scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 460
- 360
- Thread starter
- #41
nlijua yatankuta na ndo maana nkafanya makusudi
Sabah El Kheir ZZ........Sabuha ukhti !!
L-Nnoor wa Surur !! Je, matayarisho yashaanza?!!Sabah El Kheir ZZ........
nlijua yatankuta na ndo maana nkafanya makusudi
L-Nnoor wa Surur !! Je, matayarisho yashaanza?!!
Wallah wewe bhana joto gani ?!!? Njo huku uone nusu ya jahanam..!! Alaa kuli hali rehema zake zitateremka kwenu usijaali.....!!Alhamdulillah,ndio tuna jikongoja kongoja,lakini safari hii huku kwetu mwenyezi mungu atunusuru manake jua kaliii,najitahidi ninunue vitu mapema jana nimekwenda shopping wallah zahmaa madukani pakutia mguu hakuna na joto basi Tafran....
Huyu bado ni dogo halafu anataka mambo makubwa!!! Amejiunga tarehe 4 Juni 2015, na ameshaweka post tano, na hajapata like hata moja:
1.Mambo kumi usiyoyajua kuhusiana na bar zenye guest
2.Kupitia uzi huu 'Wengi hula nyama za watu mabuchani', JF imebadilisha maisha yangu
3.Nimetembea na mama na binti yake
4.Kisa ni kumgegeda kwa ustarabu
5.Ndoa inanishinda
Mada zake zote zimelalia kuzimu, naona hapa tunadili na mtu aliye na ugonjwa unaoitwa
Schizophrenia
Hahahaaa!
Kwani nyie hamkuanzaga na mechi za mchangani bibie?
...........................................
Zama zitafika ambapo tutaulizwa kuhusu 'sex experience' na 'pain experince' ili kuondoa usumbufu wakati wa mahusiano mapya...:becky::becky:
Kwa sasa, kama sina mpango wa mbali na mwanamke, i prefer 'hit and run', tena ajue wazi kabisa, no plan with her...:confused2::confused2:
Plans are expensive when it comes to emotional investments!