Dah....RIP Andisya Brown Swebe Mwansasu.........poleni sana wafiwa
Malafyale Ogah, umenikuna san a na inaelekea unamfahamu vilivyo Andisya kijana wa "mjomba" Brown Swebe Mwansasu.
Mipango ya mazishi ni kesho kuanzia saa nne asubuhi pale nyumbani Kwao Sinza, na kishia makaburi ya Sinza.
CHAMUDATA kupitia kwa King Makoussa na Mafumu Bilali watakuwepo kumuaga mwenzao kwa tungo mbali.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina Lake lihimidiwe.
WANA wa Harlem,tuna majonzi-he was a prominent memberMay all beings attain enlightenment.
Maskani Harlem imezizima.
Asante sana mkuu nimetoka hapo Sinza muda huu nawanamuziki wenziwe wanaendelea kutoa tungo za maombolezo pale msibani wakiongozwa na wakongwe wote na magwiji Kama King Kiki,Juma Ubaya Wengine.Poleni sana sehemeji zangu........huu ni msiba mkubwa kwa familia ninazozifahamu sana.......kuanzia kwa ma-Chief wa Iringa hadi ma-Chief wa Tukuyu