Anataka kumuua anayetembea na mkewe, ushauri !!!

Anataka kumuua anayetembea na mkewe, ushauri !!!

Ushauri sio kumdelete jamaa,kama mke kicheche atachukua mwingine.na jamaa yako atakua na kazi ya kudelete watu tu kama hajaishia jela.mwambie dawa ni kumfukuzilia mbali huyo mke kimeo
 
mi naona kaamua kumtishia kwa design hii. atawaua wangapi?
solution mi naona ni kumuua mkewe, lol!

Mpendwa FP, dhambi zote huanza kwa mawazo, kisha maneno na mwisho vitendo. Naamini hata vyombo vya usalama vitakuwa vimeliona hili kwa ajili ya kulinda maisha ya watu. Whether ni biti au ni kweli, lakini ujumbe huu unamadhara sana kwenye jamii na mhusika mwenyewe. Acheni kutembea na wake za watu na nyie wanawake acheni umapepe, utauawa na hao wanzinzi wenu. Watu wote ni vichaa dunia isipokuwa tunatofautia kwa viwango na mazingiria yanayochochea vichaa vyetu.
 
Mpendwa FP, dhambi zote huanza kwa mawazo, kisha maneno na mwisho vitendo. Naamini hata vyombo vya usalama vitakuwa vimeliona hili kwa ajili ya kulinda maisha ya watu. Whether ni biti au ni kweli, lakini ujumbe huu unamadhara sana kwenye jamii na mhusika mwenyewe. Acheni kutembea na wake za watu na nyie wanawake acheni umapepe, utauawa na hao wanzinzi wenu. Watu wote ni vichaa dunia isipokuwa tunatofautia kwa viwango na mazingiria yanayochochea vichaa vyetu.
asante kwa warning mpendwa.....
nitaacha mapepe
 
Tatizo siyo jamaa. Tatizo ni mke.

Ukimuondoa jamaa mke atabaki.

Mke ataendelea na hiyo tabia yake.

Utaondoa wangapi sasa hapo?

Cha busara ni kuzama moja kwa moja kwenye tatizo.

Ama kubali kuishi na mke kicheche au achana naye kabisa.

Kwani ukimuondoa jamaa utakuwa hujatatua tatizo.
 
Kutajana majina na kuwekana namba za simu hapa JF si uungwana.

Kama mke wako anakusaliti na hamuwezi kuelewana mtaliki tafuta mwingine, wanawake bwerere wanatafuta waume, yanini kuua na kujitafutia maisha ya uhalifu?

Zaidi ya hapo angalia A game yako mwenyewe, unaweza kulaumu mke na jamaa kumbe mwenyewe game yako ndogo, and I do not mean only in the physical.

Unaweza kuua huyu halafu mke wako akatoka na yule, utaua wangapi?
 
Deodatus Marcus - 0754 275170 saidieni kumwambiea mwanaume mwenzenu,
kwani tutapata nini akikufa.
Huyu jamaa ni Mbabe (Deodatus Marcus) mwacheni aendelee tu tena amzalishe kwani mwenye mali ni ----- kwa nini umng'anga'anie mtu mwenye meno 32 halafu ukamuue mwanamume mwenzako, akifa mama anaendelea na wengine faida iko wapo?
 
Kosa la walimwengu kuogopa dhambi ya kuua na kutenda nyingine wakizani kipimo ni tofauti.....................
 
Huyu Deodatus Marcus (number verified through M-PESA) ndio wa kudeal nae mtafutie watu wamle TIGO then mke mrudishe kwao akajifikirie akishindikana piga chini KUUA HAPANA
 
Huyu jamaa anayetishia kuua mi namwona mdebwedo tu. Mkwala mbuzi. Kama kweli na details zote hizo angeshaua zamani. Kwanza anamwogopa huyo Deodatus ndio maana kaja kulialia humu mtandaoni. Hana uwezo wa kumuua. Deodatus kula mzigo mwana, huna mpinzani.
 
mimi mwenyewe nipo ndani ya ndoa ila kuna kaka nampenda saaaaana, na tumekuta toka niko na mume wangu kama wachumba, na kweli tunapendana... kwa hiyo katika maisha mambo hayo yapo, sema unakula kwa step usijiachie, na kila siku nikujikumbusha kwamba upo ndani ya ndoo, so mipaka muhimu, kwa mfano muwe na mida ya kuwasiliana na msg katika simu hazikubaliki.... ukienda ivyo utadumu sana na wapembeni...

Yaani huoni aibu kuongea mambo kama haya mke wa mtu! Hiyo ndoa kwako haipo, bali wafanya maigizo. Kama wampenda huyo wapembeni kwa nini usiolewe nae?
 
Huyu Deodatus Marcus (number verified through M-PESA) ndio wa kudeal nae mtafutie watu wamle TIGO then mke mrudishe kwao akajifikirie akishindikana piga chini KUUA HAPANA

suluhisho ni kumla tigo kwa gang bang mbele ya mke afu unamuachia mke aendeleee nae.
 
is he real that much clean enough to terminate one's life; why not opt for a divorce if u r really hurt?
 
Ni jamaa yangu, kanipigia simu kaniita bar. Nilipofika kanieleza yaliyoko moyoni.

Miaka kama minne nyuma aligundua kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na jamaa mmoja. Akaendelea kuchunguza akagundua ni kweli akamuonya mkewe. Siku moja akiwa safarini kwenye basi, akampigia mkewe na kisha akampigia jamaa akagundua kuwa wako pamoja. Akamuonya mkewe na badaye akamtumia jamaa message kali. Aliporudi safari ugomvi ukawa mkali kati yake na mkewe huku mkewe akiwa anakataa kuwa na mahusiano na huyo bwana. Lakini alipochukua simu ya mkewe na kuichunguza, akagundua ile message aliyomtumia jamaa iko kwenye simu ya mkewe, yaani alimforwadia.Alipomwuliza mkewe hiyo msg ya jamaa imefikaje kweye simu yake akabaki kujikanyanga.

Juzi hapa, jamaa yangu amegundua mahusiano ya wawili hao yanaendelea kama kawaida. Ameamua kumfuatilia mwizi wake kimya kimya na kugundua anakoishi, kazi zake, nyendo zake zote na vijiwe vyake. Tayari ameshafanya utaratibu wa kumdelete na anasubiri utekelezaji tu. Mimi kanishirikisha kama taarifa tu kwa sababu maamuzi anayotaka kuchukua ni magumu. Namnukuu:
"Kiukweli huyu bwana nilimtumia message ya kumuonya, kwa dharau akaiforward kwa mke wangu, Nimeshamfuatilia, anaitwa Deodatus----, picha yake hii hapa (akanionyesha picha), na namba yake ya simu ni 0754 275170 na anaishi.....(akataja mtaa na nyumba)"

Ndugu wana JF Jamaa yangu yuko serious nimeona nililete hapa kwa maoni zaidi!!! Nawasilisha!

huyo jamaa atajiharibia bure...kuna kijana huku kwtu alimfumania wife akamuua mwanaume aliemfumania nae...ss anatafutwa na polisi anaishi maisha ya kujuficha ficha..kijana mdogo tu miaka35,alikua na biashara zake lkn ss amefiricka na cz hamna wa kuangalia yy yupo mafichon,ndugu awana upeo wa biashara..
Na hy jamaa mshauri mana akiua sheria haimbani maiti bali yy kiumbe hai...kama wana watoto achukue watoto aanzw life jipya acje kuwaaribia future kizaz chake...mapenz sio ishu wanawake na ss ckuizi tunamambo..!!
 
Ushauri sio kumdelete jamaa,kama mke kicheche atachukua mwingine.na jamaa yako atakua na kazi ya kudelete watu tu kama hajaishia jela.mwambie dawa ni kumfukuzilia mbali huyo mke kimeo

Kula like kaka
 
yani umuue mtu kwa sababu ya fvckn k? aisee mie siezi fanya huo ujinga, yaani ktk sayari hii kuna k zaidi ya bilioni 3 + halaf uue mtu na kuharibu maisha yako kwa ajili ya k moja? i don't see the logic/
 
Swali zuri, gumu na lenye kuelimisha sana.

(1) Kwa vile una taarifa ya kusudio la mtu kufanya kosa la jinai; una lazimika kutoa taarifa polisi. Ikujulikana kuwa ulikuwa na taarifa halafu hukutoa taarifa polisi unaweza kujikuta unaunganishwa kwenye kesi kama accomplice.

(2) Kisheria rafiki yako anaweza kufanya mauaji hayo na akatoka huru iwapo atamfumania jamaa red-handed akiwa anammegea mkewe na kumwua on the spot. Kuna vifungu vya sheraia anavyoweza kutumia kujitetea na mambo yakaisha. Lakini kwenda kutafuta background information na kupanga mauaji ni kosa la jinai, na iwapo atalitekeleza kwa mkono wake, basi ajue adhabu yake ni kwa yeye mwenyewe kunyongwa hadi afe. Na iwapo atalitekeleza kwa kuajri watu wengine wafanye hivyo, bado atakuwa na kosa la kushiriki na kutekeleza njama za mauaji, jambo ambalo linaweza kumtupa jela kwa miaka karibu 20.

(3) Siku njema huonekana asubuhi. Iwapo mke wake amekuwa anatemebea na mwanamme mwingine ndani ya ndoa kwa miaka minne, ajue kuwa huyo mwanamke hampendi kama mme bali labda yuko pale kwa ajili ya economic protection tu. Alitakiwa awe amejua hilo miaka minne iliyopita na kuachana na ndoa hiyo. Iwapo alisubiri muda weote huo na huenda kuwa amepata watoto basi atakuwa alifanya makosa sana. Ushahidi wa message za huko nyuma zilitosha kudissolve ndoa yao akatafuta mke atakayempenda ki-ukweli.

(4) Kutoka kwa yule anayewindwa tunapata somo kubwa sana hasa kwa vijana wa siku hizi. Kutembea na mke wa mwenzio ni kosa linaloweza kukupotezea uhai wako. Hata kama mmwanamke ni mzuri kiasi gani, na unamzimia sana, epuka kutembea na mke wa mtu ili upate baraka na ujiepushe na balaa. Wanaume hujisikia vibaya sana wanapomegewa na wake zao na wengine wao huweza kufanya maamuzi ambayo huenda yakaondoa uhai wako kama ambavyo jamaa huyu anapanga.

(5) Jamii nyingi za kistaarabu duniani haziruhusu mtu kutembea na mke wa mtu mwingine, na ni utamaduni ulioko hata katika vitabu vitakatifu kwenye Exodus. Unapotembea na mke wa mtu mwingine, siyo kuwa unafanya maudhi kwa mwenye mke tu, bali unakuwa umeudhi jamii nzima, hasa ya walio katika maisha ya ndoa. Unfortunately, mambo hayo yanpotekea yule mwanamke huwa halaumiwi sana bali ni mwanmme ndiye hubeba lawama zote, na hiyo ni natural. Kwa hiyo iwapo utatembea na mke wa mtu bila kujua, jitahidi ujitokeze mbele ya jamii uombe radhi na hasa iwapo ulikuwa hujui kuwa yule mama kaolewa. Na kama ulikuwa unajua, tafuta sababu ya msingi kuonyesha kuwa unajajutia ulilofanya na hutafanya tena. Kujiondokea kimya kimya kama vile huoni tatizo kwa wewe kummega mke wa mwenzio au kuendelea kumega licha ya maonyo unayopewa si njia nzuri na mambo yanaweza kugeuka kuwa mabaya sana dhidi yako; ama directly kutoka kwa uliyemmegea au kutoka kwa watu wengine ndani ya jamii.

Hili linaingia moja kwa moja katika tukio la aina hiyo la wiki tatu zilizopita kuhusu Diamond kummega Uwoya, halafu Ndikumana kuzirai baada kusikia kamegewa, na baada ya hapo Diamond kutojali kabisa na wala kutoongelea kabisa tukio hilo. Nadhani Diamond hakupata mshauri mzuri sana wa ku-handle situation ile hasa kwa vile inahusu celebrities; kimsingi alitakiwa atamke mara moja kujutia tukio hilo na hasa aonyeshe kuwa hakujua Irene alikuwa bado ndani ya ndoa yake na Ndikumana, kisha akaomba radhi kwa Ndikumana na jamii yote kwa yaliyotokea, akimalizia na kukemea vitendo vya ngono nje ya ndoa.
 
mimi mwenyewe nipo ndani ya ndoa ila kuna kaka nampenda saaaaana, na tumekuta toka niko na mume wangu kama wachumba, na kweli tunapendana... kwa hiyo katika maisha mambo hayo yapo, sema unakula kwa step usijiachie, na kila siku nikujikumbusha kwamba upo ndani ya ndoo, so mipaka muhimu, kwa mfano muwe na mida ya kuwasiliana na msg katika simu hazikubaliki.... ukienda ivyo utadumu sana na wapembeni...

Aisee!!!
 
(2) Kisheria rafiki yako anaweza kufanya mauaji hayo na akatoka huru iwapo atamfumania jamaa red-handed akiwa anammegea mkewe na kumwua on the spot. Kuna vifungu vya sheraia anavyoweza kutumia kujitetea na mambo yakaisha.

Jirani Kichuguu nadhani hapo unazungumzia crime of passion, sio?

Kwa Tanzania sina hakika kama utetezi kama huo upo. Mfano mzuri wa kesi ya crime of passion ni Clara Harris ambaye majuzi tu kanyimwa parole yake kwenye first attempt.
 
Last edited by a moderator:
Sijui sana, kwanini asimuache huyo mke kuliko kijitafutia matatizo ya kwenda segerea
 
Back
Top Bottom