Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
Dogo mbona mbishi?? Mchezo wako uko chini ya kiwango. Kubali yaishe. Tafta kwingine
hivi umeweza kusoma hadi mwisho?
Dogo mbona mbishi?? Mchezo wako uko chini ya kiwango. Kubali yaishe. Tafta kwingine
nlijua watu kama nyie mtapata shida sababu hata abriviation au ufupishaji hamjui miaka yenu memkwa walikua hawafundisha kwa mtu anaejua register, dialect hawezi pata shida ama kweli utu uzima ni mzigoulikuwa unasinzia wakati unaandika au lugha inakupiga chenga unatakiwa utafute mwl wa k.k.k akufundishe upya
nina wasiwasi na shule yako mleta uzi
duhhh...umenichekesha sana FF......japo unaboa sana na uccm wako ila huku tuko pamojaKorea ya Kaskazini au Kusini?
Hivi shule zimefungwa?