Changamoto ninayo pitia ni kua na mkuu wa kazi ambaye kwanza hashauriki

koyyote

Member
May 29, 2023
16
38
Habari za weekend wakuu.

Niande moja kwa moja kwenye hoja. Umeshawahi kua na boss au mkuu wako wa kazi mwenye akili ndogo kuliko wewe?

Binafsi sijisifii kua nna akili sana, ila changamoto ninayo pitia ni kua na mkuu wa kazi ambaye kwanza hashauriki na usitoshe naweza kusema mwenye uwezo mdogo kifikra na kimawazo kuliko mimi. Yani ni mtu ambaye hafanyi kazi yeyote, kazi anayopewa na mkuu wake ananipa mimi kama ilivyo na nikimpatia, haipitii kuisaili na yeye anaipereka juu kama ilivyo, ikiwa na makosa anarudi kuwaka uku.

Mtu ambaye ukituma kazi kwenye excel, word etc. na akitaka kuongeza au punguza jambo lolote ata iwe kuongeza column, anakuita ofisini kwake na anakuonesha kwenye kompyuta yake marekebisho hayo then anakutumia tena kwenye email uyafanya alaf umtumie tena.

Hivyo ni vituko vichache vya mkuu wangu, ila tunaishi naye kibishi ivyo ivyo.
 
Sio kwamba ana akili ndogo ila Hana muda wa kuhangaika na vitu vidogo vidogo. Mtu anamika 50+ aanze kuhangaika na makompyuta na vijana mpo! Kwahiyo anakufundisha kazi na yeye astaafu Kwa Raha bila mikimbizano ya mafaili na makolokolo ya kidigitali.

Vile vile huenda anakuona upo vizuri kwenye masuala ya kompyuta kwanini asikutumie? Kuhusu ushauri juu ya kuendesha taasisi hapo lazima akuoneshe kuwa wewe ni mtu wa chini yake na ufahamu mipaka Yako. Iwapo angeruhusu mpaka ushauri wa namna ya kuendesha taasisi ungefungua nyuzi 100 kuwa wewe ndio unaongoza taasisi kupitia kivuli Cha Mzee Fulani kama wafanyavyo watu wa msoga na unguja.
 
Mpaka umeweza kuishi nae kibishi it seems uko matured enough,, big up...pambana tu ndo changamoto yako hiyo ya kazi
 
Habari za weekend wakuu.

Niande moja kwa moja kwenye hoja. Umeshawahi kua na boss au mkuu wako wa kazi mwenye akili ndogo kuliko wewe?

Binafsi sijisifii kua nna akili sana, ila changamoto ninayo pitia ni kua na mkuu wa kazi ambaye kwanza hashauriki na usitoshe naweza kusema mwenye uwezo mdogo kifikra na kimawazo kuliko mimi. Yani ni mtu ambaye hafanyi kazi yeyote, kazi anayopewa na mkuu wake ananipa mimi kama ilivyo na nikimpatia, haipitii kuisaili na yeye anaipereka juu kama ilivyo, ikiwa na makosa anarudi kuwaka uku.

Mtu ambaye ukituma kazi kwenye excel, word etc. na akitaka kuongeza au punguza jambo lolote ata iwe kuongeza column, anakuita ofisini kwake na anakuonesha kwenye kompyuta yake marekebisho hayo then anakutumia tena kwenye email uyafanya alaf umtumie tena.

Hivyo ni vituko vichache vya mkuu wangu, ila tunaishi naye kibishi ivyo ivyo.
Watu wa namna hii wapo wengi sana ktk Ofisi za Serikali, huko ni wengi sana. Lakini kwenye ofisi za taasisi binafsi mambo kama haya ni nadra sana kuwepo.
 
Ulitaka afanye za Manyani?
Jf ina mataahira wengi sana.
Rubish kabisa
Elimu inawasaidia nini??
Yani utakuta mtu kasoma sana ila anavyoperekeshwa sasa .
Yani ukifanya kazi za mtu kubali umeolewa.
Alafu tahira mama ako aliyezaa toto jinga lisilojiongeza umri unaenda mbio
Na mtazeekea maoficine mwa watu.
Mwisho wa siku mtaolewa na maboss zenu
 
Sio kwamba ana akili ndogo ila Hana muda wa kuhangaika na vitu vidogo vidogo. Mtu anamika 50+ aanze kuhangaika na makompyuta na vijana mpo! Kwahiyo anakufundisha kazi na yeye astaafu Kwa Raha bila mikimbizano ya mafaili na makolokolo ya kidigitali.

Vile vile huenda anakuona upo vizuri kwenye masuala ya kompyuta kwanini asikutumie? Kuhusu ushauri juu ya kuendesha taasisi hapo lazima akuoneshe kuwa wewe ni mtu wa chini yake na ufahamu mipaka Yako. Iwapo angeruhusu mpaka ushauri wa namna ya kuendesha taasisi ungefungua nyuzi 100 kuwa wewe ndio unaongoza taasisi kupitia kivuli Cha Mzee Fulani kama wafanyavyo watu wa msoga na unguja.
Mzee baba, ni kijana tu around 35 yrs wala sio mtu mzima na niamimi mimi, muda anao sana tu, ila ni attitude ya kiboss na kupata kazi kwa pande.
 
Watu wa namna hii wapo wengi sana ktk Ofisi za Serikali, huko ni wengi sana. Lakini kwenye ofisi za taasisi binafsi mambo kama haya ni nadra sana kuwepo.
Comrade hii ni private company, recently employed tena mkuu wa kitengo na ni target based employment lakini ukimsikiliza au kufanya nae kazi unashindwa elewa vigezo gani vilivyotumika muajiri.
 
Jua mpaka na wajibu wako acha kujiona mjuaji utapotea jali zaidi kilichokupeleka vingenevyo utarudi na story ingine kuwa umefitiniwa blablaa by the way jua smart people wana pataga mikwamo mingi jitahidi kuwa kulingana na mazingira.

Huwezi kushindana na boss ukashinda kila wakati ni suala la muda tu utajikuta wewe ndiye utakayepoteza zaidi yake. Majuto ni mjukuu. Zakuambiwa + na za kuzaliwa
 
Masikini akipata matako hulia mbwata...

Huu mwandiko tu ni dhahiri huna mwaka na hiyo kazi ushaanza kusema bosi ni kilaza.
 
Comrade hii ni private company, recently employed tena mkuu wa kitengo na ni target based employment lakini ukimsikiliza au kufanya nae kazi unashindwa elewa vigezo gani vilivyotumika muajiri.
Maboss kama hao wapo wengi tu iwe serkalini au pvt sector. Iko hivi kuna watu wakiwa viongoz huwatumia wengine kufanya kazi zao hiyo ndiyo falsaf yao! sasa kwa mfano wewe ukiwa mchapa kazi utatumika naye sanaaaaa the good thing ni kuwa we jifunze kazi zake zijue barabara then tafuta kazi nyingine ya juu aisee utaenjoy mpaka basi. Nakumbuka wakati nalipomaliza chuo nilipata kaz benk moja hivi tulipata kazi vijana watano tukapelekwa kitengo fulan hivi, sasa boss wa kitengo akawa anamtuma mmoja wetu kazi mpaka alimpa password na user name yake kwenye system moja ya kibenki dogo akawa anapiga kazi za level ya senior positions dogo akawa nguli kwenye hizo issue baada ya muda akapata kazi benk nyengine kubwa na position kama looote but why alipat maana alijifunza kazi za level ya juu. Nakumbuka nilifanya kazi some where nilikuwa na boss foreigner aisee sitokaa nisahau miaka ile mitatu kazi ilikuwa chungu kwangu yaani manyanyaso kama yote haijalishi nitaperform kiasi gani! Kwenye vikao vya board na ma global vice presidents na mabord members/regional directors nikawa nasusiwa niingie mwenyewe eti boss wangu hataki kupresent nilichompa. Guess what baadaye nikapata kazi kwengine aisee nilienjoy mpaka basi maapreciation kama yote! maslahi 3x times, pressure ya kaz ya kawaida kabisaa.........so vumilia lipo kusudi la Mungu kwa ajili yako🙏
 
Elimu inawasaidia nini??
Yani utakuta mtu kasoma sana ila anavyoperekeshwa sasa .
Yani ukifanya kazi za mtu kubali umeolewa.
Alafu tahira mama ako aliyezaa toto jinga lisilojiongeza umri unaenda mbio
Na mtazeekea maoficine mwa watu.
Mwisho wa siku mtaolewa na maboss zenu
Umeandika nini sasa hapa?
Kichwani umebeba mapumba
Rubish kabisa..
Katoto kadogo Unawaza ngono tuu
 
Back
Top Bottom