Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 480
- 571
Tanzanie inapokea watalii takriban 1 million kila mwaka..je Rwanda ana host watalii wangapi.naomba nisaidiwe
hujasikia meli kubwa ya kitali iliyotia nanga majuziTunayo royal tour sijui habari zake ziliishia wapi..
Hakuna cha kujifunza. Like you said, Rwanda ni ndogo mno huwezi kujifunzia.Kwanza tuanze na takwimu za kijiografia.
Rwanda ni ndogo kuliko mko wa Tabora. Rwanda ina ukubwa wa Kilomita za mraba elfu 26, Tabora ina ukubwa wa mraba kilomita elfu 29.
Rwanda ina watu wasiozidi milioni 12. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.
Rwanda haina mbuga ya wanyama wala vivutio vyovyote vya kitalii kama ilivyonavyo Tanzania lakini mwaka 2022 Rwanda ilipokea watalii milioni 1.1 huku Tanzania ikipata watalii milioni 1.6 pamoja na kua na vivutio vya utalii visivyo na Idadi.
Jana, tarehe 2.11.2023 Rwanda imetangaza kufuta visa ama kibali cha mtu yoyote kutoka Afrika kuitembelea Rwanda, kwenda Rwanda ni kama unaenda nyumbani kwako, hakuna wa kukuuliza masuala ya visa wala nini.
Rwanda inafanya matangazo ya vivutio vyao vidogo walivyonavyo kwenye klabu kubwa za mpira Duniani. Ukifika Rwanda mabango yote yanatangaza vivutio vya utalii. Tanzania kila barabara matangazo ni ya Rais Samia kuupiga mwingi.
Rwanda imekua nchi ya nne Afrika kufuta Visa kwa Waafrika wenzao ikitanguliwa na nchi nyingine kama Benin.
Je, Tanzania tuna cha kujifunza kutoka Rwanda?
Rwanda inaongozwa na nchi za magaribi !Kwanza tuanze na takwimu za kijiografia.
Rwanda ni ndogo kuliko mko wa Tabora. Rwanda ina ukubwa wa Kilomita za mraba elfu 26, Tabora ina ukubwa wa mraba kilomita elfu 29.
Rwanda ina watu wasiozidi milioni 12. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.
Rwanda haina mbuga ya wanyama wala vivutio vyovyote vya kitalii kama ilivyonavyo Tanzania lakini mwaka 2022 Rwanda ilipokea watalii milioni 1.1 huku Tanzania ikipata watalii milioni 1.6 pamoja na kua na vivutio vya utalii visivyo na Idadi.
Jana, tarehe 2.11.2023 Rwanda imetangaza kufuta visa ama kibali cha mtu yoyote kutoka Afrika kuitembelea Rwanda, kwenda Rwanda ni kama unaenda nyumbani kwako, hakuna wa kukuuliza masuala ya visa wala nini.
Rwanda inafanya matangazo ya vivutio vyao vidogo walivyonavyo kwenye klabu kubwa za mpira Duniani. Ukifika Rwanda mabango yote yanatangaza vivutio vya utalii. Tanzania kila barabara matangazo ni ya Rais Samia kuupiga mwingi.
Rwanda imekua nchi ya nne Afrika kufuta Visa kwa Waafrika wenzao ikitanguliwa na nchi nyingine kama Benin.
Je, Tanzania tuna cha kujifunza kutoka Rwanda?