Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

Bibiharusi

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2025
Posts
386
Reaction score
427
Wapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia.

Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani pia mwaka Jana nilitoa ma wili kwakupishana miezi nilihisi nitapumzika Sito pata tena shida mwaka huu limenianza hili la juu limetoboka linanipa shida sana

MSAADA WA DAWA yoyote nitumie kama naweza kupona haraka.
 
Wapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia.

Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani pia mwaka Jana nilitoa ma wili kwakupishana miezi nilihisi nitapumzika Sito pata tena shida mwaka huu limenianza hili la juu limetoboka linanipa shida sana

MSAADA WA DAWA yoyote nitumie kama naweza kupona haraka.
Meza Flamar.. maumivu kwisha
 
Hizi dawa zinaua bacteria wa kwenye meno Ila pia zinasafisha damu ikiwa damu yako imechafuka .


Dawa hii ukotumia meno yatakuwa hayapati tena hiyo shida

Nb vidonge vina nguvu Sana hakikisha unakula , unashiba na unakunywa Maji ya kutosha.




IMG-20250617-WA0006.jpg
 
Wapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia.

Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani pia mwaka Jana nilitoa ma wili kwakupishana miezi nilihisi nitapumzika Sito pata tena shida mwaka huu limenianza hili la juu limetoboka linanipa shida sana

MSAADA WA DAWA yoyote nitumie kama naweza kupona haraka.
Tafuta punje 5 za karafuu weka penye jino linalouma. Utapata matokeo
 
Hizi dawa zinaua bacteria wa kwenye meno Ila pia zinasafisha damu ikiwa damu yako imechafuka .


Dawa hii ukotumia meno yatakuwa hayapati tena hiyo shida

Nb vidonge vina nguvu Sana hakikisha unakula , unashiba na unakunywa Maji ya kutosha.

Hizi dawa zinaua bacteria wa kwenye meno Ila pia zinasafisha damu ikiwa damu yako imechafuka .


Dawa hii ukotumia meno yatakuwa hayapati tena hiyo shida

Nb vidonge vina nguvu Sana hakikisha unakula , unashiba na unakunywa Maji ya kutosha.




View attachment 3411727
Kukipambazuka niiwai pharmacy
 
Back
Top Bottom