Uache uongo, kauli hizo mbili katoa akiwa chadema, msipende kuwa na mapenzi ya upofu.
Mwaka huu ,hatuchagui nani profesa nani mchungaji ,mwaka huu tunahamisha UTAWALA na kuleta UONGOZI ,hilo moja,kubwa kushinda yote tunajipanga na kuwapanga wengine kuikomoa CCM ,system ya CCM na organs zake imekuwa corrupted ,haifai hata kuongoza mbuzi seuze ng;ombe.
Mnataka kuwafanya watu wabakie katika majina ,wachague majina,wafuate usomi wa mtu ,hayo yote wameshayafuata na faida hakuna ,mwaka huu CCM mnang'oo mnang'oka hakuna mbadala hapo .lichama chakavu limekwisha mpelekeeni Hamadi Rashidi auze kama chuma chakavu,
Utawala wa CCM hauna faida kabisa kabisa ,watu na usomi wao tena wasomi wa kweli wameshindwa kutumia elimu yao ndani ya CCM wanabakia kukamatwa na mufuko ya rambo na viloba wakihamisha mahela kutoka mabenki mfano Anna Tibaijuka na wengine wengi sana mmewafunika ndani ya system ,ivi magufuli ataiweza kazi ya kuibadilisha system ,no way .LiCCM lazima ling'olewe na mzizi yake ,halina tena hadhi ya kuwa chama tawala cha Taifa la Tanzania.
Kwanini wafuasi wa Lowasa (cyber army) wanatumia matusi na lugha chafu badala ya kusema wanaplan kufanya nini, kivipi na tutegemee matokeo gani na matusi tu kila dakika. Jipangeni vizuri previously (Kabla ya Lowasa) debate ilikuwa based on issues, sasa kuna tofauti gani na Kibajaji. Kumbukeni Arumeru Mashariki Ushindi Ulipatikani sio kwa Matusi wala Maneno ya kejeli. CDM ilifocus kwenye issues na kuelezea maovu ya Lowasa na Ushindi ukapatikana. Kwa nini tumeacha a wining formula? Je hafai tena baada ya EL kuhamia huku? Je kwa hii mikakati matokea yakeenda opposite wa kulaumiwa nani. Tujadili Issues na personal attack hazina maana.
Huwa unamuongelea wewe?Low as a hajui hata kuongea Na mwenyewe anajua ikulu labda ya Monduli ndio atakanyaga
Wachangiaji wengine sijui wakoje!Hii ni shidaaa mana lowasa ananunua watu ili afanikiwe kuingia ikulu na akiingia tutegemee ikulu itakua na walinzi wakimasai na sime zao na hata tausi wata chinjwa wote na kuleta ngombe mgeni akifika analetewa maziwa huku akimsubili raisi pia ugoro utauzwa mpaka ikulu na felli watazuia kuleta samaki