Angalia Hali tete UDOM leo!

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,520
Reaction score
7,292
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa UDOM asubuhi ya leo, Serikali isipokuwa makini inatengeza bomu kubwa sana after few years!!

 
Poor HR recruitment, ita watu wachache wenye sifa kwa interview. Ni upumbavu kuitakia watu mia kwa nafasi kumi.
 
Poor HR recruitment, ita watu wachache wenye sifa kwa interview. Ni upumbavu kuitakia watu mia kwa nafasi kumi.

sio mia kaka, kuna position ya hr manager, nafasi ni 12 lakini sistangu aliniambia alikuta raia ka buku hv, na karibu nusu ya walioitwa hawakuka! ni nowmer!
 
Human Resources Manager anatakiwa arudi college kusoma
 
Ajira hizo we Husninyo
 
nashangaa kwani walipotuma maombi hawakutuma na cv zao? Kwanini chuo hakiuanza kufanya mchujo kwa cv na kuwabakisha wachache kwa interview.
Wangepokea maombi kisha wakachuja kutokana na CVs jinsi zilivyokaa baadae wakatangaza majina machache ambayo ndiyo yatafanyiwa interview.
 
Nikweli aisee, hai ingii akililni kuita watu 1224 kuja kugombea nafasi 10 tu, umtoe mtu kidabaga kweli? labda huu ni mfumo mpya na watuambie faida zake ninini...
 
Sijui hii inaashiria nin kwa sisi ambao bado tuko mashulen!
 
Lazma tanzani tufanye interview kwa kutumia software. Itasaidia kuundoa usumbufu huu.
 
Pspf na hata crdb wamefanya kama udom walivyofanya, may be huu ndio utaratibu mpya. HR tufahamisheni why this.
 
Kama hari ndio hii basi somo la Entrepreneurship linatakiwa kutiliwa mkazo mashuleni inasikitisha kuona watu zaidi ya 1000 wakigombania nafasi kumi this is very shame kwa wasomi wetu wakati kuna opportunity kibao bongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…