Inabidi CCM watafute strategy ya kumnadi Magufuli wakiendelea kumuweka na JK kwenye misafara yao, watazidi kupoteza idadi kubwa ya wafuasi, mimi nilikuwepo karibu na eneo la tukio lakini niliposikia atakuwepo na JK basi nikajua mkutano utani-bore jamaa kashusha sana mvuto kwangu sijajua kwa watu wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.