Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Kumwelewa huyu Mzee inahitaji uwe na uwezo Mkubwa wa kuinyambulisha Fasihi.., sasa ukichanganya na Kipindi cha Mwezi Mwandamo basi ndo inakuwa tafrani kweli kweli!!!
Tehehehehehehe mkuu, we inaonesha unawajua Vizuri familia ya Nyerere. Hasa kwenye ilo suala la mwezi mwandamo.
Alikuwepo mwingine anaitwa Magige, hiyo nayo ilikuwa mashine ya kipekee.
Kuna siku tulikuwa tunajiandaa kumpokea Mwalimu akitokea Dar kuja Musoma, sasa huyo jamaa kikapanda alitoka Butiama kwa miguu tena yuko peku anakuja Musoma, ilitumika nguvu ya ziada kumuweka sawa.
 
wengne mnalopol humu mtadhan mmewekewa cherehan midomon pasipo kutafakar.!ths family iko kwenye maisha ya shda sana,wakat baba yao ameplay part kubwa sana ktk hii nchi,utashangaa kina ridh na watoto wengne wa wakulu wanaish kama wafalme wakat watoto wa mwl kama watumwa!wat a shame
Hiyo tofauti yao ya maisha mazuri au mabaya inatokana na wazazi wao au watoto wenyewe na uzalendo au uzembe wa hao wazazi wao inategemea na mtazamo wako au wao, lakini sio sababu ya serikali.

Serikali kama serikali hakuna fungu maalumu la kuhudumia watoto wa raisi wastaafu.
Kuna fungu la raisi mstaafu labda na mkewe tu.
 
Huyu Mzee Julius Kwanini aliiacha familia Ikiwa na hali mbaya kiasi hiki? Hivi kweli alishindwa kuwawekea vitega uchumi vya kudumu licha ya kutawala nchi kwa zaidi ya miaka 20?

Alishindwa hata kuwaandaa Walau waweze kujitegemea?

Mpaka Sasa Nafikiri wanaishi kwa kutegemea posho Toka serikalini!

This is shame kwakweli!
Hebu tafakari halafu sema we ulitakaje yaani kama ungekuwa wewe Mwl Nyerere ungefanyaje kuhakikisha kizazi chako hakiishi kwa shida baada ya kifo chako. Kama utakuwa mkweli utakuta mawazo yako ni muflisi kabisa unatilisha huruma kabisa!!!!
 
Hawa watoto wa Nyerere waingizwe kwenye pay roll ya ikulu,wawe wanavuta mpunga kila mwezi hadi watakapo aga dunia.
Haipendezi wakae kwenye "extremly poverty" wakati baba yao alitumia mda mwingi kuikomboa Tanganyika,na kusahau familia yake.
Laiti Nyerere angekuwa na mentality ya ubinafsi,hao watoto leo ndio wangekuwa matajiri wa kutupwa,na watanganyika tungekuwa extremly poor
 
wengne mnalopol humu mtadhan mmewekewa cherehan midomon pasipo kutafakar.!ths family iko kwenye maisha ya shda sana,wakat baba yao ameplay part kubwa sana ktk hii nchi,utashangaa kina ridh na watoto wengne wa wakulu wanaish kama wafalme wakat watoto wa mwl kama watumwa!wat a shame

Kama wana shida sio kosa letu, Baba yao aliwateat equally na watoto wengine wa Tanzania japo walikuwa na some privileges.
Kama hao wengine waliweza hawa walishindwaje, waulizwe wenyewe.
 
Sasa anataka hao usalama wa taifa ndio wamkwamue kutoka kwenye hiyo extreme poverty yake?

Kwa akili za huyo jamaa usishangae akawa anataka hao jamaa wakamfagilie nyumba na kumuoshea vyombo ndio maana wanaishia kugombana.

Alafu watu wanalipwaje wamlinde Andrew, yeye ni nani? Hivi bado anaishi kwao?
Acha kuropoka kama vile uko face book.
We umeshindwa kumwelewa anasema nini? Au mmezoea ukurupukaji wa siku zote?
 
Anafanana sana na Mwl.... May
God rest Mwl in eternal life...

Nadhani hujui kufanananisha Watu na si ajabu hata Mwanao tu uliyemzaa mwenyewe mpaka sasa hujui kafanana na nani? Aliyefanana na Hayati Mwalimu ni Mwanae Marehemu sasa aitwae John au Gwido ila Watoto wengi wa Mwalimu wamefanana sana na Mama yao Mama Maria Nyerere.
 
Hawa watoto wa Nyerere waingizwe kwenye pay roll ya ikulu,wawe wanavuta mpunga kila mwezi hadi watakapo aga dunia.
Haipendezi wakae kwenye "extremly poverty" wakati baba yao alitumia mda mwingi kuikomboa Tanganyika,na kusahau familia yake.
Laiti Nyerere angekuwa na mentality ya ubinafsi,hao watoto leo ndio wangekuwa matajiri wa kutupwa,na watanganyika tungekuwa extremly poor
Tayari
 
wawapeleke hao Tiss wakalinde V.I.P,lkn hata hivyo si anaweza akaomba abadilishiwe walinzi kama napo hataki basi kutakuwa kuna tatizo baina yake na Tiss kiujumla.

Hao jamaa hawamlindi Andrew, wapo hapo kwa ajili ya ulinzi wa mama Yao (Mama Maria)
 
Back
Top Bottom