Huoni katurahisishia tusiojua hicho kingereza?Ungeandika uzi kwa kiingereza kuonyesha MSISITIZO.
Sasa watanielewa vipi?
Mimi sitaki wajuaji nataka mtu anayejifunza,
Wenye afya hawamuhitaji daktari
Huoni katurahisishia tusiojua hicho kingereza?
ofukozi Pipo usidi tu dai inze ze ze ze ze reki.Ingependeza kama ungefundisha kile kinge cha kizalendo.
kile cha:
"Kauntiri"nchi
"air hostege"wahudumu wa ndege wa kike
Is teaching English your fulltime job and what about the fees you charge per personDon't worry guys,
I'm verified, user!
Wateja NI asiojua kiingerezaUngeandika uzi kwa kiingereza kuonyesha MSISITIZO.