Never ever ever ever. Labda yeye ahame TZHuo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Dola haishindwi hasa kwenye Utawala wa CCM wanaweza sana ilimradi madaraka wanao.Huo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Kulifungia hilo kanisa kunahitajika nguvu ya ziadaHuo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Sio kufungia RC ila TEC inafungiwa asubuhi, ikionekana kua kikwazo kwa serikale tawala, tena kibaya zaidi intafingiwa na mkatoliki ilioko kwenye kitengo.Kulifungia hilo kanisa kunahitajika nguvu ya ziada
Hawezi huyu hayawani,ni sawa na mbio za sakafuni,kati ya vitu asivyoweza ni kugusa kanisa katoliki.Huo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Eeeeeeeeeeeee! Mdanganye!Huo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Huo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Hili halitakaa litokee mpaka hii dunia ibomoke.. wacheze na kina gwajima na vikanisa vingine vya uchochoroni. Si huu mbuyu RC.Huo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Dunia hii hayupo wa kuligusa Kanisa Katoliki!Hawezi huyu hayawani,ni sawa na mbio za sakafuni,kati ya vitu asivyoweza ni kugusa kanisa katoliki.
Wakati kobaz wenzie walishamwaga mboga, General Mabeyo ambaye ni Mkatoliki ndo alimuweka kwenye hicho kiti, atamwambia nini??Huo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Nimecheka sana ingawa mimi ni Muisilamu hiyo vita haiweza hawa jamaa ni hatari,kwanza wanafwata haki ndiyo maana wanapendwa na wapigania haki wote halafu hawana nja ndiyo maana ngumu kuwahonga tatu wamesoma na wana hekimaHuo ndio ukweli
Sababu zinazotafutwa hapa ni kufungia kanisa katoliki au kuvunja kufuta usajili wa TEC. Hii nayo itakuwa mission impossible.
Ni kakikundi tu ka wahuni kamejiweka madarakani kwa wizi wa kura hawana jeuri ya kufuta taasisi iliyoenea dunia nzimaHawa jama hawashindwi kufanya chochote!
Mimi mwenyewe ni muislamu ila hawa mashekhe njaa wanashusha hadhi ya uislamu tunajumuishwa waislamu wote kuwa hamnazoNimecheka sana ingawa mimi ni Muisilamu hiyo vita haiweza hawa jamaa ni hatari,kwanza wanafwata haki ndiyo maana wanapendwa na wapigania haki wote halafu hawana nja ndiyo maana ngumu kuwahonga tatu wamesoma na wana hekima