Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Andrew Nyerere awatemea cheche TISS

Kuna mada zake za ROBOTOID alikomalia kinoma humu ndani, vp hao TISS robotoid yameanza chakaa!?..
 
Hata muonekano tu wa uso, Jamaa lina frustrations nyingi. Pole sana class mate
Mkuu,elezea kidogo unavomjua mtu huyu what was it like kusoma nae ? Au kipindi hiko alikua vizuri kiakili (sio darasan) tell us something
 
wengne mnalopol humu mtadhan mmewekewa cherehan midomon pasipo kutafakar.!ths family iko kwenye maisha ya shda sana,wakat baba yao ameplay part kubwa sana ktk hii nchi,utashangaa kina ridh na watoto wengne wa wakulu wanaish kama wafalme wakat watoto wa mwl kama watumwa!wat a shame
 
Huyu Mzee Julius Kwanini aliiacha familia Ikiwa na hali mbaya kiasi hiki? Hivi kweli alishindwa kuwawekea vitega uchumi vya kudumu licha ya kutawala nchi kwa zaidi ya miaka 20?

Alishindwa hata kuwaandaa Walau waweze kujitegemea?

Mpaka Sasa Nafikiri wanaishi kwa kutegemea posho Toka serikalini!

This is shame kwakweli!
 
Back
Top Bottom