Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Wana JF - especially wana MAGAMBA,
Wakati mgao wa umeme umeeanza nchini kwetu (na imekuwa jambo la kawaida si geni tena) Ghana kuna sheria zifuatazo zinazomlinda mteja wa umeme:
Wakati mgao wa umeme umeeanza nchini kwetu (na imekuwa jambo la kawaida si geni tena) Ghana kuna sheria zifuatazo zinazomlinda mteja wa umeme:
- Umeme hautakiwi kukatika zaidi ya saa 48 (kwa mwaka) kwa miji mikubwa na 72 kwa miji midogo (kwa mwaka).
- Ukikatika umeme kwa siku isizidi saa 8 mfululizo, na hiyo isizidi siku 7 katika mwaka.
- Ikiwa kuna hitilafu inayosababisha kukatika umeme sheria hizo hazitatumika ISIPOKUWA ikitokea hitilafu ikakiuka sheria KAMPUNI YA UMEME INALIPA FAINI.