Anataka kumuua anayetembea na mkewe, ushauri !!!

Anataka kumuua anayetembea na mkewe, ushauri !!!

Mkuu km amethibitisha anayoyasema hakuna haja ya kuua, aachane na huyo mwanamke kwani inavyoonekana huyo m/ke ni tabia yake na hawezi kuacha ataaendelea tu! ataua wangapi? inauma lkn!
 
mimi sion haja ya yeye kuchuma dhambi ya kuua itakayomsababishia matatizo ya kuiacha familia yake na kwenda kuishia jela,cha msingi ni yy kukaa na mkewe na kumuonya ikiwezekana awaite washauri wao wa ndoa kama itashindikana basi achukue uamuz wa kuachana na mkewe na si kuua.
 
upande wangu itakuwa ngumu
as simfahamu ataona kama namtilia kitu mbaya

lakini naona kama kuna aina fulani pia ya vitisho,
jamaa mwenye mke anajaribu kumtisha mwenzie,
kwani alimbaka si walikubaliana tu.
mi naona kaamua kumtishia kwa design hii. atawaua wangapi?
solution mi naona ni kumuua mkewe, lol!
 
Ni jamaa yangu, kanipigia simu kaniita bar. Nilipofika kanieleza yaliyoko moyoni.

Miaka kama minne nyuma aligundua kuwa mkewe ana mahusiano ya kimapenzi na jamaa mmoja. Akaendelea kuchunguza akagundua ni kweli akamuonya mkewe. Siku moja akiwa safarini kwenye basi, akampigia mkewe na kisha akampigia jamaa akagundua kuwa wako pamoja. Akamuonya mkewe na badaye akamtumia jamaa message kali. Aliporudi safari ugomvi ukawa mkali kati yake na mkewe huku mkewe akiwa anakataa kuwa na mahusiano na huyo bwana. Lakini alipochukua simu ya mkewe na kuichunguza, akagundua ile message aliyomtumia jamaa iko kwenye simu ya mkewe, yaani alimforwadia.Alipomwuliza mkewe hiyo msg ya jamaa imefikaje kweye simu yake akabaki kujikanyanga.

Juzi hapa, jamaa yangu amegundua mahusiano ya wawili hao yanaendelea kama kawaida. Ameamua kumfuatilia mwizi wake kimya kimya na kugundua anakoishi, kazi zake, nyendo zake zote na vijiwe vyake. Tayari ameshafanya utaratibu wa kumdelete na anasubiri utekelezaji tu. Mimi kanishirikisha kama taarifa tu kwa sababu maamuzi anayotaka kuchukua ni magumu. Namnukuu:
"Kiukweli huyu bwana nilimtumia message ya kumuonya, kwa dharau akaiforward kwa mke wangu, Nimeshamfuatilia, anaitwa Deodatus----, picha yake hii hapa (akanionyesha picha), na namba yake ya simu ni 0754 275170 na anaishi.....(akataja mtaa na nyumba)"

Ndugu wana JF Jamaa yangu yuko serious nimeona nililete hapa kwa maoni zaidi!!! Nawasilisha!
mimi mwenyewe nipo ndani ya ndoa ila kuna kaka nampenda saaaaana, na tumekuta toka niko na mume wangu kama wachumba, na kweli tunapendana... kwa hiyo katika maisha mambo hayo yapo, sema unakula kwa step usijiachie, na kila siku nikujikumbusha kwamba upo ndani ya ndoo, so mipaka muhimu, kwa mfano muwe na mida ya kuwasiliana na msg katika simu hazikubaliki.... ukienda ivyo utadumu sana na wapembeni...
 
huo ndo uamuzi mzuri,
kwani huku vijiweni kwetu mbona tunaona wake zao waki-date na watu kama kawaida
mwanamke amenunuliwa gari nzuri ya kutembelea lakini bado ana-date
hii siyo dhambi ya mtu mmoja wengi wametumbukia humo, na yule ambaye hafanyi awe wa kwanza kumtupia mawe huyo mwanaume hapo juu.

eeehhhh
maana naona sasa atajiingiza kwenye chain ya kuua.....
bora aue mkewe basi amemaliza kazi
 
Mshauri adeal zaidi na mke wake kujua sababu hasa zinazomfanya atoke nje ya ndoa,kuua si sawa na itamgharimu sana tu kwa vile damu ya mtu huwa haiendi bure.

Unazungumzia mwanamke huyu huyu wa kitanzania?Ni wachache sana kama wapo wanaoweza kueleza sababu hasa zinazowafanya wawe hivyo!Laiti kama hilo lingewezekana,migogoro isingekuwa na nguvu sana.Inauma kwani kuacha na kuoa huwa mtihani mgumu,unaweza kukutana na makubwa kuliko ya awali

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Rafiki yako ni poyoyo.

Shame on you if you fool me once shame on me if you fool me twice ,mwambie shame on him achukue bastola au kitanzi ajiue mwenyewe maana amechelewa sana kuchukua maamuzi.
 
huo ndo uamuzi mzuri,
kwani huku vijiweni kwetu mbona tunaona wake zao waki-date na watu kama kawaida
mwanamke amenunuliwa gari nzuri ya kutembelea lakini bado ana-date
hii siyo dhambi ya mtu mmoja wengi wametumbukia humo, na yule ambaye hafanyi awe wa kwanza kumtupia mawe huyo mwanaume hapo juu.
mi naona dhambi tunayoishangaa hapa ni ya kuua anayetembea na mkeo......
 
Aina haja ya kuua bro, we tega fumanizi kama huwezi peleka kwa shigongo kwanza itakuwa story kwao na pili aibu kwa wagoni wako, then tupia talaka wacha kabisa mwanamke mwenyewe
Ps: "usiyopenda kufanyiwa, usimfanyie mwezio."
 
.... Mimi nadhani kifo sio adhabu kwa anayeuawa ila kwa anayeua maana mfaji huumia mara moja tu wakati wa kukata roho. Anayeua hubaki na kovu milele mpaka kifo na kukabiliwa na dhambi ya kuua mbinguni na duniani.

Deodatus bado hana taraarifa mpaka sasa??
 
Huu mkwara tu!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
mimi mwenyewe nipo ndani ya ndoa ila kuna kaka nampenda saaaaana, na tumekuta toka niko na mume wangu kama wachumba, na kweli tunapendana... kwa hiyo katika maisha mambo hayo yapo, sema unakula kwa step usijiachie, na kila siku nikujikumbusha kwamba upo ndani ya ndoo, so mipaka muhimu, kwa mfano muwe na mida ya kuwasiliana na msg katika simu hazikubaliki.... ukienda ivyo utadumu sana na wapembeni...

Mh! Umenipa huzuni sana dada! Kuanzia leo sina imani tena
 
Utakuwa unaenda kumsalimia segerea?
Hapa inahitajika hekima hakuna siri ya watu wawili ...wewe kama rafiki yake msaidie kwa ushauri..
Kutoa roho ya mtu ni kazi jamani ..
Pole kwa kuibiwa na tafuta namna nyingine ya kusolve matatizo yako
Hujui uchungu aupatao mwenye mke! Dawa ya moto ni moto
 
Ha ha ha!watu kwa biti!!hapa aliyeweka hii thread ni mwenye mke afu kaweka na jina na namba ya simu ili kumpiga biti mume mwenzie!!ha ha ha ha ha!

We jamaa ni genius sana ha ha, hapa jamaa amejionesha kiasi gani ni muoga! real gentleman asigeleta mambo kama haya kwenye mitandao au hata kwa rafiki.. adui yake sio huyo jamaa bali ni mke wake mwenyewe!
 
aaaaahaaaa kweliii jf ni utamuuu unashukaaaa utamuuuuu unapandaaaaaaa
 
mimi mwenyewe nipo ndani ya ndoa ila kuna kaka nampenda saaaaana, na tumekuta toka niko na mume wangu kama wachumba, na kweli tunapendana... kwa hiyo katika maisha mambo hayo yapo, sema unakula kwa step usijiachie, na kila siku nikujikumbusha kwamba upo ndani ya ndoo, so mipaka muhimu, kwa mfano muwe na mida ya kuwasiliana na msg katika simu hazikubaliki.... ukienda ivyo utadumu sana na wapembeni...


samahan dagaa, kwa komment imenibidi nikuulize swali kidogo, inakuwaje kuwa hakuridhishi au humpendi maana mimi bado naomba nijue
 
Back
Top Bottom