kioju
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 804
- 271
cleverbright
Ngoja tukusaidie kidogo ww mwenye chama kizuri. Ni kwamba kampen hazijaanza hapo anatambulishwa tu kama alivyokua anatambulishwa mgombea wako na unapozungumza ya mwenzio kumbuka na ya kwako, ngoja nikukumbushe, unakumbuka mgombea wako alivyokua anasema kila alipokwenda? Alisma hvi nanukuu"mimi naitwa john pombe magufuri nitawatumikia ndugu zangu watanzania" je, ndio sera pekee?
Tuliza ball mkuu subir kipyenga kipulizwe ujue ILAN ya vyama ndo ukosoe lakn kwa bahat mbaya chama bora kimetoa sera moja ikaonekana haikubarik haraka ikakanushwa, sasa nashaur n bora mzitaje mapema kabla ya kampen ili muone upepo wa sera zenu unamwitikio gan alafu mbadilishe kabla ya kipyenga uwenda itawasaidia vingnevyo mtaumbuka tena. Bado wiki nzima jitahdin kutaja ilan ndo ushaur wangu
Ngoja tukusaidie kidogo ww mwenye chama kizuri. Ni kwamba kampen hazijaanza hapo anatambulishwa tu kama alivyokua anatambulishwa mgombea wako na unapozungumza ya mwenzio kumbuka na ya kwako, ngoja nikukumbushe, unakumbuka mgombea wako alivyokua anasema kila alipokwenda? Alisma hvi nanukuu"mimi naitwa john pombe magufuri nitawatumikia ndugu zangu watanzania" je, ndio sera pekee?
Tuliza ball mkuu subir kipyenga kipulizwe ujue ILAN ya vyama ndo ukosoe lakn kwa bahat mbaya chama bora kimetoa sera moja ikaonekana haikubarik haraka ikakanushwa, sasa nashaur n bora mzitaje mapema kabla ya kampen ili muone upepo wa sera zenu unamwitikio gan alafu mbadilishe kabla ya kipyenga uwenda itawasaidia vingnevyo mtaumbuka tena. Bado wiki nzima jitahdin kutaja ilan ndo ushaur wangu
Last edited by a moderator: