Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Sasa anataka hao usalama wa taifa ndio wamkwamue kutoka kwenye hiyo extreme poverty yake?

Kwa akili za huyo jamaa usishangae akawa anataka hao jamaa wakamfagilie nyumba na kumuoshea vyombo ndio maana wanaishia kugombana.

Alafu watu wanalipwaje wamlinde Andrew, yeye ni nani? Hivi bado anaishi kwao?
Is a royal family watalindwa na kutunzwa hadi kufa.... Elewa hilo...
 
Is a royal family watalindwa na kutunzwa hadi kufa.... Elewa hilo...
Open your eyes Yeriko, Andrew anaongelea picha kubwa zaidi ya alichokiandika. Fumbua fumbo hilo. Hilo kundi la aliowaita 'Usalama wa Taifa' waliopewa fervor(jukumu) la kumlinda yeye huku wakipata mishahara minono ni kina nani? Andrew kasimama kuwakilisha kama watu wanaolindwa ili wajione wanathaminiwa na hao waliopewa jukumu kumlinda lakini kiuhalisia hawathaminiwi na pengine hunyanyaswa, pia wanaishi katika umasikini mkubwa!, nao tujiulize ni kina nani? Anasema anataka kuwaondoa 'wakafanye kazi nyingine'(hapa anaonyesha uwezo huo anao maana yeye ndio kawaajiri na labda kwa kodi anayolipa ndio wanapata mishahara minono)
 
nimegundua kumbe kuna baadhi ya watanzania wanafagilia ufisadi!!dah hii ni hatari...
 
Kumwelewa huyu Mzee inahitaji uwe na uwezo Mkubwa wa kuinyambulisha Fasihi.., sasa ukichanganya na Kipindi cha Mwezi Mwandamo basi ndo inakuwa tafrani kweli kweli!!!
Mkuu wewe ni great na umetarget sahihi...
Hata mtoa mada hajaelewa
 
Anapotosha hakuna Usalama wa Taifa wanaomlinda yeye, wao wanamlinda mke wa Mwalimu(mama yake) Mama Maria pamoja na makazi yake ya Mikocheni na Butiama, yeye kajikuta yupo cordoned kwa virtual yakuishi ktk hayo makazi embu ahame aone kama kuna atakaemlinda...dogo anatafuta kiki tu

Unamuita Ganesh dogo
Rubani mstaafu wa Mig kwenye vita ya Kagera

Alikua nao front kina Mboma wamestaafu zaidi ya miaka 10 we utakua umri wa Marehemu Ngombare
 
Anapotosha hakuna Usalama wa Taifa wanaomlinda yeye, wao wanamlinda mke wa Mwalimu(mama yake) Mama Maria pamoja na makazi yake ya Mikocheni na Butiama, yeye kajikuta yupo cordoned kwa virtual yakuishi ktk hayo makazi embu ahame aone kama kuna atakaemlinda...dogo anatafuta kiki tu

kulindwa kuna maana nyingi.

kwani
mkuu unadhani hata wakimuacha yule bibi kuna nani wa kumgusa???ulinzi wa pale ni mkubwa tu mpaka polisi wapo kwa heshima ya makazi ya mzee na familia yake,sasa anachoongea huyu si kingine bali anamaanisha uhuru wa moja kwa moja.

maana labda hata akitaka kuuza toroli ataambiwa hapana.
 
Hakuna kati hao uliowataja wanapata single cent toka serikalini wamezipata kwa baba zao kama baba yao hakuwaandaaa sio kosa la serikali ni kosa lakifamilia
Mwalimu alizingua sana aisee
Wanaomsifu kwa uzalendo huwa siwaelewi
Unaishi maisha ya shida unaugua huna pesa za hospitali na unakufa unaachia tabu familia na ulikua ni rais

"Kiasi changu cha pesa hakizidi usd 100 million na hakipungui hapo"

Mwandishi: zote hizo ?
Mobutu : hiko ni nini sasa kwa mtu niliyekuwa rais wa nchi kubwa kama hii kwa zaidi ya miaka 20
 
For sure kwa kweli na mimi najiuliza kama wewe hakuna mwenye nafuu hata mmoja aisee si Makongoro, Rosemary wala Andrew... nashangaa Andrew hapo kazeeka hata kushinda nani sijui daaah
Kumbe hadi watoto wake wa kike chenga ?
Nilisikia Makongoro enzi za ujana aliua mtu
Pia ni mlevi sana
 
For sure kwa kweli na mimi najiuliza kama wewe hakuna mwenye nafuu hata mmoja aisee si Makongoro, Rosemary wala Andrew... nashangaa Andrew hapo kazeeka hata kushinda nani sijui daaah
 
Jamaa hawataki kuosha vyombo na kupiga deki ndo maana wanaishia kugombana tu na andrew
 
H
Sasa anataka hao usalama wa taifa ndio wamkwamue kutoka kwenye hiyo extreme poverty yake?

Kwa akili za huyo jamaa usishangae akawa anataka hao jamaa wakamfagilie nyumba na kumuoshea vyombo ndio maana wanaishia kugombana.

Alafu watu wanalipwaje wamlinde Andrew, yeye ni nani? Hivi bado anaishi kwao?
Hivi huyu ninani wa nyerere?
 
Back
Top Bottom