Kizazi jeuri
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 297
- 64
Daaahhh
wacha hiyo mbaya sana
Duh!kwa hiyo bora ampe tu mambo!Mpeeeeeeeee
Mh!vijana mnatisha sana!tuacheni unafiki hapa........ni nadra sana wapenz tena wanaoelekea kwenye ndoa kuambiana ukweli hasa wa jambo kama ilo....wewe mpe kama mziki unauweza...is not a big deal sana nowadays maana ukimnyima atapewa huko nje mbaya zaidi atapewa na ugonjwa...chagua!
Duh!kwa hiyo bora ampe tu mambo!
Nina rafiki yangu wa kike ambaye nimefahamiana naye miezi saba iliyopita,ambaye tumekubaliana kuoana.Kwa kipindi chote tumekuwa tukitembeleana na kuchat bila kufanya mapenzi.Hivi karibuni tumeanza kufanya mapenzi.Lakini kila mara amekuwa akinilalamikia kuwa simfikishi safari yake.Chakushangaza wiki iliyopita ameniambia kuwa ili nimfikishe safari yake basi nimfanye kinyume na maumbile kwa kuwa ndivyo alivyozoea lakini mimi sijawahi kufanya hivyo.Je mnanishauri nifanyeje?
Nina rafiki yangu wa kike ambaye nimefahamiana naye miezi saba iliyopita,ambaye tumekubaliana kuoana.Kwa kipindi chote tumekuwa tukitembeleana na kuchat bila kufanya mapenzi.Hivi karibuni tumeanza kufanya mapenzi.Lakini kila mara amekuwa akinilalamikia kuwa simfikishi safari yake.Chakushangaza wiki iliyopita ameniambia kuwa ili nimfikishe safari yake basi nimfanye kinyume na maumbile kwa kuwa ndivyo alivyozoea lakini mimi sijawahi kufanya hivyo.Je mnanishauri nifanyeje?
what does that mean? bado mpango wa kumuoa uko pale pale?...ili nimfikishe safari yake basi nimfanye kinyume na maumbile kwa kuwa ndivyo alivyozoea ...?