Angalia namna Lowassa anavyojichanganya na kuonyesha mapungufu yake mengi

Mwaka huu ,hatuchagui nani profesa nani mchungaji ,mwaka huu tunahamisha UTAWALA na kuleta UONGOZI ,hilo moja,kubwa kushinda yote tunajipanga na kuwapanga wengine kuikomoa CCM ,system ya CCM na organs zake imekuwa corrupted ,haifai hata kuongoza mbuzi seuze ng;ombe.

Mnataka kuwafanya watu wabakie katika majina ,wachague majina,wafuate usomi wa mtu ,hayo yote wameshayafuata na faida hakuna ,mwaka huu CCM mnang'oo mnang'oka hakuna mbadala hapo .lichama chakavu limekwisha mpelekeeni Hamadi Rashidi auze kama chuma chakavu,

Utawala wa CCM hauna faida kabisa kabisa ,watu na usomi wao tena wasomi wa kweli wameshindwa kutumia elimu yao ndani ya CCM wanabakia kukamatwa na mufuko ya rambo na viloba wakihamisha mahela kutoka mabenki mfano Anna Tibaijuka na wengine wengi sana mmewafunika ndani ya system ,ivi magufuli ataiweza kazi ya kuibadilisha system ,no way .LiCCM lazima ling'olewe na mzizi yake ,halina tena hadhi ya kuwa chama tawala cha Taifa la Tanzania.
 
Maneno ya hekima na busara ndiyo tunayoyahitaji hapa jf , hili ni darasa nawaomba muache kukejeliana / kudharauliana na kutusiana ili tupeana mwanga wa ufahamu ulio mzuri .
 
Very cheap argument, sikutakiwa hata kuifungua hii, wasted my time!

Nakumbuka fika kuwa katika mikutano yake wakati hata bado hajakinunua chadema, ukawa na watannzania baadhi wasiojielewa lowassa alikuwa kila anaponukuliwa anasema nanukuu " mimi sitaki mtu masikini na siamini kama kuna mtu masikini tanzania " mwisho wa kunukuu. kwa wale mtakaobisha tafuteni kauli zake hizi kupitia kwa watu waliokuwepo katika hiyo mikutano yake na kauli hii hii pia aliitumia wakati akitangaza nia kupitia chama kikubwa, kizuri, bora na kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla cha CCM.

Ili kuonyesha huyu mzee anavyofilisika kichwani leo tena akiwa huko kwa watu wanaopenda umbea sana kuliko wowote nchini Tanzania mkoani Mbeya lowassa alisema nanukuu " nikiwa rais nitaunda serikali rafiki na masikini kwani natambua tuna marafiki wengi " mwisho wa kumnukuu. je kauli zake zinafanana? kwanini haeleweki? ila sishangai kwani yawezekana wengi wenu msiweze kugundua hili pengine kutokana na kutekwa na mihemko ya siasa za panya road za wapinzani wa nchi hii CHADEMA / UKAWA.

Jambo jingine ambalo linanichanganya kwa huyu mgombea mwenye ndoto za alinacha lowassa ni kitendo chake cha kutumia udhaifu wa kiuchumi wa makundi fulani ya watanzania kama ndiyo mtaji wake wa kisiasa. kwa mfano kokote ambko lowassa ataenda kuhutubia lazima atasema maneno au kauli hii " nikiwa rais nitahakikisha maisha bora kwa mama ntilie, boda boda na wamachinga ". hivi ni kweli matatizo ya nchi hii ni ya watu au makundi hayo ya watu? nimewahi mno kufuatilia siasa za wenzetu waliotutangulia katika siasa tena za kidemokrasia kwa muda mrefu na hapa kwa ulaya nachukua mfano wa nchi ya marekani ambapo nakumbuka wakati wa kampeni za urais obama wa democrat na john mcain wa republican muda wote wa kampeni zao walikuwa wanagusia tu " sensitive and very touching issues " zinazowahusu na zitakazowafaidisha wamarekani kiujumla vivyo vivyo kwa majirani zetu wa kenya hata wao wakati wa akina uhuru na odinga na wao hawakuwa mbali sana kama akina obama na mcain wakati wa kampeni zao ila kwa hapa Tanzania naona lowassa anataka kuleta mtindo wa siasa uitwao " monduli politics " ambazo zimejaa sana sera za kucheza na akili za watu wasiojua kufikiri na ambao wapo tayari kupelekwa pelekwa kama ng'ombe wakiwa malishoni.

Ewe mgombea wangu rais mtarajiwa dr. John Pombe Magufuli naomba utakapoanza kampeni zako hebu tuonyeshe kuwa kweli wewe ni phd holder na utakayoyasema yaakisi hiyo elimu yako kubwa na binafsi nakuaminia na utafanikiwa mno. watanzania tunakutegemea sana magufuli na tuna imani na wewe na chama chako pia.

Tuvumiliane tu kwa sasa.
 
Mtaji wa chadema/ukawa ni kwa makundi hayo matatu yaani
1:bodaboda
2:marching guys (machinga)
3:mama lishe

Hata mikutano yao hujazwa na watu wa makundi hayo,udhaifu wa watu wa kada hizo
1: hutenda kabla ya kufikiri
2: ni rahisi sana kushawishiwa
3:wengi wao ni short tempered
 
Andika part II- Maisha bora kwa kila mtanzania, kutengeneza Singapore, kuleta ma Cruuz ktk maziwa yote, na compare na PhD za kichina za kupewa baada ya kugawa vipusa. Then tuelezee namna ya kupiga mbizi na jinsi waalimu watakavyotumia laptops wakiwa wamekaa chini. Kumalizia, onyesha correlation ya Phd ya ukweli na ugawaji wa nyumba kwa vimada ma-housegilrs. !!


Nakumbuka fika kuwa katika mikutano yake wakati hata bado hajakinunua chadema, ukawa na watannzania baadhi wasiojielewa lowassa alikuwa kila anaponukuliwa anasema nanukuu " mimi sitaki mtu masikini na siamini kama kuna mtu masikini tanzania " mwisho wa kunukuu. kwa wale mtakaobisha tafuteni kauli zake hizi kupitia kwa watu waliokuwepo katika hiyo mikutano yake na kauli hii hii pia aliitumia wakati akitangaza nia kupitia chama kikubwa, kizuri, bora na kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla cha CCM.

Ili kuonyesha huyu mzee anavyofilisika kichwani leo tena akiwa huko kwa watu wanaopenda umbea sana kuliko wowote nchini Tanzania mkoani Mbeya lowassa alisema nanukuu " nikiwa rais nitaunda serikali rafiki na masikini kwani natambua tuna marafiki wengi " mwisho wa kumnukuu. je kauli zake zinafanana? kwanini haeleweki? ila sishangai kwani yawezekana wengi wenu msiweze kugundua hili pengine kutokana na kutekwa na mihemko ya siasa za panya road za wapinzani wa nchi hii CHADEMA / UKAWA.

Jambo jingine ambalo linanichanganya kwa huyu mgombea mwenye ndoto za alinacha lowassa ni kitendo chake cha kutumia udhaifu wa kiuchumi wa makundi fulani ya watanzania kama ndiyo mtaji wake wa kisiasa. kwa mfano kokote ambko lowassa ataenda kuhutubia lazima atasema maneno au kauli hii " nikiwa rais nitahakikisha maisha bora kwa mama ntilie, boda boda na wamachinga ". hivi ni kweli matatizo ya nchi hii ni ya watu au makundi hayo ya watu? nimewahi mno kufuatilia siasa za wenzetu waliotutangulia katika siasa tena za kidemokrasia kwa muda mrefu na hapa kwa ulaya nachukua mfano wa nchi ya marekani ambapo nakumbuka wakati wa kampeni za urais obama wa democrat na john mcain wa republican muda wote wa kampeni zao walikuwa wanagusia tu " sensitive and very touching issues " zinazowahusu na zitakazowafaidisha wamarekani kiujumla vivyo vivyo kwa majirani zetu wa kenya hata wao wakati wa akina uhuru na odinga na wao hawakuwa mbali sana kama akina obama na mcain wakati wa kampeni zao ila kwa hapa Tanzania naona lowassa anataka kuleta mtindo wa siasa uitwao " monduli politics " ambazo zimejaa sana sera za kucheza na akili za watu wasiojua kufikiri na ambao wapo tayari kupelekwa pelekwa kama ng'ombe wakiwa malishoni.

Ewe mgombea wangu rais mtarajiwa dr. John Pombe Magufuli naomba utakapoanza kampeni zako hebu tuonyeshe kuwa kweli wewe ni phd holder na utakayoyasema yaakisi hiyo elimu yako kubwa na binafsi nakuaminia na utafanikiwa mno. watanzania tunakutegemea sana magufuli na tuna imani na wewe na chama chako pia.

Tuvumiliane tu kwa sasa.
 
Sasa wewe ndugu yangu unayejiita cleverbright, unathubutuje tukukana watu wa mkoa mzima kuwa wanapenda umbeya? Ina maana huyo magufuri uliyekwisha kumwandaa kuwa rais, atakuwa rais wako mwenyewe? Ccm umesema ni chama kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla, je kwenye hiyo ccm hakuna watu wa kutoka mbeya? Napata shaka na uweledi wako
 
Sasa wewe ndugu yangu unayejiita cleverbright, unathubutuje tukukana watu wa mkoa mzima kuwa wanapenda umbeya? Ina maana huyo magufuri uliyekwisha kumwandaa kuwa rais, atakuwa rais wako mwenyewe? Ccm umesema ni chama kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla, je kwenye hiyo ccm hakuna watu wa kutoka mbeya? Napata shaka na uweledi wako

Mkuu, the majority of hawa watu uwezo wao wa kifikiri, kuchambua na kuelewa ni mdogo sana, matokeo yake miaka zaidi ya 40 ya uongozi wao, nchi bado inaona dhana ya maendeleo ni hadithi ya kufikirika tu, pamoja na raslimali za kumwaga tulizojaliwa.
 
"Kwa nini unataka Lowasa awe raisi?" "Hata najua basi! Mi namshangilia tu" Nyumbus @work.
Kwanini wafuasi wa Lowasa (cyber army) wanatumia matusi na lugha chafu badala ya kusema wanaplan kufanya nini, kivipi na tutegemee matokeo gani na matusi tu kila dakika. Jipangeni vizuri previously (Kabla ya Lowasa) debate ilikuwa based on issues, sasa kuna tofauti gani na Kibajaji. Kumbukeni Arumeru Mashariki Ushindi Ulipatikani sio kwa Matusi wala Maneno ya kejeli. CDM ilifocus kwenye issues na kuelezea maovu ya Lowasa na Ushindi ukapatikana. Kwa nini tumeacha a wining formula? Je hafai tena baada ya EL kuhamia huku? Je kwa hii mikakati matokea yakeenda opposite wa kulaumiwa nani. Tujadili Issues na personal attack hazina maana.
 
Nakumbuka fika kuwa katika mikutano yake wakati hata bado hajakinunua chadema, ukawa na watannzania baadhi wasiojielewa lowassa alikuwa kila anaponukuliwa anasema nanukuu " mimi sitaki mtu masikini na siamini kama kuna mtu masikini tanzania " mwisho wa kunukuu. kwa wale mtakaobisha tafuteni kauli zake hizi kupitia kwa watu waliokuwepo katika hiyo mikutano yake na kauli hii hii pia aliitumia wakati akitangaza nia kupitia chama kikubwa, kizuri, bora na kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla cha CCM.

Ili kuonyesha huyu mzee anavyofilisika kichwani leo tena akiwa huko kwa watu wanaopenda umbea sana kuliko wowote nchini Tanzania mkoani Mbeya lowassa alisema nanukuu " nikiwa rais nitaunda serikali rafiki na masikini kwani natambua tuna marafiki wengi " mwisho wa kumnukuu. je kauli zake zinafanana? kwanini haeleweki? ila sishangai kwani yawezekana wengi wenu msiweze kugundua hili pengine kutokana na kutekwa na mihemko ya siasa za panya road za wapinzani wa nchi hii CHADEMA / UKAWA.

Jambo jingine ambalo linanichanganya kwa huyu mgombea mwenye ndoto za alinacha lowassa ni kitendo chake cha kutumia udhaifu wa kiuchumi wa makundi fulani ya watanzania kama ndiyo mtaji wake wa kisiasa. kwa mfano kokote ambko lowassa ataenda kuhutubia lazima atasema maneno au kauli hii " nikiwa rais nitahakikisha maisha bora kwa mama ntilie, boda boda na wamachinga ". hivi ni kweli matatizo ya nchi hii ni ya watu au makundi hayo ya watu? nimewahi mno kufuatilia siasa za wenzetu waliotutangulia katika siasa tena za kidemokrasia kwa muda mrefu na hapa kwa ulaya nachukua mfano wa nchi ya marekani ambapo nakumbuka wakati wa kampeni za urais obama wa democrat na john mcain wa republican muda wote wa kampeni zao walikuwa wanagusia tu " sensitive and very touching issues " zinazowahusu na zitakazowafaidisha wamarekani kiujumla vivyo vivyo kwa majirani zetu wa kenya hata wao wakati wa akina uhuru na odinga na wao hawakuwa mbali sana kama akina obama na mcain wakati wa kampeni zao ila kwa hapa Tanzania naona lowassa anataka kuleta mtindo wa siasa uitwao " monduli politics " ambazo zimejaa sana sera za kucheza na akili za watu wasiojua kufikiri na ambao wapo tayari kupelekwa pelekwa kama ng'ombe wakiwa malishoni.

Ewe mgombea wangu rais mtarajiwa dr. John Pombe Magufuli naomba utakapoanza kampeni zako hebu tuonyeshe kuwa kweli wewe ni phd holder na utakayoyasema yaakisi hiyo elimu yako kubwa na binafsi nakuaminia na utafanikiwa mno. watanzania tunakutegemea sana magufuli na tuna imani na wewe na chama chako pia.

Tuvumiliane tu kwa sasa.

Magufuli amefanya nini cha maana???
Tanzania yetu hii??
Kiongozi bora ni yule mwenye "good reasoning" is he among them? If so kwa kipi?
 
nakumbuka fika kuwa katika mikutano yake wakati hata bado hajakinunua chadema, ukawa na watannzania baadhi wasiojielewa lowassa alikuwa kila anaponukuliwa anasema nanukuu " mimi sitaki mtu masikini na siamini kama kuna mtu masikini tanzania " mwisho wa kunukuu. Kwa wale mtakaobisha tafuteni kauli zake hizi kupitia kwa watu waliokuwepo katika hiyo mikutano yake na kauli hii hii pia aliitumia wakati akitangaza nia kupitia chama kikubwa, kizuri, bora na kitakatifu tanzania, africa na duniani kwa ujumla cha ccm.

Ili kuonyesha huyu mzee anavyofilisika kichwani leo tena akiwa huko kwa watu wanaopenda umbea sana kuliko wowote nchini tanzania mkoani mbeya lowassa alisema nanukuu " nikiwa rais nitaunda serikali rafiki na masikini kwani natambua tuna marafiki wengi " mwisho wa kumnukuu. Je kauli zake zinafanana? Kwanini haeleweki? Ila sishangai kwani yawezekana wengi wenu msiweze kugundua hili pengine kutokana na kutekwa na mihemko ya siasa za panya road za wapinzani wa nchi hii chadema / ukawa.

Jambo jingine ambalo linanichanganya kwa huyu mgombea mwenye ndoto za alinacha lowassa ni kitendo chake cha kutumia udhaifu wa kiuchumi wa makundi fulani ya watanzania kama ndiyo mtaji wake wa kisiasa. Kwa mfano kokote ambko lowassa ataenda kuhutubia lazima atasema maneno au kauli hii " nikiwa rais nitahakikisha maisha bora kwa mama ntilie, boda boda na wamachinga ". Hivi ni kweli matatizo ya nchi hii ni ya watu au makundi hayo ya watu? Nimewahi mno kufuatilia siasa za wenzetu waliotutangulia katika siasa tena za kidemokrasia kwa muda mrefu na hapa kwa ulaya nachukua mfano wa nchi ya marekani ambapo nakumbuka wakati wa kampeni za urais obama wa democrat na john mcain wa republican muda wote wa kampeni zao walikuwa wanagusia tu " sensitive and very touching issues " zinazowahusu na zitakazowafaidisha wamarekani kiujumla vivyo vivyo kwa majirani zetu wa kenya hata wao wakati wa akina uhuru na odinga na wao hawakuwa mbali sana kama akina obama na mcain wakati wa kampeni zao ila kwa hapa tanzania naona lowassa anataka kuleta mtindo wa siasa uitwao " monduli politics " ambazo zimejaa sana sera za kucheza na akili za watu wasiojua kufikiri na ambao wapo tayari kupelekwa pelekwa kama ng'ombe wakiwa malishoni.

Ewe mgombea wangu rais mtarajiwa dr. John pombe magufuli naomba utakapoanza kampeni zako hebu tuonyeshe kuwa kweli wewe ni phd holder na utakayoyasema yaakisi hiyo elimu yako kubwa na binafsi nakuaminia na utafanikiwa mno. Watanzania tunakutegemea sana magufuli na tuna imani na wewe na chama chako pia.

Tuvumiliane tu kwa sasa.

menemene tekeli na peresi
 
Unajichanganya mwenyewe,Lowassa katoa kauli mbili tofauti akiwa katika vyama viwili tofauti.
Vipi ulitaka pia avae nguo za CCM akiwa chadema?
 
ningesoma huu Uzi mpaka mwisho ila nimegundua unasumbuliwa na nightmares za mafuriko nimeishia pale uliposema "kwa mfano kwa ulaya unatolea mfano marekani"sasa kama ujui marekani ipo bara gani utawezaje kumwelewa mtu asiependa maneno mengi bali viyendo aka LOWASA EDO subiri october ndugu acha perepechee
 
Anajifungamanisha na masikini kabla na siku zote lowasa amekuwa akichangia vikoba na kwa nchi yetu, ni yeye na reginald mengi waliowafikia masikini kwa vile ambavyo Mungu amewapa.

Sasa kwa taarifa yako, alikuwa anachangia hivyo vikoba unavyoviita wewe ili kujitengenezea mazingira ya kuwateka watu, ila ana dhamira yake iliyofichika.
 
Back
Top Bottom