Anataka tuachane, kisa simridhishi

Anataka tuachane, kisa simridhishi

Dah!!aisee BRN matokeo yake yanaonekana sasa,huyu nae kamaliza kidato cha sita HKL
 
Achana nae sio wake Tena,wenzio wanapiga mzigo kichizi chizi kama vile unavyoona kwenye Zile muv zetu,wewe ni mdebwedo hadi kuandika tu unaandika kimmdebwedo sio huyo tu ata anayefuuata Ataakuacha tu.soma Dogo huku unafanya mazoezi ya viungo na pumzi.
 
sasa mkuu umemaanisha nini??

Matumaini/ mipango katika maswala ya kihisia/mapenzi, urafiki huwa inagharimu sana kwa kuwa ni mambo yasiyotabirika. Kwa maana nyingine, kuwekeza hisia zako kwa mtu na kupanga maswala yako kwa kutegemea ana hisia kama zako, huwa inagharimu sana pale mambo yanapotokea kuwa ndivyo sivyo huku wewe ukiwa umejiwekeza moja kwa moja.
Nilikuwa narefer kwa post yako ya hit and run bila plans kuepuka disappointments.
 
Ulovyosema Korea nakawa najiuliza Korea ya kaskazini au kusini
Hiki kiswahili bhana

Hiki kiswahili sijui wanakiua au ndio wanakikuza yaani ni tabu kweli kusoma ujumbe mfupi wa hawa watoto siku hizi.
 
Kwa hiyo mwalimu wako ndio kakwambia utunge hadithi za kusikitisha ndio umetunga hii ?
 
Selection ya form5 itoke warudi shule hawa watoto ... Mada za kipumbavu zipungue...
 
hiyo shule unayoenda ni "vidudu" halafu unamdanganya ukimaliza umuoe binti wa watu,,,,bora alivyokuacha mapema
 
mpaka shule zifunguliwe tutazoma mengi!
 
Mweeeee.... nimerudia kuisoma mara kadhaa, nimetoka kapa. Kwa aliyeelewa hii thread naomba anisaidie kunielewesha pia!!
 
kwa uandishi huu ilikuwa ni lazima akuache manake naamini hata msg ulizokuwa unamwandikia alikuwa hakuelewi unaandika nini
habar gan wana JF
Nlkua na binti nlimpenda nae akanipenda mapenz yalipo korea akaamua kua ananiachia uwanja npke kabombo kama kawaida kwan mm ndo nlpuliza kipenga cha kwanza ktk uwanja mpya nae sema kwel alkubal mchezo kias kwamba akanipa na penarit za kutosha mgegedo wa kwanza kwake aliufurahia kias ambacho altaka nmuoe ck hio mishe ziliendelea kama kawa, na yy akanpa ratba ya kupga mech mara 3 kwa wk lkn akinionya niwe makin nsje nkampga mimba kwan angeweza chnjwa na mshua wake.nam nkalegeza kamba kwan kwa mzka nlokua nao suary ngmpga kmmba ,,,,,,,,,, Mara mack ya kwenda masomn yalpo karbia akantumia ujumbe kua mm c mridhish na hisia zetu haziendan nakutaka tuachane iliniuma sana ckulala uck kucha kwan nlpromc ntamuoa after masomo......nkajuta kua bora ngempga kitoto na angekoma .mpaka sasa tunasalmiana tu kwa sim na anasema ameshapata mwngne na pcha kantumia . nfanye nn na bado nampnda? ushaur wenu wakuuuuuu.
 
Muhongo akiwa rais nnakuahidi utaweza kuandika vizuri,tumpe nchi mwanasayansi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom