Anataka tuachane, kisa simridhishi

Anataka tuachane, kisa simridhishi

Pole sana,ndio ukubwa huo ila hapo inabidi usimame kama mwanaume,jitahidi kumsahau kwa namna yoyote ile,usimpigie wala usipokee simu zake.

Baada ya muda kama mwezi kupita hivi,tafuta demu mkaliiii aliyemzidi na upige naye picha halafu umrushie hizo picha na umwambie huyo ni demu wako mpya na unataka kumuoa,kama anakupenda atajirudi,asiposhtuka achananae ukafanye yako
 
scientificall

Pole sanna mdogo wangu, nitumie namba yake nimshauri mrudiane,sio vizuri alivyokufanyia wakati wewe bado unampenda kwa dhati. Nitumie namba yake nimpe ushauri,nimewasaidia wengi sana wenye matatizo kama yako.
 
Last edited by a moderator:
Nlikua
Korea.......ya kusini au???
Npke
Mm
Alkubal
Penarit......hili litakuwa neno jipya
Kias........uvivu wa kuandija au? Kumaliza herufi "i" unaona shida gani??
Ck
Yy
Lkn
Ratba
Wk
Nkampga
Akanpa
Nsje
Chnjwa
Nam
Mzka
Ngmpga
Kmmba
Mack
Yalpo
Masmn
NlmpromC
Mwngne

Nn
Nampnda




scientificall
Yaani umeandika kama uharo halafu ushauriwe kweli???? Au unahofia wino utakwisha????
 
Last edited by a moderator:
alimuanza kwa uzembe hawezi kumpata huyu tena kwani aliomba tenda alipoifungua hakufuata mashart alifuata masharti kashinda.
 
Sijui umeiba simu ya mama yako kulog in JF, unaandika kama unabanwa haja kubwa....shule nazo zifunguliwe baadhi ya members waende shulen.
 
habar gan wana JF
Nlkua na binti nlimpenda nae akanipenda mapenz yalipo korea akaamua kua ananiachia uwanja npke kabombo kama kawaida kwan mm ndo nlpuliza kipenga cha kwanza ktk uwanja mpya nae sema kwel alkubal mchezo kias kwamba akanipa na penarit za kutosha mgegedo wa kwanza kwake aliufurahia kias ambacho altaka nmuoe ck hio mishe ziliendelea kama kawa, na yy akanpa ratba ya kupga mech mara 3 kwa wk lkn akinionya niwe makin nsje nkampga mimba kwan angeweza chnjwa na mshua wake.nam nkalegeza kamba kwan kwa mzka nlokua nao suary ngmpga kmmba ,,,,,,,,,, Mara mack ya kwenda masomn yalpo karbia akantumia ujumbe kua mm c mridhish na hisia zetu haziendan nakutaka tuachane iliniuma sana ckulala uck kucha kwan nlpromc ntamuoa after masomo......nkajuta kua bora ngempga kitoto na angekoma .mpaka sasa tunasalmiana tu kwa sim na anasema ameshapata mwngne na pcha kantumia . nfanye nn na bado nampnda? ushaur wenu wakuuuuuu.

Kwa uandishi huu no wonder she left u🙁🙁🙁
 
Huyu bado ni dogo halafu anataka mambo makubwa!!! Amejiunga tarehe 4 Juni 2015, na ameshaweka post tano, na hajapata like hata moja:
1.Mambo kumi usiyoyajua kuhusiana na bar zenye guest

2.Kupitia uzi huu 'Wengi hula nyama za watu mabuchani', JF imebadilisha maisha yangu

3.Nimetembea na mama na binti yake

4.Kisa ni kumgegeda kwa ustarabu

5.Ndoa inanishinda

Mada zake zote zimelalia kuzimu, naona hapa tunadili na mtu aliye na ugonjwa unaoitwa
Schizophrenia
 
Pole....
Wanawake huwa hawaeleweki wanachotaka ni nini.
Muulize CR7 alifanywa nini na Sepp Blatter kwa dem wake Irina..:confused2::confused2:
Hiyo case study itumie kwa GF wako.
 
Huyu bado ni dogo halafu anataka mambo makubwa!!!

Join Date : 4th June 2015
Posts : 5
Rep Power : 302
Likes Received0
Likes Given0
Hahahaaa!
Kwani nyie hamkuanzaga na mechi za mchangani bibie?
...........................................
Zama zitafika ambapo tutaulizwa kuhusu 'sex experience' na 'pain experince' ili kuondoa usumbufu wakati wa mahusiano mapya...:becky::becky:
Kwa sasa, kama sina mpango wa mbali na mwanamke, i prefer 'hit and run', tena ajue wazi kabisa, no plan with her...:confused2::confused2:
 
Achana na ngono.Kazania masomo kwanza ili umalize walao form four.
 
habar gan wana JF
Nlkua na binti nlimpenda nae akanipenda mapenz yalipo korea akaamua kua ananiachia uwanja npke kabombo kama kawaida kwan mm ndo nlpuliza kipenga cha kwanza ktk uwanja mpya nae sema kwel alkubal mchezo kias kwamba akanipa na penarit za kutosha mgegedo wa kwanza kwake aliufurahia kias ambacho altaka nmuoe ck hio mishe ziliendelea kama kawa, na yy akanpa ratba ya kupga mech mara 3 kwa wk lkn akinionya niwe makin nsje nkampga mimba kwan angeweza chnjwa na mshua wake.nam nkalegeza kamba kwan kwa mzka nlokua nao suary ngmpga kmmba ,,,,,,,,,, Mara mack ya kwenda masomn yalpo karbia akantumia ujumbe kua mm c mridhish na hisia zetu haziendan nakutaka tuachane iliniuma sana ckulala uck kucha kwan nlpromc ntamuoa after masomo......nkajuta kua bora ngempga kitoto na angekoma .mpaka sasa tunasalmiana tu kwa sim na anasema ameshapata mwngne na pcha kantumia . nfanye nn na bado nampnda? ushaur wenu wakuuuuuu.

Ushuzi huu peleka Facebook huku hautufai na ndiyo maama umetoswa kwa sababu unafanya mambo yako kitoto na shule pia huna.
 
Nlikua
Korea.......ya kusini au???
Npke
Mm
Alkubal
Penarit......hili litakuwa neno jipya
Kias........uvivu wa kuandija au? Kumaliza herufi "i" unaona shida gani??
Ck
Yy
Lkn
Ratba
Wk
Nkampga
Akanpa
Nsje
Chnjwa
Nam
Mzka
Ngmpga
Kmmba
Mack
Yalpo
Masmn
NlmpromC
Mwngne

Nn
Nampnda







Yaani umeandika kama uharo halafu ushauriwe kweli???? Au unahofia wino utakwisha????

Sina mbavu, haaaaaah yaani vitoto vya siku hizi hopeless kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom