Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Nimeelewa kiasi
Huyu bwana sio yeye Bali kaongelea sehem flani
 
Huyu Mzee Julius Kwanini aliiacha familia Ikiwa na hali mbaya kiasi hiki? Hivi kweli alishindwa kuwawekea vitega uchumi vya kudumu licha ya kutawala nchi kwa zaidi ya miaka 20?

Alishindwa hata kuwaandaa Walau waweze kujitegemea?

Mpaka Sasa Nafikiri wanaishi kwa kutegemea posho Toka serikalini!

This is shame kwakweli!
Ni sahihi kabsa kupewa hizo posho baba yao alitumia muda mwingi kuandaa familia ya watanzania akasahau familia yake.
 
Teacher aliwafanya nini watoto wake ?
Aliacha walelewe na mwanamke (mama yao) akasahau kuwajengea misingi na maisha bora ya baadae yeye mwalim busy kuwapambania watz..kosa kubwaaaa..tukubali au tukatae, ni jukum la mwanaume (baba) kutengeneza future za watoto hasa kama uwezo huo unao.Kuwapa elimu tuu haitoshi labda kwa sis masikin elimu ndio kitu kikubwa mzazi anaweza mpatia mwanae kwakua hana mali zaid wala power zaid.Hili ni kosa la mwalimu
 
Kosa tena? Kwahiyo hii gape iliyotengenezwa na kina Mkapa ndio mnaipenda?

Enzi za mwalimu hakukuwa na matabaka hata watoto wa sokoine tulikuwa tunaenda shuleni wote kwa mguu hakuna kutumia mafuta na gari za serikali.

Nyerere alihubiri kile anachokiishi.
Nimewai kwenda kwa mtot wa sokoine, namelok Kama sikozei jina lake
Ghorofa Iko mitaa ya njiro karibu na 88 ninkwera Yule bint Yuko vzr haswa

SAS acha kaka ake
Joseph sokoine Yule Yuko vzr kiuchumi
Zaid sas Hawa wa mwalimu VIP jmn inahusinisha
 
Nimewai kwenda kwa mtot wa sokoine, namelok Kama sikozei jina lake
Ghorofa Iko mitaa ya njiro karibu na 88 ninkwera Yule bint Yuko vzr haswa

SAS acha kaka ake
Joseph sokoine Yule Yuko vzr kiuchumi
Zaid sas Hawa wa mwalimu VIP jmn inahusinisha
Joseph ni Masikini kama wewe. Sijui huko Njiro walioko watasema. Tuwe wakweli
 
Back
Top Bottom