National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
- Thread starter
- #121
๐ ๐ ๐ ๐ mkuu hunifungi ma rope kweli ๐คฃ๐คฃ๐คฃ... au ni hack PM yako mzeeHakuna hata mmoja ๐
๐ ๐ ๐ ๐ mkuu hunifungi ma rope kweli ๐คฃ๐คฃ๐คฃ... au ni hack PM yako mzeeHakuna hata mmoja ๐
Hakika upo sawa kabisa boss.Nafikiri na title ianze na anatafutwa Rafiki ambaye baadaye atakuwa Mke au mwenza. Hahaa
Basi sawa wacha nifiche fiche pia๐ ๐ ๐ sasa mie kidogo nafichaga fichaga. fantasy zangu zingine.. weyeee unakuwa kama jamaa yake na shetani... lazima wakuogope
Vitu vya jirani sio vyake ๐คฃ๐คฃ
Kuhusu umri usijali. hakuna kipengele cha umri kabisa Lenie ๐National Anthem umri hajasema? Nisije kuwa shangazi kwake aloo๐
Ariririririririiii unadate suti mapema, utakua best man natumai๐ฅฐ๐๐๐๐... Basi usijali utatuka hapo na muhusika hapo.. mie zangu zitabaki dua.. shela livaliwe suti ivaliwe furaha itawale ๐๐
Mwambie akome ๐คฃ๐คฃAf ananinyanyasa na BDN
๐ ๐ ๐ zingine unaficha kidogo uonekana kama malaika wa nuru... wengine tukiweka zote hapa internet inaweza zima kidogo ๐คฃ๐คฃ๐คฃBasi sawa wacha nifiche fiche pia
Hamna kitu sijui nakosea wapi ๐๐ ๐ ๐ ๐ mkuu hunifungi ma rope kweli ๐คฃ๐คฃ๐คฃ... au ni hack PM yako mzee
Ndani chafu balaa๐คฃMwambie akome ๐คฃ๐คฃ
Vits no B
Itakuws tu body imechakaa
๐๐๐ Nitavaa suti kama ya siku ya harusi yangu..Ariririririririiii unadate suti mapema, utakua best man natumai๐ฅฐ
Basi watakao jitokeza pm wale masalia nipigie pande๐ ๐ ๐ zingine unaficha kidogo uonekana kama malaika wa nuru... wengine tukiweka zote hapa internet inaweza zima kidogo ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Qhahahahha af sasa akipita nyumban kinatia kelele hatariMwambie akome ๐คฃ๐คฃ
Vits no B
Itakuws tu body imechakaa
๐ ๐ ๐ weyee huna matukio mbayaa huenda umefunga PM yako tu ndio maana hawakufikiiHamna kitu sijui nakosea wapi ๐
Leo naomba nipigie bas uduguu au ndio unanikataaa kabisa
Hata namna ya kuifunga sijui ๐๐ ๐ ๐ weyee huna matukio mbayaa huenda umefunga PM yako tu ndio maana hawakufikii
๐ ๐ ๐ si unajua chaka langu la pale moro.. kesho naenda tena.. kuhusu hilo limepita mie na weyee tenaaBasi watakao jitokeza pm wale masalia nipigie pande
Hapo sawa shem๐๐๐๐๐๐...
hayo ya Mc GharaB naona mtapanga wenyewe.. Si unajua sheria ni mipangilio ya Bibi na Bwana harusi.. nafikiri hata mavazi n.k mtapanga wenyewe sie ni kuja kushuhusia tukioa na kudoganga misosi
๐๐๐ ewaa karibu Shem.. usichelewe.. ukakuta mwana si wako .. maama jamaa yupo serious sanaHapo sawa shem๐๐๐
Ngoja nije PM hapo chap
Watoto hawatakiwi kucheleweshwa shule