Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

Angalia Tsunami ya Magufuli Mtwara jana

Mbona watu ni wengi,unajua mtwara sio sawa na dar au mwanza au arusha so nyomi imetulia wakuu,ni mapema sana kujudge,tuwe wavumilivu campaign zikianza ndo tutajua mbivu na mbichi
 
Tuache upotoshaji, Magufurı hakuwa na mkutano wa hadhara Mtwara jana.Alienda ofsi za Chama mkoa kusalimia wanachama.

hoja butu kwan magufuli hapend kufutwa nj watu ajitahidi sana waje wengi lakn akaambulia hao tu
 
Hapo anawaambia wanyanyue mikono juu kama ishara ya kusalimu amri kwa ukawa
 
chaikavu

Pumba zao ndio zinazosababisha wasikubalike
 
Last edited by a moderator:
hoja butu kwan magufuli hapend kufutwa nj watu ajitahidi sana waje wengi lakn akaambulia hao tu

Usiwe na jaziba kijana.Inategemea kusudio alilonalo.Ili watu wakusanyike, inatakiwa uhamasishajı na oganaizeşheni kwa ajili hyo.Huo ulıkuwa mkutano wa wanachama na hakukuwa na uhamasıshaji wa ajili ya hcho unachotaka.Staratejia pia zina tofautiana.
 
Good morning!!! Watu wana maneno
. "KIKWETE KILA ANAPOKWENDA ANATEMBEA NA MAGUFULI KWASABABU. ANAHOFIA AKIMUACHA PEKE YAKE ATAHAMIA UKAWA"... 😄😄😄😄😄
 
wasikate tamaa waende taratibu wanaweza kushinda miaka ijayo wakibadilika wapeane moyo tu
 
Usiwe na jaziba kijana.Inategemea kusudio alilonalo.Ili watu wakusanyike, inatakiwa uhamasishajı na oganaizeşheni kwa ajili hyo.Huo ulıkuwa mkutano wa wanachama na hakukuwa na uhamasıshaji wa ajili ya hcho unachotaka.Staratejia pia zina tofautiana.

Mbona Lowasa alienda ofisi za CUF ghafla juzi jumapili, pakafurika umati wa watu km mkutano wa hadhara? Kweli ulipo tupo! Yaani rais wa nchi, mgombea urais wawepo mahali wananchi wasifurike? how come!
 
Tuache upotoshaji, Magufurı hakuwa na mkutano wa hadhara Mtwara jana.Alienda ofsi za Chama mkoa kusalimia wanachama.

Sasa ww ndio unatupotosha, mbona hata mwananchi limesema alikuwa na mkutano na akaomba zufanyike kampeni za kisayansi ili washinde ushindi wa tsunami, na hiyo picha anaonekana alikuwa jukwaani......tafuta gazeti la mwananchi.
 
Good morning!!! Watu wana maneno
. "KIKWETE KILA ANAPOKWENDA ANATEMBEA NA MAGUFULI KWASABABU. ANAHOFIA AKIMUACHA PEKE YAKE ATAHAMIA UKAWA"... 😄😄😄😄😄

Ha ha ha ha ..........
 
Kwa wataalam wa kupiga picha wanaelewa hiyo picha ilivyo, yaani imepigwa kuelekea wingi wa watu walipo vinginevyo angekuwepo freelance na kufotoa kwa nyuma tungecheka sana na pole zaidi kwa ccm tungetoa.
 
Back
Top Bottom