chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,183
- 25,425
Huyu Mzee Julius Kwanini aliiacha familia Ikiwa na hali mbaya kiasi hiki? Hivi kweli alishindwa kuwawekea vitega uchumi vya kudumu licha ya kutawala nchi kwa zaidi ya miaka 20?
Alishindwa hata kuwaandaa Walau waweze kujitegemea?
Mpaka Sasa Nafikiri wanaishi kwa kutegemea posho Toka serikalini!
This is shame kwakweli!
Kwani mwalimu babaake alimuachia nini??
Wakomae na hali zao. Kama wameshindwa kutumia jina la baba yao kujikwamua kiuchumi basi.