Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 875
Ataua wangapi sasa?
huyo mke wa mtu anambaka?
Kabila gani huyu mtu? USIKUTE KIKWAO NI HALALI KULA MKE WA MTU!!
Hapa tatizo mke si mwaminifu, thats all.
Binafsi huwa siungi mkono mambo kama haya lakini nimejikuta najiuulza maswali mengi ya KIPUUZI kama ifuatavyo: Mbona kuna njia nyingi mbadala za kufanya badala ya kuua ina maana hazifahamu?
Kumuua mtu kutamsaidia nini? Akimuua huyo na mkewe kuanza mahusiano na mwingine, naye pia atamuua? Kwanini kuingia dhambi ya kutoa uhai wa mtu kwa kosa la uaminifu wa mkewe? Kwanini kujikuta unatupwa jela na kupoteza au kuharibu future yako na ya watoto wako kwa uzembe tu wa kutokufikiria sawa sawa? Hivi ina maana wanawake wameisha? Kwani ni lazima aendelee naye huyo huyo mkewe?
rafiki unamjua?Deodatus Marcus - 0754 275170 saidieni kumwambiea mwanaume mwenzenu,
kwani tutapata nini akikufa.
rafiki unamjua?
mi namjua huyo jamaa.....
hapa najiandaa kwenda kwa mazishi, lol!
rafiki unamjua?
mi namjua huyo jamaa.....
hapa najiandaa kwenda kwa mazishi, lol!
Deodatus Marcus - 0754 275170 saidieni kumwambiea mwanaume mwenzenu,
kwani tutapata nini akikufa.
Kama amafanya utafiti na kugundua hilo hakika ni kumuua tu hakuna haja ya kuishi na adui yako.....Asante
nimeshamshushia vipande vyake......Dada mpe tahadhari kuwa ataka kuuliwa
tahadhari kashapata, naomba na wewe nisaidie kumwambia ili ajue ni serious case, lol!mpe tahadhari
mwambie moyo wake unatafutwa.
tahadhari kashapata, naomba na wewe nisaidie kumwambia ili ajue ni serious case, lol!
King'asti kuna oder ya madera huku
Ni jamaa yangu, kanipigia simu kaniita bar. Nilipofika kanieleza yaliyoko moyoni.
Miaka kama minne nyuma aligundua kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na jamaa mmoja. Akaendelea kuchunguza akagundua ni kweli akamuonya mkewe. Siku moja akiwa safarini kwenye basi, akampigia mkewe na kisha akampigia jamaa akagundua kuwa wako pamoja. Akamuonya mkewe na badaye akamtumia jamaa message kali. Aliporudi safari ugomvi ukawa mkali kati yake na mkewe huku mkewe akiwa anakataa kuwa na mahusiano na huyo bwana. Lakini alipochukua simu ya mkewe na kuichunguza, akagundua ile message aliyomtumia jamaa iko kwenye simu ya mkewe, yaani alimforwadia.Alipomwuliza mkewe hiyo msg ya jamaa imefikaje kweye simu yake akabaki kujikanyanga.
Juzi hapa, jamaa yangu amegundua mahusiano ya wawili hao yanaendelea kama kawaida. Ameamua kumfuatilia mwizi wake kimya kimya na kugundua anakoishi, kazi zake, nyendo zake zote na vijiwe vyake. Tayari ameshafanya utaratibu wa kumdelete na anasubiri utekelezaji tu. Mimi kanishirikisha kama taarifa tu kwa sababu maamuzi anayotaka kuchukua ni magumu. Namnukuu:
"Kiukweli huyu bwana nilimtumia message ya kumuonya, kwa dharau akaiforward kwa mke wangu, Nimeshamfuatilia, anaitwa Deodatus----, picha yake hii hapa (akanionyesha picha), na namba yake ya simu ni 0754 275170 na anaishi.....(akataja mtaa na nyumba)"
Ndugu wana JF Jamaa yangu yuko serious nimeona nililete hapa kwa maoni zaidi!!! Nawasilisha!
Ni jamaa yangu, kanipigia simu kaniita bar. Nilipofika kanieleza yaliyoko moyoni.
Miaka kama minne nyuma aligundua kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na jamaa mmoja. Akaendelea kuchunguza akagundua ni kweli akamuonya mkewe. Siku moja akiwa safarini kwenye basi, akampigia mkewe na kisha akampigia jamaa akagundua kuwa wako pamoja. Akamuonya mkewe na badaye akamtumia jamaa message kali. Aliporudi safari ugomvi ukawa mkali kati yake na mkewe huku mkewe akiwa anakataa kuwa na mahusiano na huyo bwana. Lakini alipochukua simu ya mkewe na kuichunguza, akagundua ile message aliyomtumia jamaa iko kwenye simu ya mkewe, yaani alimforwadia.Alipomwuliza mkewe hiyo msg ya jamaa imefikaje kweye simu yake akabaki kujikanyanga.
Juzi hapa, jamaa yangu amegundua mahusiano ya wawili hao yanaendelea kama kawaida. Ameamua kumfuatilia mwizi wake kimya kimya na kugundua anakoishi, kazi zake, nyendo zake zote na vijiwe vyake. Tayari ameshafanya utaratibu wa kumdelete na anasubiri utekelezaji tu. Mimi kanishirikisha kama taarifa tu kwa sababu maamuzi anayotaka kuchukua ni magumu. Namnukuu:
"Kiukweli huyu bwana nilimtumia message ya kumuonya, kwa dharau akaiforward kwa mke wangu, Nimeshamfuatilia, anaitwa Deodatus----, picha yake hii hapa (akanionyesha picha), na namba yake ya simu ni 0754 275170 na anaishi.....(akataja mtaa na nyumba)"
Ndugu wana JF Jamaa yangu yuko serious nimeona nililete hapa kwa maoni zaidi!!! Nawasilisha!