Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Bora wewe umegundua wanawake tunapitia magumu mara dufu yenu! Kwahilo tu Mungu akubariki!niliwahi sema uzi mmoja marufuku kbs kumcheka single parent wanapitia mengi sana nikavamiwa na malaika wa jf!Poleni sana kaka, duh, noma sana haya maisha ila wewe endelea kumpa push pahali unapopaweza dadako, hata iwe kimawazo pia. Mwe positive na naamini mambo yatawanyookea very soon, naamini hayo kwani Mungu yupo na haachi watu wake.
Wanawake kwa kweli wanapitia magumu maradufu kutushinda ndio maana wanapaswa heshima yaani hawa dada zetu, mama zetu, shangazi, hata jirani wa kike, wanapitia aisee. Ila mzee baba, kaa ngangari, na usimweke mbali dadako hata siku moja. Mungu awaonekanie kila siku.
Imenitachi sana yaani, dah!