyu ni mgombea u Rais au anagombea Udiwani ?
We jamaa mburula kweli hapo ni kwenye ofisi za ccm tena za wilaya magufuli anatafuta wadhamini acha kupotosha watu.
Tuache upotoshaji, Magufurı hakuwa na mkutano wa hadhara Mtwara jana.Alienda ofsi za Chama mkoa kusalimia wanachama.
Huyu jamaa amekata tamaa sana..Sijui alidhani U Rais ni kitu chepesi ? sasa huyu ni mgombea u Rais au anagombea Udiwani ?
Aliona earthquake ya dar jana?
![]()
HAPO ALIKUWEPO RAIS, MGOMBEA CCM,MWIGULU NA MAWAZIRI WENGINE
JE KAMA JK ASINGEKUWEPO?
Tuache upotoshaji, Magufurı hakuwa na mkutano wa hadhara Mtwara jana.Alienda ofsi za Chama mkoa kusalimia wanachama.
Tuache upotoshaji, Magufurı hakuwa na mkutano wa hadhara Mtwara jana.Alienda ofsi za Chama mkoa kusalimia wanachama.
Kweli huu ukataji wa umeme now its getting serious jana maeneo niliyopo hapa arusha 24 hours no electricity its too bad hivi mpaka lini kero hizi.CCM wenzangu kazi tunayo sana mwka huu, na ukijumlisha na TANESCO wanavyo kata umeme ni shida sana