Sukari Yenu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 1,698
- 1,260
Kwani huyo shem wako ana urefu kias gani?
Kuna dwarf na short na shortiii
Kuna dwarf na short na shortiii
jamani pole sana.Yani huwa sielewi hili likoje linapokuja suala la kimo,mm mwenyewe ni mhanga katika hilo licha ya kujiweka smart lkn kuna cku nilijsikia vbaya sana pale mpenzi wangu niliedumu nae almost 7yrs tulitibuana hakuliona tusi la kunifaa zaidi ya kuniita mbilikimo fof sure nliumia sana aliomba msamaha lkn hadi sasa psychologically nshaathirika huwa cpendi yule though ana mtoto wangu na nilikuwa na mpango wa kumuweka ndani ila kwa hilo tu kanimaliza
Ahaaaaaani short tu
Dont give a shit on minor issues.....mi mtu hawez kuniharass kwa maumbile yangu nikajisikia vibaya, never?Yani huwa sielewi hili likoje linapokuja suala la kimo,mm mwenyewe ni mhanga katika hilo licha ya kujiweka smart lkn kuna cku nilijsikia vbaya sana pale mpenzi wangu niliedumu nae almost 7yrs tulitibuana hakuliona tusi la kunifaa zaidi ya kuniita mbilikimo fof sure nliumia sana aliomba msamaha lkn hadi sasa psychologically nshaathirika huwa cpendi yule though ana mtoto wangu na nilikuwa na mpango wa kumuweka ndani ila kwa hilo tu kanimaliza
Aaah! acha hizo bhana...
Au basi mshauri Cuzo ampe mbunye wakiwa wamesimama ili awe anachechemea kuifikia, automatically atarefuka tu refer Darwin's theory of evolution utaelewa how giraffe got his long neck.

Labda kipato na elimuHuyu dd mtamlaumu bure, Kuna raha yake mwanaume akikuzidi urefu... U feel safe,protected nk...yani ts like how u feel mwanaume akiwa anakuzidi kipato ama elimu...unamheshimu zaidi.,
Japo ndo hvo Mungu nae ana mipango yake
Unajiskiaje unamhug mwanamke kichwa chako kinaishia kifuani kwake...Baba mzazi ni mrefu kwa wote nyumbani, ss mfano mtu akishakua ktk mazingira hayo choice yake unadhani itakuajeLabda kipato na elimu
Kwa case ya kimo mnadanganywa huko kwenye mitandao mnasoma eti ooh unafell protected na blah blah....mnapenda kuigiza maisha ya tamthilia wakat in real life things are different.
We ukitembea mmeongozana na baba yako mzazi na ni mfupi, dont u feel protected? It's all about mindset
Wa kuishia kifuani huyo ni dwarf.....mlemavu. kudatr mlemavu inataka moyo wa ziada.Unajiskiaje unamhug mwanamke kichwa chako kinaishia kifuani kwake...Baba mzazi ni mrefu kwa wote nyumbani, ss mfano mtu akishakua ktk mazingira hayo choice yake unadhani itakuaje
Hahhahaah ndo ivo yataka moyo..choice ya mwezi wa maisha kati ya factors zitakazodumu maisha ni urefu,. Si vyema kuja kumnyima raha mwenzio mara hutaki kuonekana nae njiani nkWa kuishia kifuani huyo ni dwarf.....mlemavu. kudatr mlemavu inataka moyo wa ziada.