Angalia tofauti ya Rwanda na Tanzania kwenye masuala ya utalii. Tanzania tuna cha kujifunza kutoka Rwanda

Kwanza tuanze na takwimu za kijiografia.

Rwanda ni ndogo kuliko mko wa Tabora. Rwanda ina ukubwa wa Kilomita za mraba elfu 26, Tabora ina ukubwa wa mraba kilomita elfu 29.

Rwanda ina watu wasiozidi milioni 12. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

Rwanda haina mbuga ya wanyama wala vivutio vyovyote vya kitalii kama ilivyonavyo Tanzania lakini mwaka 2022 Rwanda ilipokea watalii milioni 1.1 huku Tanzania ikipata watalii milioni 1.6 pamoja na kua na vivutio vya utalii visivyo na Idadi.

Jana, tarehe 2.11.2023 Rwanda imetangaza kufuta visa ama kibali cha mtu yoyote kutoka Afrika kuitembelea Rwanda, kwenda Rwanda ni kama unaenda nyumbani kwako, hakuna wa kukuuliza masuala ya visa wala nini.

Rwanda inafanya matangazo ya vivutio vyao vidogo walivyonavyo kwenye klabu kubwa za mpira Duniani. Ukifika Rwanda mabango yote yanatangaza vivutio vya utalii. Tanzania kila barabara matangazo ni ya Rais Samia kuupiga mwingi.

Rwanda imekua nchi ya nne Afrika kufuta Visa kwa Waafrika wenzao ikitanguliwa na nchi nyingine kama Benin.

Je, Tanzania tuna cha kujifunza kutoka Rwanda?
Hakuna cha kujifunza. Like you said, Rwanda ni ndogo mno huwezi kujifunzia.
 
Kwanza tuanze na takwimu za kijiografia.

Rwanda ni ndogo kuliko mko wa Tabora. Rwanda ina ukubwa wa Kilomita za mraba elfu 26, Tabora ina ukubwa wa mraba kilomita elfu 29.

Rwanda ina watu wasiozidi milioni 12. Tanzania ina watu zaidi ya milioni 61.

Rwanda haina mbuga ya wanyama wala vivutio vyovyote vya kitalii kama ilivyonavyo Tanzania lakini mwaka 2022 Rwanda ilipokea watalii milioni 1.1 huku Tanzania ikipata watalii milioni 1.6 pamoja na kua na vivutio vya utalii visivyo na Idadi.

Jana, tarehe 2.11.2023 Rwanda imetangaza kufuta visa ama kibali cha mtu yoyote kutoka Afrika kuitembelea Rwanda, kwenda Rwanda ni kama unaenda nyumbani kwako, hakuna wa kukuuliza masuala ya visa wala nini.

Rwanda inafanya matangazo ya vivutio vyao vidogo walivyonavyo kwenye klabu kubwa za mpira Duniani. Ukifika Rwanda mabango yote yanatangaza vivutio vya utalii. Tanzania kila barabara matangazo ni ya Rais Samia kuupiga mwingi.

Rwanda imekua nchi ya nne Afrika kufuta Visa kwa Waafrika wenzao ikitanguliwa na nchi nyingine kama Benin.

Je, Tanzania tuna cha kujifunza kutoka Rwanda?
Rwanda inaongozwa na nchi za magaribi !
Elewa maana ya puppet state

Kuna media flan za marekani kila siku kusafisha rwanda kila muda had nilidhani ni media za rwanda !!

kwene utaliii wanaweza kufanya watu wao waje nchini kwako au wasije ni vile watavokupamba au kukuharibu
 
Back
Top Bottom