Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Yeri
Kasoro kizazi cha mdogo wake Joseph Nyerere kipo saafi. Huyu Andrew kachukua akili ya baba yake mdogo baba ya akina Yericko Nyerere. lazima kaaca kula vidonge leo.
Yericko aliwahi kusema yeye ni MTU wa iringa wala hana nasaba na familia ya mwalimu hebu nijuze juu ya yericko na familia ya jkn
 
Yeri
Yericko aliwahi kusema yeye ni MTU wa iringa wala hana nasaba na familia ya mwalimu hebu nijuze juu ya yericko na familia ya jkn
Yericko ni wa nasaba ya familia ya jkn ni mtoto wa mdogo yake Nyerere anaitwa Kiboko
 
Watu wanatumia jina la nyerere kupifa mpunga, wenye jinalao wanapiga miayo....dunia haina haki ina usawa.
 
Yericko ni wa nasaba ya familia ya jkn ni mtoto wa mdogo yake Nyerere anaitwa Kiboko
Ndio anavyowadanganya huko Facebook?

Yericko ni mhehe wa Iringa na hawana uhusiano wowote na Nyerere wala mkoa wa Mara.

Surname ya Yericko siyo Nyerere, kwahili Yericko na Bashite hakuna wa kumcheka mwenzake wote wameparamia majina yasowahusu.
 
Sometime mzee anataka spirit. Ngongo ilipigwa marufuku. Moja ya familia ambayo haikuandaliwa ni hii hili ni kosa la Mwl alikuwa busy na nchi nyumbani kunaharibika
 
Sometime mzee anataka spirit. Ngongo ilipigwa marufuku. Moja ya familia ambayo haikuandaliwa ni hii hili ni kosa la Mwl alikuwa busy na nchi nyumbani kunaharibika
Kosa tena? Kwahiyo hii gape iliyotengenezwa na kina Mkapa ndio mnaipenda?

Enzi za mwalimu hakukuwa na matabaka hata watoto wa sokoine tulikuwa tunaenda shuleni wote kwa mguu hakuna kutumia mafuta na gari za serikali.

Nyerere alihubiri kile anachokiishi.
 
Kosa tena? Kwahiyo hii gape iliyotengenezwa na kina Mkapa ndio mnaipenda?

Enzi za mwalimu hakukuwa na matabaka hata watoto wa sokoine tulikuwa tunaenda shuleni wote kwa mguu hakuna kutumia mafuta na gari za serikali.

Nyerere alihubiri kile anachokiishi.
Sawa hilo sikatai tena ni zuri lkn home ndio hakuwa na muda na mahubiri hayo sasa wengi ni walevi labda jinsia ke
 
Sasa anataka hao usalama wa taifa ndio wamkwamue kutoka kwenye hiyo extreme poverty yake?

Kwa akili za huyo jamaa usishangae akawa anataka hao jamaa wakamfagilie nyumba na kumuoshea vyombo ndio maana wanaishia kugombana.

Alafu watu wanalipwaje wamlinde Andrew, yeye ni nani? Hivi bado anaishi kwao?
Hivi ulimwelewa vizuri kabla ya kukoment?
Huyu jamaa mabandiko yake sio ha kukurupukia
 
wengne mnalopol humu mtadhan mmewekewa cherehan midomon pasipo kutafakar.!ths family iko kwenye maisha ya shda sana,wakat baba yao ameplay part kubwa sana ktk hii nchi,utashangaa kina ridh na watoto wengne wa wakulu wanaish kama wafalme wakat watoto wa mwl kama watumwa!wat a shame
Hiki kitu nimewahi sikia somewhere mwamba life la pale kwa teacher ni zaidi ya Guantanamo bay
 
Back
Top Bottom