Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Nathani jamaa ni threat kwa serikali ya ccm, pia ukisoma mada zake utajua tu jamaa ni kichwa

Sema tu, naona ile muzimu ya butiama imegazibika, sijui mchonga alikiuka masharti sasa watoto wake ndio wanalipa.

kwenye hiyo post "ukichwa" upo wapi?
 
Sasa anataka hao usalama wa taifa ndio wamkwamue kutoka kwenye hiyo extreme poverty yake? Kwa akili za huyo jamaa usishangae akawa anataka hao jamaa wakamfagilie nyumba na kumuoshea vyombo ndio maana wanaishia kugombana. Alafu watu wanalipwaje wamlinde Andrew, yeye ni nani? Hivi bado anaishi kwao?
Hawa ndio wale watoto wa vigogo waliobweteka na vyeo vya wazazi, kuja kuamka wanakuta Dunia imesonga mbele wao wapo nyuma..!
Huyu bado kula kulala, hajuwi bei ya LUKU wala Dawasco, hajui hata bei ya fungu la nyanya wala vitunguu...
Bure kabisa..
 
Inasikitisha lakini daaa!.............. basi ya Ngoswe muachie mwenyewe
 
Huyu Mzee Julius Kwanini aliiacha familia Ikiwa na hali mbaya kiasi hiki? Hivi kweli alishindwa kuwawekea vitega uchumi vya kudumu licha ya kutawala nchi kwa zaidi ya miaka 20?

Alishindwa hata kuwaandaa Walau waweze kujitegemea?

Mpaka Sasa Nafikiri wanaishi kwa kutegemea posho Toka serikalini!

This is shame kwakweli!

Ulitaka nyerere awatibu mwenyewe watoto wake mpaka wapone hayo matatizo ya akili? ..
 
Hawa watoto wa Nyerere waingizwe kwenye pay roll ya ikulu,wawe wanavuta mpunga kila mwezi hadi watakapo aga dunia.
Haipendezi wakae kwenye "extremly poverty" wakati baba yao alitumia mda mwingi kuikomboa Tanganyika,na kusahau familia yake.
Laiti Nyerere angekuwa na mentality ya ubinafsi,hao watoto leo ndio wangekuwa matajiri wa kutupwa,na watanganyika tungekuwa extremly poor
Bila roho ya wivu naungana na wewe bora ikawa hivyo
 
Ila hawa jamaa wana shida ya kuwaza yaani mimi ningekuwa tu najina la ukoo nyerere ningekuwa sio wa kawaida hasa hili jamaa kama ni toto lake kabisa limeshindwa kabisa kujiweka sawa kiuchumi kupitia jina ambalo naona naona kama linathaman sana hata kibishara
 
Huyu Mzee Julius Kwanini aliiacha familia Ikiwa na hali mbaya kiasi hiki? Hivi kweli alishindwa kuwawekea vitega uchumi vya kudumu licha ya kutawala nchi kwa zaidi ya miaka 20?

Alishindwa hata kuwaandaa Walau waweze kujitegemea?

Mpaka Sasa Nafikiri wanaishi kwa kutegemea posho Toka serikalini!

This is shame kwakweli!
It's not a shame nyinyi mlitaka jk nyerere awe fisadi,maisha bora gani ulitaka awaachie kwani hawakupata elimu bora hawa watoto walibweteka na jina la baba yao wanaona wataogopwa kama baba yao si hivyo heshima inatafutwa hairithishwi kwani kenyata au karume warithishwa urais ? Si unaona walivyopambana hawa wamelewa hilo jina la nyerere
angekuwa mtoto wa mwinyi mngetusema watu wa pwani eti ooh wavivu hamjishughulishi
Lakini huyu ea butiama mnasems ana frustrations
 
Si rahisi kumuelewa Endrew anatumia code sana kuwasilisha jumbe zake endeleeni kumchukulia poa ila hiko kichwa kingine kabisa

By the way tumemiss sana humu mzee wa UFO
 
Mwalimu alikuwa akitembea na vitu viwili wakati wote; biblia na azimio la arusha. Hivi vitu vitaathiri mpka kizazi chake cha nne au cha tano cha familia yake.
Kasoro kizazi cha mdogo wake Joseph Nyerere kipo saafi. Huyu Andrew kachukua akili ya baba yake mdogo baba ya akina Yericko Nyerere. lazima kaaca kula vidonge leo.
 
Si rahisi kumuelewa Endrew anatumia code sana kuwasilisha jumbe zake endeleeni kumchukulia poa ila hiko kichwa kingine kabisa

By the way tumemiss sana humu mzee wa UFO
Kama hajasahau kula vidonge lakini inaonekana leo kasahau kula vidonge huyu unayemsifia.
 
wengne mnalopol humu mtadhan mmewekewa cherehan midomon pasipo kutafakar.!ths family iko kwenye maisha ya shda sana,wakat baba yao ameplay part kubwa sana ktk hii nchi,utashangaa kina ridh na watoto wengne wa wakulu wanaish kama wafalme wakat watoto wa mwl kama watumwa!wat a shame
Mwenye kukuelewa akuelewe tu
 
It's not a shame nyinyi mlitaka jk nyerere awe fisadi,maisha bora gani ulitaka awaachie kwani hawakupata elimu bora hawa watoto walibweteka na jina la baba yao wanaona wataogopwa kama baba yao si hivyo heshima inatafutwa hairithishwi kwani kenyata au karume warithishwa urais ? Si unaona walivyopambana hawa wamelewa hilo jina la nyerere
angekuwa mtoto wa mwinyi mngetusema watu wa pwani eti ooh wavivu hamjishughulishi
Lakini huyu ea butiama mnasems ana frustrations
Poor mindset, unasema Kenyatta hakumuandalia mazingira mtoto wake, Unajua vizuri historia ya Kenyatta? Unafahamu kuwa Ile familia Ndio number moja kwa utajiri Kenya?? Unafahamu kuwa Kenyatta mdogo alianza kuandaliwa kuwa kiongozi akiwa mtoto mdogo kabisa?

Mwalimu Nyerere kuwaacha watoto wake ktk hali ya umasikini km vile haikuwa sahihi hata kidogo!

Usifikiri kila anaekuwa tajiri ni fisadi.

Angalia Madhara ya nchi kuongozwa na watu wenye mindset za kimasikini, tunarudi nyuma miaka 50, kipindi hiki watawala wanachukia mtu kuwa tajiri Badala ya kumsifia.

Kipindi cha mwalimu watu mpaka ilifikia hatua ya kwenda kutupa hela baharini au barabarani!

Hii Ndio mnataka wananchi waishi?
 
Back
Top Bottom